Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Huyu kagame, ni balaa, kwani mauaji yote yaliyo tokea Rwanda chanzo chake ni yeye. Unajua waandishi tena wa nje na ndani ya TZ wakisha pewa hela huandika uongo, mfano huandika hivi:
Watusi wenye itikadi kali walio husika na mauaji ya watusi! Huu ni uongo wa waandishi wa habari, ukweli ni kwamba kagame ndiye aliye injinia mauaji hayo na mpaka sasa anaendelea kuua wahutu wachanga ili wasiwe askali
Watusi wenye itikadi kali walio husika na mauaji ya watusi! Huu ni uongo wa waandishi wa habari, ukweli ni kwamba kagame ndiye aliye injinia mauaji hayo na mpaka sasa anaendelea kuua wahutu wachanga ili wasiwe askali