Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Huwa ninajiuliza kila siku , kama Kikwete amepewa ripoti ya CAG iliyo chafu namna ile, madudu yanayoendelea kila kona ya nchi hii, kashfa za bandari , ATC, mawaziri wezi, rushwa, halmashauri zilizojaa mafisadi na yeye anayajua yote haya na hafanyi chochote, ni kwa nini?
Lengo lake kuu ni kutuamsha Watanzania, sisi bado tumelala. Sisi ndiyo hatumujaelewa. Anatumia udaktari wake kutupa somo ambalo tumeshindwa kuelewa, kuna msemo " there is a method in my madness". May be this is what Dr. Kikwete is trying to teach us. Kutuamsha kwenye usingizi mzito tuliolala.
Utafafanuaje picha ya kubembea Jamaica, kutembelea ufugaji wa kuku Brazil na kutetea watu kama akina Ngeleja?
Rais wetu mpendwa JK anataka kutufundisha Watanzania kudai haki. Baadhi yetu tumeanza kuelewa.
There is no other explanation on what is going on in this country.
Lengo lake kuu ni kutuamsha Watanzania, sisi bado tumelala. Sisi ndiyo hatumujaelewa. Anatumia udaktari wake kutupa somo ambalo tumeshindwa kuelewa, kuna msemo " there is a method in my madness". May be this is what Dr. Kikwete is trying to teach us. Kutuamsha kwenye usingizi mzito tuliolala.
Utafafanuaje picha ya kubembea Jamaica, kutembelea ufugaji wa kuku Brazil na kutetea watu kama akina Ngeleja?
Rais wetu mpendwa JK anataka kutufundisha Watanzania kudai haki. Baadhi yetu tumeanza kuelewa.
There is no other explanation on what is going on in this country.