Is President Kagame behind General Imran Kombe's assasination?

Na kifo cha mwasheria Juani Timoth Mwaikusa je?



Nyie kagame mnamjua ama mnamsikia,yule mtu ana mkono mrefu........

Hili la Prof Mwaikusa nalo ni zito, ni mara ya pili sasa Kagame anahusishwa na kifo cha Pra of wetu. Hivi serikali ya Tanzania ipo? jamaa anatekeleza tu mauwaji anavyotaka
 
Kagame hosted the first regional military joint drill it would be wise to keep an eye on Kagame and his military ambitions in the EAC.
Very true mkuu! Huyu jamaa hatari sana na sijui kama vyombo vyetu vya usalama vinamuangalia kwa jicho gani!
 
Kama Kagame kweli ameweza kumuua mtu mzito kama director wa TISS bila ya 'baraka' ya serikali ya Tanzania/bila ya serikali ya Tanzania kujua,aise tutakuwa na tatizo kubwa sana kiusalama kama nchi na vyombo vyetu vya usalama,kitu ambacho sitaki kukiamini
 
Kagame ali operate na ku accomplish hiyo mission bila serikali ya Tanzania kujua?

Wewe unajua kuwa Kigoma Malima, Nyerere, Kibona, Kolimba etc did not die a natural death. Ya Mwakyembe juzi hakuwataja Wanyarwanda kuhusika? What is EAC for other kuficha ewahalifu wakiwemo wa hapa.
 
Wewe unajua kuwa Kigoma Malima, Nyerere, Kibona, Kolimba etc did not die a natural death. Ya Mwakyembe juzi hakuwataja Wanyarwanda kuhusika? What is EAC for other kuficha ewahalifu wakiwemo wa hapa.

what is a natural death according to you?maybe lets start from there first..and one more thing,i dont believe in conspiracy theories so if u want a serious discussion then u need to bring a tangible evidence to back up ur claims and not blabla na hearsay za mtaani
 
Tatizo watanzania tumebaki kuongea tuu... Where are our actions against all these issues? Let us act quickly before the worse come...
 
Huwa siamini sana riport za hawa wamarekani na mataifa ya ulaya kuhusu afrika, kwao hakuna jema afrika, nadhani kati ya marais chapakazi na wanaowezesha uchumi wa nchi zao kukua haraka ni Kagame, sikatai ndio alikuwa porini kabla ya kuchukua madaraka.

Wazungu wakishaona nchi inaendelea wanatafuta njia ya kuiangamaiza,mmeshuhudia alivofanyiwa Ghadafi baaya ya kushtuka wataanzisha umoja wa afrika na sarafu moja wasingekuwa na miaya ya kutuibia.

Tujiulize Kombe aliuwawa na wanyarwanda au polis wa kibongo? Tuseme walihongwa,nijuavo ujasusi kama ule wangefanya wao wenyewe bila kumtumia Mtanzania, nani ajuae anaehusika na kifo cha prof mwaikusa hatuna uhakika wacha tusubiri upelelezi ila utaona mda sii mrefu watamtoa kagame madarakani hawa wasiopenda maendeleo ya Afrika
 
Nasikia hata vifo vya kina Sokoine, Kolimba na Nyerere, Kagame alihusika sana, huyu mtu ni hatari sana inabidi serikali imwangalie kwa karibu na ikibidi kufanya mipango ya kumwondoa pale, kale kanchi kadogo sana tukiamua kukachukua ni siku moja tuu.
 
Nasikia hata vifo vya kina Sokoine, Kolimba na Nyerere, Kagame alihusika sana, huyu mtu ni hatari sana inabidi serikali imwangalie kwa karibu na ikibidi kufanya mipango ya kumwondoa pale, kale kanchi kadogo sana tukiamua kukachukua ni siku moja tuu.

.... Kamwe Si Dhubutu Kupuuzia hii Intel!!
 
Tatizo watanzania tumebaki kuongea tuu... Where are our actions against all these issues? Let us act quickly before the worse come...

