Is this Africa's 1st Female Billionaire?

Is this Africa's 1st Female Billionaire?

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
14,630
Reaction score
4,267
'First African female billionaire'

Angola250113.jpg


Isabel dos Santos, eldest daughter of Angola's president, has become Africa's first female billionaire [Photo:Courtesy]


Isabel dos Santos, the eldest daughter of Angola's president, has become Africa's first female billionaire, US financial magazine Forbes has said.

The 40 year old's shares in several Portuguese firms, including a TV cable company, and an Angolan bank put her on the billionaires' list, Forbes said.

Her first venture was a restaurant in Luanda called Miami Beach, said the magazine that tracks the world's rich.

Most of the population in oil-rich Angola live on about $2 (£1.25) a day.

Angola is striving to tackle the physical, social and political legacy of a 27-year civil war that ravaged the country after independence from Portugal.

The conflict ended in 2002 and Angola has since emerged as one of Africa's leading oil producers and fastest-growing economies.

The family of President Jose Eduardo Dos Santos - who has been in power for 33 years - controls a large chunk of that economy.

"When you tease out the ownership and controlling interests in Angola it reads like a Who's Who of family members and party and military chiefs," Peter Lewis, an African studies professor at Johns Hopkins University in the US, told Forbes.

Correspondents say Ms dos Santos is a relatively shy public figure despite her successful business career.

Since setting up her restaurant in the capital, Luanda, in 1997 she has become an influential businesswoman in Angola and Portugal.

With a 28.8% stake in Zon, she sits on the Portuguese media company's board and is its largest shareholder, Forbes said.

She also sits on the board of Angola's Banco BIC and is reported to have a 25% share of the bank, the magazine reported.

Standard Digital News - Kenya : World : 'First African female billionaire'


Isabel dos Santos

  • Studied engineering at King's College in London, where she grew up with her mother
  • Opened Miami Beach restaurant in Luanda at the age of 24
  • Owns 28.8% share of Zon, a Portuguese media firm, worth $385m
  • Owns 19.5% of Portuguese bank Banco BPI, worth $465m
  • Owns 25% of Angola's Banco BIC, worth an estimated $160m
  • Alleged to be a 25% shareholder of Angolan telecom firm Unitel

Source: Forbes magazine
 
sitashangaa kila kitu kinawezekana africa ukiwa kiongoz au mtoto wa kiongoz mkubwa,mimi nilishangaa kupata nyumba capital city ya angola,nyumba vyumba viwili US $ 10,000 kwa mwezi
 
Unless I am out of my minds, all facts are presented in your post, what exactly do want to hear from JF members? or you simply want us to see the photo of the old lady? Plz tell us!!
 
Huyu hana tofauti na watoto wa viongozi mafisadi wa Afrika,ubilionea wa kuiba hela za wananchi hauna maana
 
Unless I am out of my minds, all facts are presented in your post, what exactly do want to hear from JF members? or you simply want us to see the photo of the old lady? Plz tell us!!

One, the thread is in the form of a question, which means I have some doubts about her being declared as
Africa's 1st female billionare. There are some rich women in Nigeria that I felt deserved this spot. So as a
matter of discussion I wanted varying opinions.

Here is an example:
The New "World's Richest Black Woman"

FolorunshoAlakijaimages.jpg


Black female billionaire, Folorunsho Alakija

http://www.afro.com/sections/news/afro_briefs/story.htm?storyid=76974


Two, hili si jukwaa la picha na ningetaka hoja iwe kuhusu sura ningeipeleka jukwaa husika.

Three, How many minds do you have by the way?....:confused2:
 
Angola ni nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta na almasi. Rais wa Angola amehamisha mali za taifa na kulimbikiza kwa mwanawe kwa kisingizio cha ufanya biashara.

Kila kitu kikubwa cha Angola, hususan pale Luanda, kina mkono wa Binti huyu na familia ya Rais Dos santos.

