kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,156
- 11,608
Tena sana. Ameongea bila kigugumizi japo mtangazaji alikuwa anamkata kabla hajamaliza kumwaga data.Hivi unadhani ni nani hapa nchini angeweza? Prof kajitahidi sana
Tena sana. Ameongea bila kigugumizi japo mtangazaji alikuwa anamkata kabla hajamaliza kumwaga data.Hivi unadhani ni nani hapa nchini angeweza? Prof kajitahidi sana
Khanifa…go suck some dyck, ok?Then why listening?
What a moron. 🤣
Kabudi defend our country to the teeth today .
Period.
Teh teh tehKhanifa…go suck some dyck, ok?
Unajua sasa hivi sidhani kama kutakuwa na mwenye nafuu... kama watu walifikiria wanamuunga mkono Samia sasa hivi itakuwa ni level nyingine kabisa...Palamagamba Kabudi Mwaluko is an embarrassment to the gogos as well as to all the learned brothers in Tanzania. Pathetic! I cannot stand him!
Mr Kabudi is dominating the conversation and not allowing others to speak
He stupidly launched into an unmatched shouting match!Mr Kabudi is dominating the conversation and not allowing others to speak
Nimemfurahia pia Dorothy ana mawazo komavu.
If you see someone talking too much, doesn't give himself time to listen to others, know that he is telling lies.Mr Kabudi is dominating the conversation and not allowing others to speak
Kwanini CHADEMA wasiitishe màndamano? Au ACT au any registred civil society au watu binafsi?
Kwanini ofisi zao za kanda zisiitishe maandamano, waombe vibali na wapange tarehe ya maandamano ya amani?
Kwani maandamano ya amani ya kupinga uchaguzi na hali mbaya ya uhuru wa mtanzania yana matatizo gani kisheria, kama yatakuwa chini ya usimamizi wa polisi?
Mimi naona both extremes zinawaharibia maisha watanzania wengi wasiojali. The government extremists and opposition extremists ambao sidhani hata wanafika 5% ya population ndio tatizo.
Fujo, mauaji, kutishana, kualika other nations, its just fuckin stupid. Halafu none of you are better than the silent majority.
Afadhali Simbachawene angeongea, but this dude is just too arrogant. And the gay kenyan dude is just the same, talking weird shit.
Kumbe ndo maana alichaguliwa kuwa waziri wa habari. Nilikuwa nashangaa kwanini hakwenda sheria na katiba. No! Ameitendea haki nafasi ile. Anafaa, ila inatakiwa na samia amsikilize, siyo wahuni ambao hawana uwezo wa kujenga hoja kimataifa na hawawezi kumtetea anapovurunda.Tena sana. Ameongea bila kigugumizi japo mtangazaji alikuwa anamkata kabla hajamaliza kumwaga data.
Sasa Naanza kuona watu makini JF! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Nasubiri comment ya vichwa kama Victoire watueleze kuhusu huu mjadala walivyoutathiminiSikumjua huyu mama but she came across as serious, reasonable, fair.
Sasa hivi nataka kuiona na kuijua CV yake. Huyu anaweza kuwa Rais mzuri kuliko fisadi, muuaji Samia.
Absolutely, he was also too defensive, lacking composure, looked scared and in a state of panic, showing all signs of chaos behind the scenes.If you see someone talking too much, doesn't give himself time to listen to others, know that he is telling lies.
Unapotumia rasilimali zote kuelekeza kwenye kudhibiti maandamano ni lazima fedha zitumike na hapo yamaanisha kwamba hazina yatia fedha ambazo hazina mahesabu, kwani hakuna bajeti ya kudhibiti maandamano.Unajua sasa hivi sidhani kama kutakuwa na mwenye nafuu... kama watu walifikiria wanamuunga mkono Samia sasa hivi itakuwa ni level nyingine kabisa...
Hayo ni matokeo ya irresponsible opposition meet irresponsible governance.View attachment 3513711
hawa watoto wote waliouwawa ni watoto wa chadema pekee?!
Yaliyopita yalikuwa ni vurugu, na yaliyotarajiwa hata kama yasingekuwa ya vurugu, bado tahadhari kubwa ilihitajika kulinda uhai na mali za umma na binafsi. Kwanini maandamano yasiwe organized? Yàani yawe na kibali na usimamizi?Haya maandamano si vurugu kama serikali inavyotaka kuaminisha Dunia kwamba ni lazima ije na hatua kali za kuyadhibiti, ingawa serikali bila kufahamu yalea vuguvugu la machafuko na mpasuko mkubwa kwenye jamii za watanzania