Na hapa ndipo tutajutia Uzalendo au hata kutaka kujua kwa undani maana ya uzlendo katika Ulinzi wa Taifa! Taifa lisilo na uzalendo hata likiwa na Mijisilaha ya nguvu kiasi gani ...linaweza kupigwa na kushindwa kirahisi tu! Enzi za Mtukula, Mbarara, Masaka, Uwezo tunao, Nia tunayo nk Nduli tulimshnda tu kwa kwa sababu nyingi muhimu kuliko zote ...UZALENDO ... ambo saa hizi unasoma karibia na 0% ... Mungu aepusjie mbali .... hayo ya enzi hizo yakatokea sahiizi ... Ushindi utakuwa nadra... !!
 
prof. Mwaikusa, Kibona, Kombe,Sokoine,Malima kighoma.,balali, Mbona kama Kuna Mchezo mchafu unaofanyika n then Watanganyika tunafichwa? Me naamini kabisa idara ya Usalama wanafahamu vifo vya hao viongoz hapo juu,, imefika wakat waweke ukweli hadharani kwan hata C.I.A wenyewe hutoa siri baada ya miaka 20 ya tukio fulan kutokea....
 
Leo BBC wametangaza mwandishi wa habari maarufu wa Rwanda aliyekuwa amekimbilia Uganda ameuawa na watu wasiofahamika!! Kwanini maadui wa Kagame hata walioikimbia Rwanda wanauawa? Mpaka Askofu aliyekimbilia Rome! Inaogopesha sana kwakweli!
Zamani kulikuwapo gazeti likiitwa Drum, sijui kama bado lipo); Gazeti hili liliwahi kumnukuu Rais Kamuzu Banda akisema "those who oppose us do face accidents" Hii ilikuwa ni baada ya wapinzani wake wengi kufa kwa ajali za barabarani. Hayo ndiyo yaliyo Rwanda!
 
He is innocent until proven guilty. Tuacheni kuhukumu before gathering all the pieces.
 
inadaiwa pia ni Kagame aliekua nyuma ya mauaji ya Profesa Jwani Mwaikusa.... Kagame japo ni mjenzi mzuri wa Taifa lake lakini daima amekua akijihusisha na mauaji ya watu mbalimbali duniani
 
Kama Kagame kweli ameweza kumuua mtu mzito kama director wa TISS bila ya 'baraka' ya serikali ya Tanzania/bila ya serikali ya Tanzania kujua,aise tutakuwa na tatizo kubwa sana kiusalama kama nchi na vyombo vyetu vya usalama,kitu ambacho sitaki kukiamini
Serikali itaachaje kujuwa ilichokifanya? kwani si aliuwawa na serikali?

Ama polisi si serikali?
 
Kama Kagame alihusika kwenye mauaji ya Kombe basi alishirikiana na Serikali ya Tanzania kukamilisha hayo mauaji, manake polisi waliofyatua risasi ni wa Tanzania, na baada ya mauaji Serikali ya Tanzania ilikiri kwa kupitia Polisi kuwa walimfananisha na Jambazi sugu.. Hivyo kama ni lawama bado zinapaswa kuelekezwa kwa Serikali ya Tanzania hata kama ulikuwa mpango wa Kagame (kitu ambacho siamini, anyway)
 
Je TISS Ina utaratibu kuwa na rekodi halisi za Viongozi mbalimbali? Faili la Kagame lina nini uko TISS? Ni muhimu sana kumuangalia mara mbilimbili wakati tunaelekea kwenye hii EAC. Si vizuri kuchukulia kila kitu kirahisirahisi na hasa kwa maslahi ya nchi yetu, na Usalama wetu pia.
Lakini katika nchi za EAC, Nchi yetu iko mashakani sana, kwani huu muangiliano umesababisha sana kuwa na raia wa nchi nyingine katika vyombo vyetu muhimu vya Usalama, Mfano, Wanyarwanda ambao walio wengi hujitambulisha kama raia.
 
Back
Top Bottom