Good Guy
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 3,809
- 1,406
jibu kamili bado sijapata..nashukuru kwa mchanganuo
http://m.youtube.com/watch?gl=US&hl=en-GB&client=mv-google&v=VmVxSFnjYCA&fulldescription=1
jibu kamili bado sijapata..nashukuru kwa mchanganuo
tatizo ni kwamba hakuna mtu aliye wahi ku verify kuwa its true sababu kuna maswali mengi yasiyojibika about that na vilevile hakuna aliyewahi kuverify 100% kuwa its not true for the same reason...so we meza tu uwezavyo...dunia yenyewe ndo kama hivi tena!!
Hiyo video siiamini, wanatudanganyia computer me nilizani tutaona reflected light kumbe mbwembwe za computer
Muda mrefu nmekua nikifatilia kuhusu binadamu kwenda mwezini na wanasema Neil Armstrong ndio mtu wa kwanza kufika huo, je kuna ukweli wowote AnD what about the conspiracy theory.
Muda mrefu nmekua nikifatilia kuhusu binadamu kwenda mwezini na wanasema Neil Armstrong ndio mtu wa kwanza kufika huo, je kuna ukweli wowote AnD what about the conspiracy theory.