Wananchi wanalalamika chini chini...lakini hawawezi kupaza sauti yao kwa kuogopa kunyamazishwa.

Luanda ni mji wenye gharama kubwa za maisha kuliko miji yote ya Afrika, na wa pili kwa gharama za kufa mtu hapa duniani, ukizidiwa na Tokyo, na kidogo Geneva.

Kipato cha mwananchi wa kawaida wa Luanda, ni wastani wa dola mbili kwa siku, na utajiri wote huu kulimbikizwa na watu wachache kwa njia za kifisadi si haki hata kidogo.

Huyo Dos Santos akitoka madarakani..mengi yataibuliwa...na hapana shaka mali nyingi za Rais huyu, na majemedari wachache wa Jeshi, zitarudishwa kwenye mikono ya Uma.

Ni kweli kimahesabu aweza kuongoza kwa kuwa na utajiri mwingi kuliko mwanamke yeyote Barani Afrika..lakini kwakuwa ni pesa za dhuluma...hawezi kuwa na fahari nazo...Yupo wapi Rais Muamar Ghadhafi na utajiri wote ule aliokuwa nao?
 
Angola ni nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta na almasi. Rais wa Angola amehamisha mali za taifa na kulimbikiza kwa mwanawe kwa kisingizio cha ufanya biashara.

Kila kitu kikubwa cha Angola, hususan pale Luanda, kina mkono wa Binti huyu na familia ya Rais Dos santos.

Wananchi wanalalamika chini chini...lakini hawawezi kupaza sauti yao kwa kuogopa kunyamazishwa.

Luanda ni mji wenye gharama kubwa za maisha kuliko miji yote ya Afrika, na wa pili kwa gharama za kufa mtu hapa duniani, ukizidiwa na Tokyo, na kidogo Geneva.

Kipato cha mwananchi wa kawaida wa Luanda, ni wastani wa dola mbili kwa siku, na utajiri wote huu kulimbikizwa na watu wachache kwa njia za kifisadi si haki hata kidogo.

Huyo Dos Santos akitoka madarakani..mengi yataibuliwa...na hapana shaka mali nyingi za Rais huyu, na majemedari wachache wa Jeshi, zitarudishwa kwenye mikono ya Uma.

Ni kweli kimahesabu aweza kuongoza kwa kuwa na utajiri mwingi kuliko mwanamke yeyote Barani Afrika..lakini kwakuwa ni pesa za dhuluma...hawezi kuwa na fahari nazo...Yupo wapi Rais Muamar Ghadhafi na utajiri wote ule aliokuwa nao?

Hapa ndipo ninapoona Forbes linachemsha. Mimi ningewashauri utajiri wowote wenye mashakamashaka ya namna ulivyopatikana kama huu wahusika wasiwemo kwenye list za Forbes. It doesn't make sense wengine wapambane kuzisaka na wengine wazichote kifisadi kama huyu na still wote wawe judged equally. I know huyu huwa wanatuzugaga eti utajiri umetokana na mumewe mfanyabiashara kitu ambacho ni danganya toto tu.
 
Mama zakhia meghji enzi za uongozi wake hakuchuma billioni za kutosha? Ama za uswis hatuzihesabu?
 
Hapa ndipo ninapoona Forbes linachemsha. Mimi ningewashauri utajiri wowote wenye mashakamashaka ya namna ulivyopatikana kama huu wahusika wasiwemo kwenye list za Forbes. It doesn't make sense wengine wapambane kuzisaka na wengine wazichote kifisadi kama huyu na still wote wawe judged equally. I know huyu huwa wanatuzugaga eti utajiri umetokana na mumewe mfanyabiashara kitu ambacho ni danganya toto tu.

Behind every great fortune, there is a great crime.

Bakhresa anasifika kwa kuuza mikate lakini kashauza pembe sana.
 
