Thank you Heaven on Earth. My heart tells me to go for it,after all hawa wa hapa hapa tunao waona kila siku wanaishia kutunda so i guess i've got nothing to lose. I keep my fingers crossed & hope for the best.
[/B]Hamna cha ajabu mamy,mapenzi yaliyoanzia mitandaoni na yakafika mbali yapo na long distance relationship zilizo work pia zipo kama ambavyo mapenzi ya classmates au watoto wa familia rafiki yaliyo fail yapo na mapenzi ya kushare chumba na kujifunika shuka moja pia yaliyo fail yapo!
Go mamy,kuwa tu makini kama ambavyo ungekuwa kwenye mahusiano yeyote yale!
All the best!
Moyo wa mtu ni giza nene..if u love him go ahead,but always take care of urself....don't compromise too soon..kukutana nae online doesnt mean he is a bad man,wapo wanaovunja mioyo yetu hata tuliowafahamu for years tangu tukiwa watoto
js take ur chances enjoy life and love him he's what u got right now,than live with regrets later
Halafu huyu mtu namshtukia
Amejiunga jana ameanza kuwasiliana na huyo jamaa lini?
Mara nyingi sana ID za watu wanaoleta hapa hizi story huwa ni wale wapya
Kwanini?
Au ndio kutafuta "umaarufu"?
Halafu huyu mtu namshtukia
Amejiunga jana ameanza kuwasiliana na huyo jamaa lini?
Mara nyingi sana ID za watu wanaoleta hapa hizi story huwa ni wale wapya
Kwanini?
Au ndio kutafuta "umaarufu"?
Kaka Eiyer, i hope you are a man (samahani kama nitakua nimekosea). I am not new here,it's just that nimebadili identity ili niweze kupata ushauri coz nisingeweza kutumia ID yangu ile ya siku zote,jamaa ataniona kama vile i am trying to back stab him. Halafu ww ni miongoni mwa wadau ninao wa admire sana kwa michango yako yenye tija so ushauri wako nitaudhamini sana.
Kaka Eiyer, i hope you are a man (samahani kama nitakua nimekosea). I am not new here,it's just that nimebadili identity ili niweze kupata ushauri coz nisingeweza kutumia ID yangu ile ya siku zote,jamaa ataniona kama vile i am trying to back stab him. Halafu ww ni miongoni mwa wadau ninao wa admire sana kwa michango yako yenye tija so ushauri wako nitaudhamini sana.
Halafu huyu mtu namshtukia
Amejiunga jana ameanza kuwasiliana na huyo jamaa lini?
Mara nyingi sana ID za watu wanaoleta hapa hizi story huwa ni wale wapya
Kwanini?
Au ndio kutafuta "umaarufu"?
Jemedari nimepost kabla ya kusoma bandiko lako. Na mimi ndio nilikua nashangaa, amefahamiana na mtu mwaka jana kupitia JF wakati yeye kajiunga mwaka huu na hapo hapo anauliza is this real wakati yeye mwenyewe hayuko real.
Kaka Eiyer, i hope you are a man (samahani kama nitakua nimekosea). I am not new here,it's just that nimebadili identity ili niweze kupata ushauri coz nisingeweza kutumia ID yangu ile ya siku zote,jamaa ataniona kama vile i am trying to back stab him. Halafu ww ni miongoni mwa wadau ninao wa admire sana kwa michango yako yenye tija so ushauri wako nitaudhamini sana.
Ni mkongwe huyu Baba Paroko,hii ni Id mpya ya kuulizia hili swali,angetumia common Id comments nyingi zingekuwa ni hata wewe?
Aiseeee
Ngoja na mimi nitafute ID nyingine halafu nikutongoze ....lol!!!!!!!!!
Mimi nitakushauri kutokana na mtazamo wangu na experience zangu...You should be very careful with what you are doing and getting yourself into kwasababu watu wengi waliokuwa online wapo FAKE na naweza kudiriki kusema wanajivalisha ngozi ya kondoo na kujipotray differently The reality might be very different from what you are seeing,take that from me and my personal experience DON´T FALL IN LOVE WITH SOMEONE YOU NEVER MET huwezi kujua mtu anachofeel kupitia kwenye chats lakini ukaribu,uwepo wake pamoja nawe,body language na facial expressions might tell you something!Wewe kuna uwezekano una hisia za kweli lakini mwenzako asiwe anajihisi hivo, anafuata flow tu Na huyo ndio anaweza kukuumiza kiurahisi sana na akakuliza bila hata kujali hisia zako na maumivu unayoyapitia,coz after all ni just chatting .
[/B]Hamna cha ajabu mamy,mapenzi yaliyoanzia mitandaoni na yakafika mbali yapo na long distance relationship zilizo work pia zipo kama ambavyo mapenzi ya classmates au watoto wa familia rafiki yaliyo fail yapo na mapenzi ya kushare chumba na kujifunika shuka moja pia yaliyo fail yapo!
Go mamy,kuwa tu makini kama ambavyo ungekuwa kwenye mahusiano yeyote yale!
All the best!
Save your energy tu,nitakutimua uondoke Jf mazima!!!