Is ITV pro- CHADEMA?

Is ITV pro- CHADEMA?

Kama mkuu wa nchi hakumuongelea Marehemu, then ni sawa tu maana baada ya huyo kiongozi wa upinzani kumaliza kuongea, mtangazaji alibainisha kuwa mazishi hayo yaliongozwa na Mh. Rais. Ama ulitaka wakati Mbowe akiongea awe anaonyeshwa picha ya Mh. Rais tu akiwa anamsikiliza Mbowe?
 
hapa ninahitajika nikuelimishe kidogo, TBC ni televisheni ya taifa wajibu wake mkubwa pamoja na mambo mengine ni kuwahabarisha watanzania shughuli za serikali na kwa sasa serikali iliyopo madarakani ni ya CCM huwezi epuka hilo, baada ya hapo inakuja kwenye habari nyingine na kwa kiasi kikubwa sana TV hii imekua ikiripoti mambo mengi tu ya kijamii si ya CCM pekee, kama hivo karibuni mkutanao mkuu wa chama cha upinzani cha NCCR tbc ilirusha matangazo yake live, sasa sijui hiyo prception kua ni chombo cha CCM inatoka wapi??

Hoja yako ina msingi, ila hata wewe hujaielewa. Kwa tbc kuonesha 1kwa1 mkutano wa nccr sii mfano uliosadifu utetezi wako, maana walilipia muda wao hewani au tbc walihisani?

Kwamba tbc walikokwama ni pale chama dola, kilipoambatanisha utendaji wa serikali bila mpaka wa kueleweka. Maana imekuwa kama serikali ni ccm na ccm ni serikali.
 
walichokifanya haikuwa sahihi kumpa uzito kiongozi wa upinzani while mkuu wa nchi alikuwepo na walichofanya ni kutuhabarisha tu kuwa alikuwepo, kitendo hiki kilimaanisha kwamba mhusika mkuu alikua kiongozi wa upinzani na si mkuu wa nchi , kosa kubwa..
Mleta mada nawe ni MZIGO tu.
 
Wewe mwenyewe upo biased,tbccm wanaipendlea magamba na wewe unawaunga mkono sasa HOJA UMELETA YA NINI?
 
Hapo unazungumzia choice, lakini sisi tunazungumzia utaratibu, utaratibu haukuwa sahihi, hiyo ndio msingi wa lalamiko langu
Sasa kama raisi hakusema chochote kwenye huo msiba zaidi ya kumwaga mchanga kaburini ulitegemea ITV watangaze nini?
 
Hata kipofu anajua kuwa ITV ni Chadema.

jaman tuweni realistic. unajua hata ukiwa tuseme bar unapata kinana ya baridi kwenye taarifa ya habari akionekana au mbowe au slaa au lissu kinanyika na wengineo watu husogea kusikiliza kinachosemwa. lakin km ni habari inawahusu maccm hakuna anayehangaika nayo hata maccm wenyewe huwa hawasikiliz. sasa km wewe umgekuwa chombo cha habari kwa nini usitoe kipaumbele kwahabari za watu wenye mvuto ktk jamii?
 
hivi unaweza kumpa uzito mtu anayechoma mamilioni ya walipa kodi kutoka ulaya kwenda chalinze kumzika mbunge utadhani imetokea tsunami au mafuriko yameua watu 100,jk ni mwepesi mno,hongera itv kwa kumpuuza kil.aza.
 
Kwa siku za hivi karibuni nakwa kuzingatia siku ambayo kwa mtazamo wangu haikua haki kwa Rais wetu wa Jamhuri media hii katika maziko ya Mbunge wa Chalinze, ilimpa uzito mkubwa zaidi mwenyekiti wa Chadema bwn Mbowe kuliko kumpa uzito kiongozi wa Nchi.

Katika habari ya kwanza kabisa katika mfululizo wa habari za kitaifa, habari ilianza kwa kumnukuu kiongozi wa chama hicho cha upinzani akitoa wasifu wa marehemu kwa vyombo vya habari.

Kiongozi huyo alinukuliwa kwa kutoa kauli za kutoa wasifu chanya kwa marehemu na habari hiyo kumalizia kwa kusema kua mazishi hayo yaliongozwa na Mh. Jakaya kikwete Rais wa JMT.

Tafsiri ya vitendo hivyo ni kuwa Media haikumpa uzito kiongozi wa nchi na kumpa uzito kiongozi wa chama cha upinzani. Haikua sahihi.

Ukijaribu kufuatilia taarifa za habari pia zimekua zikikipa kipaumbele kikubwa chama hicho kuliko vyama vingine.

What is the hidden agenda, tutegemee nini kwa vyombo kama hivi vinapoamua kuwa biased?? Au ndio kama majibu kwa serikali kuwa na chombo chake cha habari TBC?? na Pro Chadema's kuanza kuigomea media hii kwa grounds kwamba kinaipa upendeleo serikali ya CCM?? Sidhani kama hili ni sahihi.

Media houses should play their role of reporting and not politics.


Umekosa ukuu wa wilaya, make umesahau kuweka "Dr"
 
Simple calculations: Chadema cha wachagga + ITV ya wachagaa = ITV is Pro Chadema

kweli shukrani ya punda ni mateke ITV imewabeba CCM tangu Enzi hizo hata kabla ya TVT kuanzishwa hamna shukrani MACCM kazi yenu ni kuchonga tuu, kila siku ya Jumatatu mumepewa coverage kubwa dakika arubaini na tano muweze kumwaga sera zenu , taarifa za habari na vipindi vya ITV vinamlenga mraji sio mtu,taasisi au chama kwa hiyo waandishi waliobobea wanaangalia maudhui ya ujumbe sio tu ujumbe uliotolewa hata kama hauna content za kitaifa, ili mradi habari ya raisi ilisemwa basi hakuna baya ,mengi amejitolea milioni 500 kwa shule ya salma rufiji je salma ni mchaga
 
Kwa siku za hivi karibuni nakwa kuzingatia siku ambayo kwa mtazamo wangu haikua haki kwa Rais wetu wa Jamhuri media hii katika maziko ya Mbunge wa Chalinze, ilimpa uzito mkubwa zaidi mwenyekiti wa Chadema bwn Mbowe kuliko kumpa uzito kiongozi wa Nchi.

Katika habari ya kwanza kabisa katika mfululizo wa habari za kitaifa, habari ilianza kwa kumnukuu kiongozi wa chama hicho cha upinzani akitoa wasifu wa marehemu kwa vyombo vya habari.

Kiongozi huyo alinukuliwa kwa kutoa kauli za kutoa wasifu chanya kwa marehemu na habari hiyo kumalizia kwa kusema kua mazishi hayo yaliongozwa na Mh. Jakaya kikwete Rais wa JMT.

Tafsiri ya vitendo hivyo ni kuwa Media haikumpa uzito kiongozi wa nchi na kumpa uzito kiongozi wa chama cha upinzani. Haikua sahihi.

Ukijaribu kufuatilia taarifa za habari pia zimekua zikikipa kipaumbele kikubwa chama hicho kuliko vyama vingine.

What is the hidden agenda, tutegemee nini kwa vyombo kama hivi vinapoamua kuwa biased?? Au ndio kama majibu kwa serikali kuwa na chombo chake cha habari TBC?? na Pro Chadema's kuanza kuigomea media hii kwa grounds kwamba kinaipa upendeleo serikali ya CCM?? Sidhani kama hili ni sahihi.

Media houses should play their role of reporting and not politics.

chokochoko zote hizi ni hasira za vichapo vya M4C PAMOJA DAIMA! Na bado
 
wa jamii iliyostaarabika kwamba mahali anapokuwepo kiongozi wa nchi apewe uzito unaostahili
Mkuu hiyo ndo kazi ya mhariri mkuu wa media house yoyote ile, kuchagua habari ambayo a najua itavutia wateja wake, ie watazamaji kwa kesi ya hapo juu. Inaonekana Sam LUhanga hakuongea kitu cha maana that's why walichukua speech ya mbowe sbb ilikuwa na uzito. Si kila tukio akiwepo rais ni tukio.
 
hapa ninahitajika nikuelimishe kidogo, TBC ni televisheni ya taifa wajibu wake mkubwa pamoja na mambo mengine ni kuwahabarisha watanzania shughuli za serikali na kwa sasa serikali iliyopo madarakani ni ya CCM huwezi epuka hilo, baada ya hapo inakuja kwenye habari nyingine na kwa kiasi kikubwa sana TV hii imekua ikiripoti mambo mengi tu ya kijamii si ya CCM pekee, kama hivo karibuni mkutanao mkuu wa chama cha upinzani cha NCCR tbc ilirusha matangazo yake live, sasa sijui hiyo prception kua ni chombo cha CCM inatoka wapi??

kwa akili yako hujajua sababu ya kurusha mkutano mkuu wa NCCR ??? wenye akili tuling'amua siasa iliyotumika hapo! ulirushwa kwa sababu za kisiasa tu na mlengwa akiwa cdm!
 
Ina maana hujui kuwa Mbowe ni maarufu kuliko mkuu wa nchi,Kikwete?
Watu wanataka kusikia kutoka kwa Mbowe kuliko kwa Kikwete,
 
Stoke umepotoka unajua majukumu ya televisheni ya umma? Unaiona BBC au CNN wale wanachambua mambo kwa uwazi mkubwa na kwa usawa si tbc ambao wao mambo ua msingi kwenye taifa ayawahusu bali nu ccm wamefanya nini?rejea kuzama kwa mc splender tbc wanaweka taarabu huku ndugu zetu tukiwa tumewapoteza sasa muache mengi awe huru
 
Back
Top Bottom