Is this real?

Is this real?

U continue to play games wth him thrgh chartin!mpaka aje bongo ndo utajua makapi na ngano!ila angalizo usipende sana maana mapenz yanaweza kukupa ugonjwa wa moyo.nna uzoefu na hili
 
Thank you Heaven on Earth. My heart tells me to go for it,after all hawa wa hapa hapa tunao waona kila siku wanaishia kutunda so i guess i've got nothing to lose. I keep my fingers crossed & hope for the best.

U just go for it isipotiki kuna kitu utajifunza.kuliko kuogopa sometimes.being a risk taker does not only require one to be an enterprenuer hats kwenye mapenzi pia
 
[/B]Hamna cha ajabu mamy,mapenzi yaliyoanzia mitandaoni na yakafika mbali yapo na long distance relationship zilizo work pia zipo kama ambavyo mapenzi ya classmates au watoto wa familia rafiki yaliyo fail yapo na mapenzi ya kushare chumba na kujifunika shuka moja pia yaliyo fail yapo!
Go mamy,kuwa tu makini kama ambavyo ungekuwa kwenye mahusiano yeyote yale!
All the best!

Halafu huyu mtu namshtukia

Amejiunga jana ameanza kuwasiliana na huyo jamaa lini?

Mara nyingi sana ID za watu wanaoleta hapa hizi story huwa ni wale wapya

Kwanini?

Au ndio kutafuta "umaarufu"?
 
Moyo wa mtu ni giza nene..if u love him go ahead,but always take care of urself....don't compromise too soon..kukutana nae online doesnt mean he is a bad man,wapo wanaovunja mioyo yetu hata tuliowafahamu for years tangu tukiwa watoto
js take ur chances enjoy life and love him he's what u got right now,than live with regrets later

Thank you Badiebey,you are so on point! Nitaufanyia kazi ushauri wako. After all life is always about taking risks. Nampenda sana aisee and i pray that he loves me back just as much.
 
Halafu huyu mtu namshtukia

Amejiunga jana ameanza kuwasiliana na huyo jamaa lini?

Mara nyingi sana ID za watu wanaoleta hapa hizi story huwa ni wale wapya

Kwanini?

Au ndio kutafuta "umaarufu"?

Kaka Eiyer, i hope you are a man (samahani kama nitakua nimekosea). I am not new here,it's just that nimebadili identity ili niweze kupata ushauri coz nisingeweza kutumia ID yangu ile ya siku zote,jamaa ataniona kama vile i am trying to back stab him. Halafu ww ni miongoni mwa wadau ninao wa admire sana kwa michango yako yenye tija so ushauri wako nitaudhamini sana.
 
Una ID ngapi JF?

Umefahamiana na huyo jamaa JF mwaka jana wakati umejiunga na JF mwaka huu!




user-online.png
Miss Kim

MemberArray


Join Date : 3rd May 2014
Posts : 10
Rep Power : 303
Likes Received1
Likes Given0
 
Halafu huyu mtu namshtukia

Amejiunga jana ameanza kuwasiliana na huyo jamaa lini?

Mara nyingi sana ID za watu wanaoleta hapa hizi story huwa ni wale wapya

Kwanini?

Au ndio kutafuta "umaarufu"?

Jemedari nimepost kabla ya kusoma bandiko lako. Na mimi ndio nilikua nashangaa, amefahamiana na mtu mwaka jana kupitia JF wakati yeye kajiunga mwaka huu na hapo hapo anauliza is this real wakati yeye mwenyewe hayuko real.
 
Kaka Eiyer, i hope you are a man (samahani kama nitakua nimekosea). I am not new here,it's just that nimebadili identity ili niweze kupata ushauri coz nisingeweza kutumia ID yangu ile ya siku zote,jamaa ataniona kama vile i am trying to back stab him. Halafu ww ni miongoni mwa wadau ninao wa admire sana kwa michango yako yenye tija so ushauri wako nitaudhamini sana.

Hapana hujakosea mimi ni kaka

Lakini wewe ni kwamba unawasiwasi na mapenzi ya mtandaoni kama ni halisi halafu unakuja kuwauliza hao hao wa mtandaoni ili wakujibu kama hilo penzi lako lita work

Hii ni sawa kweli?
 
