Is this normal kweli?

chopeko

JF-Expert Member
Apr 23, 2012
1,529
1,102
Habari Wana JF!
Kuna kitu nimewahi ki experience nikiwa sekondari na chuo.
Kuna jamaa mmoja alivyokuwa anapiga paper kama ikitokea hajamaliza afu msimamizi akasema "time is over"... jamaa anamwaga wazungu!!!! Sasa ckuwahi kujua sababu ya kumwaga wazungu katika mazingira ya mtihani ni nini!
Mwenye maelezo ya hilo jambo anaweza nisaidia!
 

Otorong'ong'o

JF-Expert Member
Aug 17, 2011
37,056
24,747
Habari Wana JF!
Kuna kitu nimewahi ki experience nikiwa sekondari na chuo.
Kuna jamaa mmoja alivyokuwa anapiga paper kama ikitokea hajamaliza afu msimamizi akasema "time is over"... jamaa anamwaga wazungu!!!! Sasa ckuwahi kujua sababu ya kumwaga wazungu katika mazingira ya mtihani ni nini!
Mwenye maelezo ya hilo jambo anaweza nisaidia!

Huyo jamaa ndo wewe...
 

Watu8

Platinum Member
Feb 19, 2010
64,652
75,739
Skrubu zake zitakuwa zimelegea kiasi mtetemeko kidogo tu wa mwili ndio zachoropoka kabisaaaa.
 

snowhite

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
17,442
23,037
khee!sasa time is over anapata mabadilikko ya kikemilkali!
akiwa maabara je?si ndo paractiko haifanyiki kabisa!
maskini sijui alikuwa anajisikiaje?
mh!
 

Joeli

JF-Expert Member
Apr 25, 2011
4,941
3,371
nahisi nakujua wewe chopeko in real life, nimegundua mwandiko wako.... hata hii stori nahisi naijua heheheee
 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Top Bottom