Is it that the world is not fair or God does not exist.

FAHAMU HILI:
Mungu yupo, tena si mmoja. Wayahudi, waislam na wakristo wanamwamini Jehova-Mungu wa Abraham, kwa wagriki kuna Zeus, kwa wahindu kuna Brahman, Afrika kuna Vodoo kibao (Damballa, Igbo Chi, Ife nk), kila jamii ina Mungu wake wanayemwabudu-wanaamini huyu ndiye aliwaleta duniani, na ndiye atawaondoa duniani. Kwa wanaoamini, mateso hapa duniani yanaweza kumaanish "Mungu anakujaribu" au "Mungu anakuadhibu". Hivyo kama wewe ni mmoja wa waamini-na umaskini wako unazidi richa ya kumwomba mungu wako, kuyafanya mapenzi yake na kufanya kazi kwa bidii! basi huenda "anakujaribu" (vumilia), na kama unafanya kinyume chake basi "anakuadhibu" (badilika).
Binafsi naamini Mungu (Yeyote) ukimuomba jambo lililo ndani ya uwezo wake anao uamuzi wa kukupa au kukunyima. However; hakuna Mungu anayeweza yote, hata ukijidanganya kwa vitabu vya hadhithi za kale vinavyoitwa "vitakatifu"-HAKUNA!!

Hapa duniani tunakuja wote tukiwa sawa, ukiondoa ubnomalities kama za ulemavu wa aina mbalimbali, ni mazingira tunayoyauta (naturaal&man made) ndiyo yanayoanza kututofautisha! Hapo ndipo yanapoanzia matabaka, ukizaliwa familia bora uko likely zaidi kuishi maisha bora bila kutoa jasho jingi. Ifahamike pia kuwa, hakuna jamii iliyokuwa maisha bora from the beginning, ni utafutaji ndy unaweza kukutoa katika maisha magumu. Ukiangalia historia ya Binadamu utakuta kuwa wote asili yetu ni moja (Maeneo ya pembeya Afrika), na ukichimba zaidi utaona kuwa, kundi lililo vencha nje ya afrika (walioelekea magharibi mwa jangwa la sahara mpaka Ulaya, na waliovukia Misri mpaka mashariki ya mbali) ndy waliopata misukosuko mikubwa, na misukosuko hiyo ndy iliwapa mbinu za maisha na kujikuta wengine wakifanikiwa kufanya jamii za kisasa zaidi duniani, ofauti na ndugu zao walioshuka kuelekea kusini na hali ni mbaya zaidi kwa wale waliobweteka kalahari mpaka leo hii!

Mali zinatafutwa, na kamwe usibweteke ukasubiri mtu au Mungu yeyote akutengenezee njia ya kupita! Fight your way through! Inasikitisha kuona mtu wa morogoro hajawahi kufika hata Ifakara, wakati kuna jamaa ametoka ulaya na kuja kuseto Peramiho!!!:redfaces:
Kulalamika sana si suluhu! Hii ni struggle fo survival, amini nakwambia-HATA MAMA ATAMSAHAU MWANAWE!
 
Mi ninachoshangaa zaidi ni pale mleta mada anapokosa Thanks hata moja lakini mchangiaji anamwagiwa...!
 
Kiranga, you want God to always abrogate the law of cause and effect e.g. by giving maisha bora kwa kila Mtanzania in the midst of Ufisadi?

"Maisha bora kwa kila Mtanzania in the midst of ufisadi" carries an inherent contradiction.

Umeondoa kosa la sarufi, lakini bado una kosa la logic.
 
Mi ninachoshangaa zaidi ni pale mleta mada anapokosa Thanks hata moja lakini mchangiaji anamwagiwa...!

Raia umenichekesha sana halafu hiyo nukuu yako ina jibu - eti viumbe wanataka Mungu aviondelee umaskini ilhali vinakubali haya:

"Josiah has taken enough for the owner to see"- Chinua Achebe
Josiah ni chama tawala na serikali yake. The owner ni sie wana wa nchi
 
FAHAMU HILI:
Mungu yupo, tena si mmoja.

Mpaka hapo ushashindwa kujieleza. Napata shaka kwamba unaelewa unachotaka kusema.

Mungu yupo, tena si mmoja ? Sasa unachotaka kusema ni kwamba mungu yupo au miungu wapo?
 
"Maisha bora kwa kila Mtanzania in the midst of ufisadi" carries an inherent contradiction.

Umeondoa kosa la sarufi, lakini bado una kosa la logic.

The inherent contradiction is the answer to the question at hand - you are simply asking God to provide a contradiction!
 
Mpaka hapo ushashindwa kujieleza. Napata shaka kwamba unaelewa unachotaka kusema.

Mungu yupo, tena si mmoja ? Sasa unachotaka kusema ni kwamba mungu yupo au miungu wapo?

