Hata Mimi nimeshangaa mkuuAwali ya yote, CCM wameacha lini kale ka mila ka kuachia amalizie muda wake? Oh! Ndo tatizo la kuandika Vizungu haya... hadi tupekue madikshinari... kumbe hata upinzani!!!! Kabisa kabisa unaamini January anatosha kwa chama kama CHADEMA? Hivi January huyu ana ubavu hata wa kumshinda Sugu kule Mbeya? No... unfair comparison!! Tumchomoe Zitto kule Kigoma na January kule Lushoto halafu tuwapeleke Kinondoni au Temeke au Ilala wakagombee Ubunge! Hivi January anaweza kutoka mbele ya Zitto?