Penny
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 575
- 48
Penny za siku mbona umeadimika jamani kwenye jukwaa letu tukufu hili? Au umeamia kwenye siasa?
Nipo my shem, ni ubize tuu my dear, mwenzangu siasa niziweze wapi! mimi mtu wa malove tuu na mengineo sio siasa. Kama ni siasa ya uwanjani hapa basi utanipata tuu.