Lugha inachanganya, nilikimbia umande mkuu. Unaonekana mvivu sana wa kusoma!!!
 
THEODICY: "The branch of theology that defends God's goodness and justice in the face of the existence of evil"
 
THEODICY: "The branch of theology that defends God's goodness and justice in the face of the existence of evil"

Kwa hiyo hii habari ya Theodicy unapoanza kuisoma ushajua conclusion? Inakufundisha kutetea upande mmoja tu? Vipi kama facts zinaonyesha tofauti ?
 
Lugha inachanganya, nilikimbia umande mkuu. Unaonekana mvivu sana wa kusoma!!!

Si mvivu wa kusoma, namsoma Robert A. Caro sasa hivi, ana tomes zake 3 biographies za LBJ, zinaenda takriban pages 800 kila moja, kwa hiyo hilo si swala.

Nimekustahi tu, kwa sababu kama ulivyosema ulikimbia umande. Ningeweza kuchambua zaidi, lakini sikuona haja.
 
Kwa hiyo hii habari ya Theodicy unapoanza kuisoma ushajua conclusion? Inakufundisha kutetea upande mmoja tu? Vipi kama facts zinaonyesha tofauti ?

Kajibu kwanza swali la contradiction inherent in your quest for fairness in this world - ukiweza kulijibu utakuwa umefaulu Theodicy 101!

Here is another clue: For God to be truly just he has to create free-willed beings who can opt to either accept or reject God and justice!
 
Bila shaka Mungu yupo. Hivi vijimambo vya maumivu ya maisha vimeelezwa vizuri na Amoeba. My take on Amoeba is that " Hapa duniani tunakuja wote tukiwa sawa, ukiondoa ubnomalities kama za ulemavu wa aina mbalimbali, ni mazingira tunayoyauta (naturaal&man made) ndiyo yanayoanza kututofautisha! Hapo ndipo yanapoanzia matabaka, ukizaliwa familia bora uko likely zaidi kuishi maisha bora bila kutoa jasho jingi.

Unaweza jiuliza tena sehemu ya mungu ni ipi kwa masikini, hapa ndo linakuja suala la akili na utashi ambao mungu amekupa! Ofcourse uzembe wa wazazi na vizazi vyako vyote katika kuondoa au kupunguza umasikini wako wa leo ni sehemu ya adhabu yako. Yet you have your role and chance to reverse the situation.Akili na utashi ndio sehemu ya usawa ambao tunazaliwa nao.
 
The inherent contradiction is the answer to the question at hand - you are simply asking God to provide a contradiction!

An all powerful god should not be limited by any rules and to him nothing can be a contradiction.

If something like creating a world free of evil is a contradiction to god, then god is not all powerful.

And if god is not all powerful, that is not god at all, at least in the Judeo Christian idea of a godhead.
 
Kajibu kwanza swali la contradiction inherent in your quest for fairness in this world - ukiweza kulijibu utakuwa umefaulu Theodicy 101!

Here is another clue: For God to be truly just he has to create free-willed beings who can opt to either accept or reject God and justice!

Nimekujibu

Nikifika njia panda, barabara inagawanyika kwenda kulia na kushoto, kabla sijafanya uamuzi, mungu anajua nitachukua njia ipi au hajui ?
 
Bila shaka Mungu yupo. Hivi vijimambo vya maumivu ya maisha vimeelezwa vizuri na Amoeba. My take on Amoeba is that " Hapa duniani tunakuja wote tukiwa sawa, ukiondoa ubnomalities kama za ulemavu wa aina mbalimbali, ni mazingira tunayoyauta (naturaal&man made) ndiyo yanayoanza kututofautisha! Hapo ndipo yanapoanzia matabaka, ukizaliwa familia bora uko likely zaidi kuishi maisha bora bila kutoa jasho jingi.

Unaweza jiuliza tena sehemu ya mungu ni ipi kwa masikini, hapa ndo linakuja suala la akili na utashi ambao mungu amekupa! Ofcourse uzembe wa wazazi na vizazi vyako vyote katika kuondoa au kupunguza umasikini wako wa leo ni sehemu ya adhabu yako. Yet you have your role and chance to reverse the situation.Akili na utashi ndio sehemu ya usawa ambao tunazaliwa nao.

Mungu aliweza kuumba ulimwengu usio na maovu au hakuweza ?
 
The Judeo-Christian God of the Bible is constituted by these key characters: Love, Mercy, Grace, Justice, Rightenousness and Truthfulness - He only operates according to these characters, you may call that a limitation if you wish to that is why it is so important to understand the 'contradiction' inherent in the call for God to do actions that are loveless, merciless, graceless, unjust, unrighteous and untruthful; How can he act in contradiction to who He is? Is it possible for God not to be God - to undo His Godness nature?
 
Back
Top Bottom