Is ITV pro- CHADEMA?

Is ITV pro- CHADEMA?

walichokifanya haikuwa sahihi kumpa uzito kiongozi wa upinzani while mkuu wa nchi alikuwepo na walichofanya ni kutuhabarisha tu kuwa alikuwepo, kitendo hiki kilimaanisha kwamba mhusika mkuu alikua kiongozi wa upinzani na si mkuu wa nchi , kosa kubwa..

Mbowe ni Kiongozi wa nchi pia....Ana heshima kubwa nje na ndani ya nchi...Ni zaidi ya Dhaifu JK.......
 
Ndugu, dalili ya mvua ni mawingu. ITV wameshaona dalili na wanajua ni lazima itanyesha tu. Hivyo ni lazima wafanye maandalizi ili kupata mazao bora.
 
Kwa siku za hivi karibuni nakwa kuzingatia siku ambayo kwa mtazamo wangu haikua haki kwa Rais wetu wa Jamhuri media hii katika maziko ya Mbunge wa Chalinze, ilimpa uzito mkubwa zaidi mwenyekiti wa Chadema bwn Mbowe kuliko kumpa uzito kiongozi wa Nchi.

Katika habari ya kwanza kabisa katika mfululizo wa habari za kitaifa, habari ilianza kwa kumnukuu kiongozi wa chama hicho cha upinzani akitoa wasifu wa marehemu kwa vyombo vya habari.

Kiongozi huyo alinukuliwa kwa kutoa kauli za kutoa wasifu chanya kwa marehemu na habari hiyo kumalizia kwa kusema kua mazishi hayo yaliongozwa na Mh. Jakaya kikwete Rais wa JMT.

Tafsiri ya vitendo hivyo ni kuwa Media haikumpa uzito kiongozi wa nchi na kumpa uzito kiongozi wa chama cha upinzani. Haikua sahihi.

Ukijaribu kufuatilia taarifa za habari pia zimekua zikikipa kipaumbele kikubwa chama hicho kuliko vyama vingine.

What is the hidden agenda, tutegemee nini kwa vyombo kama hivi vinapoamua kuwa biased?? Au ndio kama majibu kwa serikali kuwa na chombo chake cha habari TBC?? na Pro Chadema's kuanza kuigomea media hii kwa grounds kwamba kinaipa upendeleo serikali ya CCM?? Sidhani kama hili ni sahihi.

Media houses should play their role of reporting and not politics.

Tafuta gazeti la mtanzania linalomilikiwa na kampuni ya habari coperation, chini ya mkurugenzi Mohamed Bashe ambae ni kada maarufu wa CCM.ambae pia alikuwa mgombea ubunge ndani ya chama wakati wa kuwania nafasi ya kupeperusha bendera ktk uchaguzi wa 2010, gazeti la tarehe 9/01/2014 . iliiandika chadema ktk kurasa 6 za gazeti hilo, na gazeti hilo liliitaja chadema mara 67, ktk toleo hilo.
Je hapo napo utasema ni upendeleo?wao Itv waliona mwenyekiti wa Chadema ndio habari kwao na ndio maana wakampa airtime ya kutosha, ubaya uko wapi?
Au tuseme gazeti la mtanzania linaibeba chadema. ?
 
NASEMA TENA NA TENA........chokochoko zote hizi ni hasira za vichapo vya M4C PAMOJA DAIMA! Na bado

Mpaka wanatia huruma aisee....Wwnajaribu kuanzisha kila aina ya thread ili mradi ndani inatajwa CDM au kiongozi wa CDM...
 
Kwa siku za hivi karibuni nakwa kuzingatia siku ambayo kwa mtazamo wangu haikua haki kwa Rais wetu wa Jamhuri media hii katika maziko ya Mbunge wa Chalinze, ilimpa uzito mkubwa zaidi mwenyekiti wa Chadema bwn Mbowe kuliko kumpa uzito kiongozi wa Nchi.

Katika habari ya kwanza kabisa katika mfululizo wa habari za kitaifa, habari ilianza kwa kumnukuu kiongozi wa chama hicho cha upinzani akitoa wasifu wa marehemu kwa vyombo vya habari.

Kiongozi huyo alinukuliwa kwa kutoa kauli za kutoa wasifu chanya kwa marehemu na habari hiyo kumalizia kwa kusema kua mazishi hayo yaliongozwa na Mh. Jakaya kikwete Rais wa JMT.

Tafsiri ya vitendo hivyo ni kuwa Media haikumpa uzito kiongozi wa nchi na kumpa uzito kiongozi wa chama cha upinzani. Haikua sahihi.

Ukijaribu kufuatilia taarifa za habari pia zimekua zikikipa kipaumbele kikubwa chama hicho kuliko vyama vingine.

What is the hidden agenda, tutegemee nini kwa vyombo kama hivi vinapoamua kuwa biased?? Au ndio kama majibu kwa serikali kuwa na chombo chake cha habari TBC?? na Pro Chadema's kuanza kuigomea media hii kwa grounds kwamba kinaipa upendeleo serikali ya CCM?? Sidhani kama hili ni sahihi.

Media houses should play their role of reporting and not politics.

CHADEMA NDIO HABARI YA MJINI NA VIJIJINI 2014/2015 wewe...Uko wapi ndugu,,,AMKA
 
Kwa siku za hivi karibuni nakwa kuzingatia siku ambayo kwa mtazamo wangu haikua haki kwa Rais wetu wa Jamhuri media hii katika maziko ya Mbunge wa Chalinze, ilimpa uzito mkubwa zaidi mwenyekiti wa Chadema bwn Mbowe kuliko kumpa uzito kiongozi wa Nchi.

Katika habari ya kwanza kabisa katika mfululizo wa habari za kitaifa, habari ilianza kwa kumnukuu kiongozi wa chama hicho cha upinzani akitoa wasifu wa marehemu kwa vyombo vya habari.

Kiongozi huyo alinukuliwa kwa kutoa kauli za kutoa wasifu chanya kwa marehemu na habari hiyo kumalizia kwa kusema kua mazishi hayo yaliongozwa na Mh. Jakaya kikwete Rais wa JMT.

Tafsiri ya vitendo hivyo ni kuwa Media haikumpa uzito kiongozi wa nchi na kumpa uzito kiongozi wa chama cha upinzani. Haikua sahihi.

Ukijaribu kufuatilia taarifa za habari pia zimekua zikikipa kipaumbele kikubwa chama hicho kuliko vyama vingine.

What is the hidden agenda, tutegemee nini kwa vyombo kama hivi vinapoamua kuwa biased?? Au ndio kama majibu kwa serikali kuwa na chombo chake cha habari TBC?? na Pro Chadema's kuanza kuigomea media hii kwa grounds kwamba kinaipa upendeleo serikali ya CCM?? Sidhani kama hili ni sahihi.

Media houses should play their role of reporting and not politics.
which kind of role you think TBC is playing?is it supposed to be doing what it is when you know its a nation TV?
 
Kwa siku za hivi karibuni nakwa kuzingatia siku ambayo kwa mtazamo wangu haikua haki kwa Rais wetu wa Jamhuri media hii katika maziko ya Mbunge wa Chalinze, ilimpa uzito mkubwa zaidi mwenyekiti wa Chadema bwn Mbowe kuliko kumpa uzito kiongozi wa Nchi.

Katika habari ya kwanza kabisa katika mfululizo wa habari za kitaifa, habari ilianza kwa kumnukuu kiongozi wa chama hicho cha upinzani akitoa wasifu wa marehemu kwa vyombo vya habari.

Kiongozi huyo alinukuliwa kwa kutoa kauli za kutoa wasifu chanya kwa marehemu na habari hiyo kumalizia kwa kusema kua mazishi hayo yaliongozwa na Mh. Jakaya kikwete Rais wa JMT.

Tafsiri ya vitendo hivyo ni kuwa Media haikumpa uzito kiongozi wa nchi na kumpa uzito kiongozi wa chama cha upinzani. Haikua sahihi.

Ukijaribu kufuatilia taarifa za habari pia zimekua zikikipa kipaumbele kikubwa chama hicho kuliko vyama vingine.

What is the hidden agenda, tutegemee nini kwa vyombo kama hivi vinapoamua kuwa biased?? Au ndio kama majibu kwa serikali kuwa na chombo chake cha habari TBC?? na Pro Chadema's kuanza kuigomea media hii kwa grounds kwamba kinaipa upendeleo serikali ya CCM?? Sidhani kama hili ni sahihi.

Media houses should play their role of reporting and not politics.

ulitaka watoe habari za mizigo tu.?...ELEWA KWAMBA ITV ni SUPER BRAND NO.1 in TANZANIA.
 
wewe stroke; ni mgonjwa labda mbona hujasema lukuvi nae alihojiwa? na je unadhani ni rahisrahis tu kumuhoji rais? mbona bilali alihojiwa nae alizungumza mbona hujasema?labda nafasi ya kumpata rais ilikua ngumu..wote ni viongozi na sijaona ni ajabu kuanza na upinzani ama tawala kwani hao chama tawala wana nini kipya au cha muhimu sanaa mpaka wapewe kipaumbele tofauti na upinzani? wewe ndo hujitambui tena umetumwa labda.. usichafue ITV pamoja na vimatatizo vyao vidogodogo lakini bado ITV itabaki kuwa chombo kinachotoa habari za ukweli na uwazi bila kujali itikadi zozote za chama. mbona huzungumzii hizo dk 3/5 za kina nape au kinana wakiongea wanazopewaga? tena wewe ndo wale tusiowataka hapa Tanzania maana chuki huanzia hukuhuku na baadae kuenea na kuleta madhara.. wewe TBC ni wabaguzi kama nini huwaoni? umeiona ITV ya watu.. shame upon u!
 
Habari kwa tafsiri isiyo rasmi ni "Taarifa mpya isiyojulikana kabla"

Hivyo basi ITV ingempa Mh. Raisi front page ya habari hiyo isingekuwa habari tena na badala yake ingeitwa Filam/tamthilia/kipindi fulani, na hii ni kwasababu majority of people wanaelewa kuwa Rahisi angekuwepo kwenye msiba huo ila hakuna aliedhani kama Kamanda wa Anga,Kiongozi kambi ya upinzani Bungeni,Mbunge wa Hai,Mh. Mboe angehudhuria mazishi hayo.

Na ndio maana ata huku Jf uliona kuna mtu alianzisha uzi unaoonyesha picha ya Kamanda wa Anga akiwa katika mazishi hayo na watu waligonga link zao.

NB:
Wivu ni adhabu inayomwadhibu asiyependa maendeleo ya wengine.
 
Habari kwa tafsiri isiyo rasmi ni "Taarifa mpya isiyojulikana kabla"

Hivyo basi ITV ingempa Mh. Raisi front page ya habari hiyo isingekuwa habari tena na badala yake ingeitwa Filam/tamthilia/kipindi fulani, na hii ni kwasababu majority of people wanaelewa kuwa Rahisi angekuwepo kwenye msiba huo ila hakuna aliedhani kama Kamanda wa Anga,Kiongozi kambi ya upinzani Bungeni,Mbunge wa Hai,Mh. Mboe angehudhuria mazishi hayo.

Na ndio maana ata huku Jf uliona kuna mtu alianzisha uzi unaoonyesha picha ya Kamanda wa Anga akiwa katika mazishi hayo na watu waligonga link zao.

NB:
Wivu ni adhabu inayomwadhibu asiyependa maendeleo ya wengine.
mkuu hapo nimeelewa kwamba ilikuwa ajabu sana kwa mkuu wenu kuhudhuria hayo mazishi ndio maana ikawa news sasa nimeelewa kwamba chadema sio chama cha kijamii kipo kwaajili ya maslahi binafsi..
 
Hapo unazungumzia choice, lakini sisi tunazungumzia utaratibu, utaratibu haukuwa sahihi, hiyo ndio msingi wa lalamiko langu

Mkuu ulishawahi kutoa hili lalamiko kwa TBC hapo siku za nyuma? Najua kabisa wanachofanya wale TBC wakifahamu vizuri.
 
wa jamii iliyostaarabika kwamba mahali anapokuwepo kiongozi wa nchi apewe uzito unaostahili

mmiliki wake ni kutoka wapi? kabila gani?na chadema asili yake ni wapi? kabila gani? unganisha doc hapo utapata jibu
 
Mkuu ulishawahi kutoa hili lalamiko kwa TBC hapo siku za nyuma? Najua kabisa wanachofanya wale TBC wakifahamu vizuri.

itv iinajulikama wazi ni pro chadema tv, toka siku nyingi, mmiliki wake ni mfuasi sugu wa chadema...ndugu yake na mtei
 
hapa ninahitajika nikuelimishe kidogo, TBC ni televisheni ya taifa wajibu wake mkubwa pamoja na mambo mengine ni kuwahabarisha watanzania shughuli za serikali na kwa sasa serikali iliyopo madarakani ni ya CCM huwezi epuka hilo, baada ya hapo inakuja kwenye habari nyingine na kwa kiasi kikubwa sana TV hii imekua ikiripoti mambo mengi tu ya kijamii si ya CCM pekee, kama hivo karibuni mkutanao mkuu wa chama cha upinzani cha NCCR tbc ilirusha matangazo yake live, sasa sijui hiyo prception kua ni chombo cha CCM inatoka wapi??
aKILI YAKO INA SHIDA KAMA KUONA UNAONA HALAFU WAJIDAI HUONI HATA KUHISI HUHISI TU TBC HAIRUSHI HABARI ZA CDM HILO NALO HULIJUI PIA MCHAKATO MAJIMBONI 2010 ULIFANYA TIDO MHANDO AFUKUZWE SHABANI KISU ALIPONEA HILO HULIJUI PIA AU NI UZUZU WAKO TU
 
CDM habari ya mujini nyingine mbwembwe, jicho la kenge mumaji kama unabisha sogelea moto uwake.
 
tUKUULIZE UNAJUA YALIMWONDOA TUDO MHANDO TBC CCM NI KUTAKA KURUSHA HABARI STANDARD MACCM HAWATAKI WAKAMFUKUZA SASA WAMEWEKA MTU AMBAYE WANAWEZA KUMPELEKA KAMA GARI BOVU
 
walichokifanya haikuwa sahihi kumpa uzito kiongozi wa upinzani while mkuu wa nchi alikuwepo na walichofanya ni kutuhabarisha tu kuwa alikuwepo, kitendo hiki kilimaanisha kwamba mhusika mkuu alikua kiongozi wa upinzani na si mkuu wa nchi , kosa kubwa..
Do you know what is news? Do you know what makes news? Do you know what are criteria for good and big news? If not, huna haki ya kukosoa. Kuwepo kiongozi mkuu wa nchi bado haku-make news for your information!
 
Back
Top Bottom