The so called "her wealthy" will dissolve when her father's regime ends....its just a matter of time. Ufisadi kwa kifamilia tu!
 
Meanwhile a reminder that the same Forbes reported the story of Folorunsho Alakija, as the first woman ( and Nigerian too) to surpass Oprah Winfrey's billions. So this one is quite confusing… did they omit her accidentally or what
 
Meanwhile a reminder that the same Forbes reported the story of Folorunsho Alakija, as the first woman ( and Nigerian too) to surpass Oprah Winfrey’s billions. So this one is quite confusing… did they omit her accidentally or what

ahahahaaaaaaaaaaaaaaaa.....chezea Forbes
 
Meanwhile a reminder that the same Forbes reported the story of Folorunsho Alakija, as the first woman ( and Nigerian too) to surpass Oprah Winfrey's billions. So this one is quite confusing… did they omit her accidentally or what

Thats exactly what I was thinking about when I posted this thread. Huyo Mnaija nasikia ana fweza mbaya!
 
kuna wana wa president yeyote Africa ambaye sio billionare?
 
Watu wote wanastrugle kuanzia pale walipo. Watu maskini tajiri, viongozi na hata wasio na madaraka. ENTREPRENEURSHIP ipo kwa watu wote na profession zote. Huwezi kuniambia an Engineer hawezi kuventure mpaka awe ameiba. Kuna ma Engineers wengi tu wamefanya mambo ya ajabu mfano Frederick Taylor alifanya vizuri katika management ingawa hakusomea management. Sioni ajabu Isabela dos Santos kuwa bilionere. Mbona kuna watoto wengi wa Maraisi mafisadi kama vile Idd Amin Dada, Mobutu Seseko wa Zabanga wa Zaire etc wameshindwa kuwa Bilioneres.
Isabela kanunua shares katika makampuni mbalimbali serikali ijayo itawezaje kumnyang'anya?.
Kila tajiri ana chanzo chake, lakini ni vigumu kuwa tajiri bila kumdhurumu mtu yeyote hata kama sio mtoto wa raisi
Angola ni nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta na almasi. Rais wa Angola amehamisha mali za taifa na kulimbikiza kwa mwanawe kwa kisingizio cha ufanya biashara.

Kila kitu kikubwa cha Angola, hususan pale Luanda, kina mkono wa Binti huyu na familia ya Rais Dos santos.

Wananchi wanalalamika chini chini...lakini hawawezi kupaza sauti yao kwa kuogopa kunyamazishwa.

Luanda ni mji wenye gharama kubwa za maisha kuliko miji yote ya Afrika, na wa pili kwa gharama za kufa mtu hapa duniani, ukizidiwa na Tokyo, na kidogo Geneva.

Kipato cha mwananchi wa kawaida wa Luanda, ni wastani wa dola mbili kwa siku, na utajiri wote huu kulimbikizwa na watu wachache kwa njia za kifisadi si haki hata kidogo.

Huyo Dos Santos akitoka madarakani..mengi yataibuliwa...na hapana shaka mali nyingi za Rais huyu, na majemedari wachache wa Jeshi, zitarudishwa kwenye mikono ya Uma.

Ni kweli kimahesabu aweza kuongoza kwa kuwa na utajiri mwingi kuliko mwanamke yeyote Barani Afrika..lakini kwakuwa ni pesa za dhuluma...hawezi kuwa na fahari nazo...Yupo wapi Rais Muamar Ghadhafi na utajiri wote ule aliokuwa nao?
 
Thats exactly what I was thinking about when I posted this thread. Huyo Mnaija nasikia ana fweza mbaya!

Mkuu, mwaka jana nilikutana na mmoja Mwandishi wa hili Gazeti pale DC nikiwa na Tony Elumelu na jamaa wa UBA, na hakuniconvice katika kuelewa kwake. Anyways, mambo ya Naiga waachie wenyewe Naija.
 
Back
Top Bottom