MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #41
Ahaa!Kuna mtu kauliza swali la kujiexpress? Naomba nione tafadhali....na ukitaka kujua mtu anatumia mtandao huu au hatumii utaulizaje?
Kwa maana ya kuwa vitu gani uulize na vipi uuchune? Makubwa haya ya Tigo mwenzangu sipati picha. Eti unamwuliza mwenzi wako unatumia Tigo au la? akikujibu anatumia utafanyaje kama wewe hutumii? wengine hawatumii ila ukimwuliza atasema ndio afu imekula kwako