Is this real?

Is this real?

kukaa na jamii ya viumbe wachafu na wajinga kama wewe

Sawa mie naweza kuwa mjinga ila jibu ulilotoa limedhihirisha kuwa kiwango chako cha ujinga ni zaidi yangu
 
Sawa mie naweza kuwa mjinga ila jibu ulilotoa limedhihirisha kuwa kiwango chako cha ujinga ni zaidi yangu

wanao act movie mbele za kuwa scence ya wajinga ni mabrilliant,
we kuwa mjinga na mchafu haimanishi mi ni mjinga,
harufu inayotoka kwako ndo inathibitisha we ni mjinga ,
kwa kigezo kwamba wewe hujui usafi
 
Duh aiseee reality yako itakuwa tofauti from ur expectations….nakuelewa sana unavyojisikia kwasababu nishapitia hayo and i learned my lesson the hard way!!

Ur being persimistic gorgeousmimi ,sio lazima wat u went thru ndo imtokea naye pia,its might turn out differently for her, the key thing is for her to be careful.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nitakushauri kutokana na mtazamo wangu na experience zangu...You should be very careful with what you are doing and getting yourself into kwasababu watu wengi waliokuwa online wapo FAKE na naweza kudiriki kusema wanajivalisha ngozi ya kondoo na kujipotray differently…The reality might be very different from what you are seeing,take that from me and my personal experience…DON´T FALL IN LOVE WITH SOMEONE YOU NEVER MET huwezi kujua mtu anachofeel kupitia kwenye chats lakini ukaribu,uwepo wake pamoja nawe,body language na facial expressions might tell you something!Wewe kuna uwezekano una hisia za kweli lakini mwenzako asiwe anajihisi hivo, anafuata flow tu…Na huyo ndio anaweza kukuumiza kiurahisi sana na akakuliza bila hata kujali hisia zako na maumivu unayoyapitia,coz after all ni just chatting….

If u dare for nothing, u need to hope for nothing
 
Ur being persimistic gorgeousmimi ,sio lazima wat u went thru ndo imtokea naye pia,its might turn out differently for her, the key thing is for her to be careful.

Sawa i guess im being overprotective...i wish her best of luck!
 
Last edited by a moderator:
Thank you Badiebey,you are so on point! Nitaufanyia kazi ushauri wako. After all life is always about taking risks. Nampenda sana aisee and i pray that he loves me back just as much.

huo ni upotoshaji wenzio wanatake risk kwenye business we unatake kwenye papuch, mi nafikili mwili wako unathaman zaidi ya hizo fantasi. kunawanamme bilioni bongo plse, humu JF kunawanawake walioshindikana sasa ukitaka kuwafanta na hizo sentence zenu za ajabu eti risk utaishia na wewe kua gumegume.
 
''Muhammed Ali's advice to his daughters...An incident transpired when Muhammad Ali's daughters arrived at his home wearing clothes that were quite revealing.
Here is the story as told by one of his daughters:
"When we finally arrived, the chauffeur escorted my younger sister, Laila, and me up to my father's suite. As usual, he was hiding behind the door waiting to scare us.
We exchanged many hugs and kisses as we could possibly give in one day.

My father took a good look at us. Then he sat me down on his lap and said something that I will never forget. He looked me straight in the eyes and said, "Hana, everything that God made valuable in the world is covered and hard to get to. Where do you find diamonds? Deep down in the ground, covered and protected.
Where do you find pearls? Deep down at the bottom of the ocean, covered up and protected in a beautiful shell.
Where do you find gold? Way down in the mine, covered over with layers and layers of rock. You've got to work hard to get to them."
He looked at me with serious eyes. "Your body is sacred. You're far more precious than diamonds and pearls, and you should be covered too." From the book: More Than A Hero: Muhammad Ali's Life Lessons Through His Daughter's Eyes,,
 
Hapana hujakosea mimi ni kaka

Lakini wewe ni kwamba unawasiwasi na mapenzi ya mtandaoni kama ni halisi halafu unakuja kuwauliza hao hao wa mtandaoni ili wakujibu kama hilo penzi lako lita work

Hii ni sawa kweli?

hahhhahhha mpige na kibao mkuu, yaani kabisa anasema amekufa kabisa as if anajuana na huyo mtu, inawezekena anawish huyo jamaa atakua kama baraka obama, siwezi kumwish all the best cos naona anaelekea kuumia
 
''Muhammed Ali's advice to his daughters...An incident transpired when Muhammad Ali’s daughters arrived at his home wearing clothes that were quite revealing.
Here is the story as told by one of his daughters:
“When we finally arrived, the chauffeur escorted my younger sister, Laila, and me up to my father’s suite. As usual, he was hiding behind the door waiting to scare us.
We exchanged many hugs and kisses as we could possibly give in one day.

My father took a good look at us. Then he sat me down on his lap and said something that I will never forget. He looked me straight in the eyes and said, “Hana, everything that God made valuable in the world is covered and hard to get to. Where do you find diamonds? Deep down in the ground, covered and protected.
Where do you find pearls? Deep down at the bottom of the ocean, covered up and protected in a beautiful shell.
Where do you find gold? Way down in the mine, covered over with layers and layers of rock. You've got to work hard to get to them.”
He looked at me with serious eyes. “Your body is sacred. You’re far more precious than diamonds and pearls, and you should be covered too.” From the book: More Than A Hero: Muhammad Ali's Life Lessons Through His Daughter's Eyes,,

Thank you, nimejifunza.
 
We never video called each other but we do phone calls.

Mmh take cover,kuwa makini Hapa je hata picha zake umeziona? Na Kama ni whatsapp Kwa nini asitume hata video of himself mjuane au Skype coz watu wamarekani wana prefer Skype na Line for communication
 
Moyo wa mtu ni giza nene..if u love him go ahead,but always take care of urself....don't compromise too soon..kukutana nae online doesnt mean he is a bad man,wapo wanaovunja mioyo yetu hata tuliowafahamu for years tangu tukiwa watoto
js take ur chances enjoy life and love him he's what u got right now,than live with regrets later

Hakunaga,umeandika sana aisee..asipoelewa na hapa basi ana matatizo huyu kiswanglish.
 
Kwani ukikutana Club, Bar, Barabarani, Chuoni, Church, Kwenye Basi, Ndege, Meli, Disco, Kwenye Mkesha, Kwenye sherehe etc Kuna tofauti gani na kukutana kwenye social networks? Kukutana ni kulekule hakuna tofauti swala la kupendana na kuoana au kugegedana na kuachana inategemea wewe utamuhandle vipi au yeye atanogewa vipi na game yenyewe hata mungekutana maeneo tajwa Harpo juu chochote kingeweza kutokea bila haijalishi where was your first impression.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom