Is President Magufuli an isolationist?

Sasa kama hao WHO wanakuambia chanjo inawezekana kupatikana baada ya mwaka mmja
Ina maana muda wote huo watu watakuwa lockdwn
(that's bullaheet)
Kwa style hii lazima tuishi na corona kila mtu achukue tahadhari....
Kiukweli naipa kongole serikali hii kutotuweka lockdown maana sisi wengine tunaishi uswaz, nyumba mbanano Sasa lockdown si itakuwa balaaa

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

..serikali ipambane na ugonjwa.

..iache kupambana na lockdown.
 
Kwani ni lazima kila mshiriki azungumze Kiingereza?
Ngabu, huyu jamaa mbona hata mijadala katika kiswahili ni shida? Ndio maana lazima achanganye mambo ya hovyo kama ngono ili kulazimisha kucheka kupoteza malengo.
Uwezo wa kujieleza kiweledi hana kabisa katika lugha zote, najiuliza kawa waziri karibia miaka 20 inamaana walikuwa hawamjui?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo lockdown siyo kipaumbele tena maana ilitakiwa ifanyike kabla ugonjwa haukusambaa kama sasa.Lakini kwa makusudi kila Mbaba akiharibu mnakimbilia kutoa mifano ya nchi ambazo hazikufanya lockdown.
Mnasahau kuwa baadhi ya hizi nchi zina mifumo bora ya afya na uwezo wa kuchunguza watu wao,tunawezaje kujilinganisha nao ilhali Sisi tunapeleka sample za papai,fenesi,mbuzi au kondoo maabara.Tunafukuza wataalam kisiasa,hapo tupo sawa?
 
Kuna zengwe tunatengenezewa lbda
Wakuu na vyombo vyetu vya usalama watakuwa wameliona, sisi hatujui
Kama takwimu wanasema tunaficha takwimu zip?
Kuna mtu anasema hapendi jinsi serikali inavyo handle issue ya Corona?
Je wanataka lockdown, lockdown wataiweza
Au wanataka kuona serikali iamrishe usipovaa barakoa utembezewe kichapo

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwanzoni Tanzania ilikuwa inafanya vizuri toka tulipopata mgonjwa wa kwanza, Ummy mwalimu alijitahidi sana kuwaeleza wananchi kufuata taratibu kama watalaam wanavyoshauri nchini na duniani kote, mfano kuepuka au kuzuia kabisa maeneo yenye msongamano wa watu wengi, kupima kwa wageni na raia ndani ya nchi na kuwatenga wanao thibitika kuwa na corona, hatua zingine ambazo serikali ingezichukua ni kuwahamasisha watu wavae barakoa muda wote wakiwa katika shughuli zao, uvaaji wa barakoa umesaidia nchi nyingi kuwa na idadi ndogo ya maambukizi, hivyo watu wangenunua na pia serikali ingegawa barakoa sehemu za stations za magari, train, hospitals, public hospitals, markets etc, hata serikali ingeenda mbali kuzuia sehemu ambapo watu wanakusanyika kwa wingi ,masokoni,zuia safari za mabasi kwa muda kwenda na kungia katika miji ambayo iko affected, wanaweza kutumia private cars kusafiri ambapo kwenda mikoani kwa muda , bar hizi kwa sasa sio Rafiki zuia pia kwa muda, pia makazini watu wanaweza pewa likizo au ku rotate staff ili kuwe na idadi ndogo inayoingia,pungua watu au ndugu kutembeleana, hizi ni baadhi tu ya hatua mnaweza chukua huku mkiangalia hali ya uenezi wa corona nchini, lock down itakuja baadae sana baada ya measures zote kushindikana, sasa tukitoa ushauri kama huu na ndicho Ummy mwalimu alianza vizuri lakini alikatishwa tamaa na Rais mwenyewe, Rais akisimama anasema nendeni mkasali, nendeni wapi, hata kabla ya pasaka maambukizi nchini yalikuwa madogo sana, tukatoa ushauri kuwa hizi mikesha sa pasaka ndugu zangu tuzizuie kwa muda lakini wapi watu waliendelea from there maambukizi yakawa yakaongezeka kwa kasi, sasa tusijidanganye kila kitu kinachotokea nchini kuwa ni vita, hata kama ni mambo ya kitalaam tunasema hii ni vita.
 
Sikubaliani na Magufuli anavyo handle corona au kutoshiriki mikutano na viongozi wenzie, hoja yangu ni mazingira ambayo aliko Magufuli yanamfanya ashindwe kujadiliana nao . Rais wa nchi hawezi fanya mikutano kwa njia skype, its not safe to national security, skype tunafanya sisi ambao hatuna impacts yeyote kwa Taifa. Zoom inategemea inategemea na system wanayotumia wote ni cloud based system which you can book voice/video conference in the system and share a link to President, hapa hatujui kama invitations ilitumwa au haukutumwa kwenda kwake, au hawana hii system ni kumlaumu bure or still organizer wa hiyo meeting angeweza to invite Magufuli through his mobile number ,so inategemea na system wanayotumia .
Unaweza toa njia moja au mbili kama suluhisho ili ujue hatua zinachukuliwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo lockdown siyo kipaumbele tena maana ilitakiwa ifanyike kabla ugonjwa haukusambaa kama sasa.Lakini kwa makusudi kila Mbaba akiharibu mnakimbilia kutoa mifano ya nchi ambazo hazikufanya lockdown.
Mnasahau kuwa baadhi ya hizi nchi zina mifumo bora ya afya na uwezo wa kuchunguza watu wao,tunawezaje kujilinganisha nao ilhali Sisi tunapeleka sample za papai,fenesi,mbuzi au kondoo maabara.Tunafukuza wataalam kisiasa,hapo tupo sawa?

..we need to be careful.

..tusije tukafika mahali covid19 ndiyo inaamua tuwe lockdown au tuchape kazi.
 
Ukichunguza waweza kuta walishajaribu kumshawishi akawatolea nje...

Wanajua hata wakimualika, hawezi kuhudhuria...

Focus & priority yake utakuta UCHAGUZI, as if watanzania wa kawaida wanafikiria uchaguzi. He's simply out of sync.

Everyday is Saturday........................:cool:
 
Did the presidents(of Kenya, Uganda, Randwa and South Sudan) invite Dr Magufuli in the meeting? How if the meeting was made without inviting the Tanzania president.
Very poor reasoning, the post is about why and you are asking if ur president was invited!! Ok let's say he was not invited, the question still remains why was not invited if it was EAC eads meeting and the main agenda is a concern to Tz!!!

Acha kuuliza cloaka ya kuku wakati mkia wake unauona! Hapa tena utauliza cloaka ya kuku ni nini!
Ni kufungwa kwa mipaka ya Namanga, horohoro!!
 
Sababu kubwa ni hizi nchi majirani kuingilia mambo ya ndani ya tanzania, hilo ndio limemkasirisha magufuli, hawamuheshimu
Ni ngumu sana kumuheshimu.... Hata raila mwenyewe hawezi kumpa heshima sana rais wetu.... Kwasababu wa namuona kama bwana mdogo... Yaan junior kwenye mambo ya uongozi hususani kwenye huu ukanda wa maziwa makuu... Na maanisha.. Yeye ndio rais yuko kipindi cha kwanza.... Wengine wote ni wazoefu...

Unadhani Magufuli anaweza mshauri mseveni.... Au kagame...... Au kenyatta..... Japo Magufuli anaweza kuwa na reasons nzuri na zenye uzito kwenye maamuzi yake.... Ila akina mseveni watataka kumburuza jambo ambalo huwa anareact kama cheche..... You see.... Ndio maana huo mkutano kaupiga chini.

Ni kweli kama mchangiaji mmoja alivyo Sema.... Kwamba ni mkutano wenye masirahi ya kisiasa ambao ni Magufuli a natakiwa anufaike nao sana kuliko wenzake kwasababu yy yuko kwenye kilele cha kuomba muhula wa pili..... Sasa akifuata ushauri ambao utaumiza wapiga kura wa kawaida anaweza kushuhudia maajabu ambayo hakutegemea...

Kwa wale msioifahamu Tanzania........ Uchumi huwa unamaamuzi makubwa sana Tanzania...... Hilo jambo linasumbua sana marais wa Tanzania...... Hata rais wa kwanza alijiuzuru kwasababu ya Uchumi.... Na ndio sera zote za CCM zimebase hapo toka mwanzo....... Na hicho ndio kilimuweka madarakani....... Sasa umwambie lockdown kama watu wa vijijini watakwelewa.......... Ndio maana anakataa..... Au umwambie mfanya kazi hatulipi mshahara hahaha............ Ndugu zangu haya mambo yanauzito sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I am anti-stupidity and pro-intelligence. Anti-foolishness and pro-common sense.

Having said that, I’m not here to cape for Magufuli on just about anything and everything.

I look at issues on a case by case basis.

Today, the East African Community heads of state held a virtual meeting sans President Magufuli.

Last week SADC did the same.

President Magufuli has missed several of these types of meetings a number of times now.

Is he an isolationist?

It’s hard to make sense of his absences. Like for example, what made him miss today’s virtual gathering?

Did he have an over-packed docket of things to do [wherever he is at]?

Just downright bizarre!

As trivial as it may sound, maybe there’s some truth to what some people think could be the reason for him skipping these meetings - English.

Maybe he is so self-conscious about his English speaking proficiency and he can’t handle being dragged for it afterwards.

If that’s not the case, then what is it?

To me it doesn’t make any sense why he would skip on these types of meetings especially at a critical time as now.

Can anybody make sense of this nonsense?


Sent using Jamii Forums mobile app
He could serve better as a village head, sorry even village leaders convene often with leaders of neighboring villages..., I think....we faulted in 2015.
 
Shida sio lugha na wote tunajua anaweza kuongea hata cha kuombea maji... Tatizo hata hotuba huwa anaandikiwa siku akipiga freestyle tunaonaga anayoyaongea sasa sehemu ya watu smart kama ile akae aongee tu hahahaha atatutia aibu hana cha kuchangia huo ndo ukweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I sincerely doubt that language is an issue in this case. In any case, Swahili has been adopted by both the EAC and SADC as an official language and Heads of State can present themselves in any the official languages.

As an observer, but limited in analysis, this is my personal deduction. For a while now the GoT has been able to implement (sometimes quite well) but still get away with shortcomings in these key strategies:

1. Distract, divert, destroy/conceal

2. Limit information, control the narrative, reset the agenda

in either cases, eventually people forget and launch on new agenda.

If there's persistence, demonize it and launch mass attack on it calling for "national solidarity" or look for sacrificial lamb - and voila!

The State's absolution is never called to fault.

This time things are different - we are in a situation where our country's actions affect those beyond its borders. So are we playing ostrich with heads in the sand? Or we are we willing to compromise and accept "intrusion"?

Whatever the course of action, our State will not remain silent no matter how much time elapses: "msemakweli" ni mpenzi wa mungu philosophy will prevail. Time will tell.
When a disease or bandits attacks every home each one has to fight for his own !!! It
Kwa kiingereza hicho ndiyo maana mnaogopa vikao vya wenye hekima.

Odhis *
Wewe mjaluo ndio maana wakebya hawataki kuwapa uraisi wajaluo Kenya sababu wakikuyu walipokuwa wakimpiga mwingereza kutafuta Uhuru Kenya kupitia may may wasiojua kiingereza wajaluo mlikuwa hamshiriki vita ya maumau mnaongea kingereza kilichonyooka na malikia mkoloni

Kenya marufuku kumpa jaluo uraisi
 
Sidhani kama tatizo ni lugha, labda huko sadc, lakini eac si wanatumia Kiswahili na kiingereza?

Ana tatizo zaidi ya lugha!!!
 
If he can easily go AWOL on his voters and tax payers why would he grace these virtual meetings with his holy presence? He is too high and mighty, the one and only Jiwe the almighty. I would bet on his arrogance rather than English language deficiencies. He has turned his ear deaf to everyone but his own bizzare and freakish counsel...one day praying the next herbal remedies concoted by every like minded Tom, Dick and Harry out there. Absurd!
 
Back
Top Bottom