Kaka Eiyer, i hope you are a man (samahani kama nitakua nimekosea). I am not new here,it's just that nimebadili identity ili niweze kupata ushauri coz nisingeweza kutumia ID yangu ile ya siku zote,jamaa ataniona kama vile i am trying to back stab him. Halafu ww ni miongoni mwa wadau ninao wa admire sana kwa michango yako yenye tija so ushauri wako nitaudhamini sana.

Kwa hiyo huyo jamaa yako hatasoma hii post na haya mazingira kumshawishi kwamba ni wewe ndio umeandika kama kweli unayoyasema ni ya kweli? Au umemuwekea masharti ya post gani asome na zipi asisome? na una uhakika gani kwamba uwezo wa akili yake hataweza kuhisi hii ID mpya unayotumia ni wewe?
 
Halafu huyu mtu namshtukia

Amejiunga jana ameanza kuwasiliana na huyo jamaa lini?

Mara nyingi sana ID za watu wanaoleta hapa hizi story huwa ni wale wapya

Kwanini?

Au ndio kutafuta "umaarufu"?

Ni mkongwe huyu Baba Paroko,hii ni Id mpya ya kuulizia hili swali,angetumia common Id comments nyingi zingekuwa ni hata wewe?
 
These things are real trust me but you have to be very cautious. Mengine yanahitaji akili yako, they say usiingie na miguu yote miwili. Ninakataa pia kuwa girls are not cheap, men like to quickly rule out so. Best wishes and do not forget to let us know how this goes.
 
Jemedari nimepost kabla ya kusoma bandiko lako. Na mimi ndio nilikua nashangaa, amefahamiana na mtu mwaka jana kupitia JF wakati yeye kajiunga mwaka huu na hapo hapo anauliza is this real wakati yeye mwenyewe hayuko real.

Mkuu,

Huyu "manzi" anadai kuwa ana ID nyingine mkuu!!!!!


Kaka Eiyer, i hope you are a man (samahani kama nitakua nimekosea). I am not new here,it's just that nimebadili identity ili niweze kupata ushauri coz nisingeweza kutumia ID yangu ile ya siku zote,jamaa ataniona kama vile i am trying to back stab him. Halafu ww ni miongoni mwa wadau ninao wa admire sana kwa michango yako yenye tija so ushauri wako nitaudhamini sana.
 
Ni mkongwe huyu Baba Paroko,hii ni Id mpya ya kuulizia hili swali,angetumia common Id comments nyingi zingekuwa ni hata wewe?

Aiseeee

Ngoja na mimi nitafute ID nyingine halafu nikutongoze ....lol!!!!!!!!!
 
Mimi nitakushauri kutokana na mtazamo wangu na experience zangu...You should be very careful with what you are doing and getting yourself into kwasababu watu wengi waliokuwa online wapo FAKE na naweza kudiriki kusema wanajivalisha ngozi ya kondoo na kujipotray differently…The reality might be very different from what you are seeing,take that from me and my personal experience…DON´T FALL IN LOVE WITH SOMEONE YOU NEVER MET huwezi kujua mtu anachofeel kupitia kwenye chats lakini ukaribu,uwepo wake pamoja nawe,body language na facial expressions might tell you something!Wewe kuna uwezekano una hisia za kweli lakini mwenzako asiwe anajihisi hivo, anafuata flow tu…Na huyo ndio anaweza kukuumiza kiurahisi sana na akakuliza bila hata kujali hisia zako na maumivu unayoyapitia,coz after all ni just chatting….

Well said
 
[/B]Hamna cha ajabu mamy,mapenzi yaliyoanzia mitandaoni na yakafika mbali yapo na long distance relationship zilizo work pia zipo kama ambavyo mapenzi ya classmates au watoto wa familia rafiki yaliyo fail yapo na mapenzi ya kushare chumba na kujifunika shuka moja pia yaliyo fail yapo!
Go mamy,kuwa tu makini kama ambavyo ungekuwa kwenye mahusiano yeyote yale!
All the best!

Kwa niaba ya Miss Kim asante kwa ushauri Murua Ennie
 
Last edited by a moderator:
Alafu pia u dnt even knw how he luks like, au mlishatumiana picha? kama bado then u have fallen in love with the imagination na hyo ni mbaya sana, things may go very different when u meet. Ingawa kuna watu wachache sana wameoana baada ya kukutana online lakn pia najua wengi walioumizwa na kudanganywa sana na hayo mambo ya online relations, na pia huwa much easier wote mnapokuwa mji mmoja kuliko huyo alie millions of miles away. Either way gudluck
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom