Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,499
- 113,610
Wanabodi,
Kwa wale wafuatiliaji wa siasa za nchi hii, na haswa harakati za kumpata mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, CCM, kumekuwa kukitokea mambo mengi ya kufurahisha, kustaajabisha na hata kushangaza, kwa karibu kila mtu kutajwa kuwa anawezekana kuwa ndiye mgombea wa CCM wa 2015, hali iliyopelekea kwa baadhi ya wana CCM kujitokeza na kutangaza nia zao za kugombea, kunakopelekea tuhuma kuwa Prof,. Dr., JK, ameifanya taasisi ya urais kuwa "very cheap!", na kushuka thamani sana, kwa karibu kila mtu sasa kujiona anaweza kuwa rais!, yaani kama JK ameweza kuwa rais, then every Tom, Dick and Harry, can be a president!.
Ni muda mrefu mimi nimekuwa nikimsupport mgombea fulani, ambaye namtambulisha kwa jina la "jamaa yangu", japo jamaa huyu hajawahi kutamka popote kuwa ana mpago wa kugombea urais!, kwenye sherehe ya mwaka mpya, alitangaza kuianza "safari ya matumaini", watu wakatafsiri ndio safari ya urais, hivyo wakaanza, kuogopa, kuweweseka, kutetemeka, kubabaika, na kutishika hadi kumshauri Pinda kuingiza karata yako, ili kuutumia ugombea wa Pinda, kama upanga wenye makali kuwili, kwanza kuanza kwa kumchinjia "jamaa yangu" katika hatua za awali, kisha kuja kumchinjia Pinda mwenye kwenye Mkutano Mkuu wa CCM!.
Tangu "jamaa yangu" huyu aanze kutajwa tajwa kuwania urais, niliwahi kuwaeleza humu, kuwa kuna uwezekano mkubwa, "jamaa yangu" siye mgombea halisi, bali anazifanya harakati hizi kama "Yohana Mbatizaji" kuyanyoosha tuu mapito ya yule, "yuajaye!" ambaye ndiye "the chosen one!".
Lengo la hitaji la uwepo "Yohana Mbatizaji", kuyanyoosha mapito ya mpakwa mafuta, ni kufuatia njia ya 2015, kuzongwa na wanyama wakali, msitu mnene wenye miiba, milima na mabonde, bila kuwepo mtu imara wa kuyanyoosha mapito, mpakwa mafuta, anaweza asifike mwisho wa safari.
Leo, nimekutana na mwana CCM fulani, sio kiongozi bali ni insider!, ndie akanipenyezea tetesi hii, kuwa "the chosen one" ni Mhe. Dr. Emmanuel Nchimbi!.
Could this be possible?!.
NB. Wale wapenzi wa yule "jamaa yangu", mistake kunirukia na kunirarua kwa kutishia uhai wa tumaini lenu, kwa sababu, aliyenipa jina la Nchimbi, sio mimi!, mimi ni mjumbe tuu, na mjumbe huwa hauwawi!, na vile hizi ni tetesi tuu, it's up to you kuziamini au kuzipuuzia! Kikawaida tetesi ni tetesi tuu, sio kitu cha kukiaminia sana!, ila nimeileta tetesi hii ili ikija kutokea kuwa kweli, then wewe mwana jf, just be the first to know!, "information is power!", having such info, you'll have everything to gain, and nothing to loose!.. Ikitokea ikawa ni uongo, then you have nothing to gain and nothing loose!.
Kwa wale wanaodhani Jina la Dr. Emanuel Nchimbi, ndio limechipuka kwa mara ya kwanza leo,
Karibuni mtembelee hapa.
[h=3]Kwanini John Nchimbi hatajwi kati ya watu walioanza mbio ...[/h]
Pasco.
Kwa wale wafuatiliaji wa siasa za nchi hii, na haswa harakati za kumpata mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, CCM, kumekuwa kukitokea mambo mengi ya kufurahisha, kustaajabisha na hata kushangaza, kwa karibu kila mtu kutajwa kuwa anawezekana kuwa ndiye mgombea wa CCM wa 2015, hali iliyopelekea kwa baadhi ya wana CCM kujitokeza na kutangaza nia zao za kugombea, kunakopelekea tuhuma kuwa Prof,. Dr., JK, ameifanya taasisi ya urais kuwa "very cheap!", na kushuka thamani sana, kwa karibu kila mtu sasa kujiona anaweza kuwa rais!, yaani kama JK ameweza kuwa rais, then every Tom, Dick and Harry, can be a president!.
Ni muda mrefu mimi nimekuwa nikimsupport mgombea fulani, ambaye namtambulisha kwa jina la "jamaa yangu", japo jamaa huyu hajawahi kutamka popote kuwa ana mpago wa kugombea urais!, kwenye sherehe ya mwaka mpya, alitangaza kuianza "safari ya matumaini", watu wakatafsiri ndio safari ya urais, hivyo wakaanza, kuogopa, kuweweseka, kutetemeka, kubabaika, na kutishika hadi kumshauri Pinda kuingiza karata yako, ili kuutumia ugombea wa Pinda, kama upanga wenye makali kuwili, kwanza kuanza kwa kumchinjia "jamaa yangu" katika hatua za awali, kisha kuja kumchinjia Pinda mwenye kwenye Mkutano Mkuu wa CCM!.
Tangu "jamaa yangu" huyu aanze kutajwa tajwa kuwania urais, niliwahi kuwaeleza humu, kuwa kuna uwezekano mkubwa, "jamaa yangu" siye mgombea halisi, bali anazifanya harakati hizi kama "Yohana Mbatizaji" kuyanyoosha tuu mapito ya yule, "yuajaye!" ambaye ndiye "the chosen one!".
Lengo la hitaji la uwepo "Yohana Mbatizaji", kuyanyoosha mapito ya mpakwa mafuta, ni kufuatia njia ya 2015, kuzongwa na wanyama wakali, msitu mnene wenye miiba, milima na mabonde, bila kuwepo mtu imara wa kuyanyoosha mapito, mpakwa mafuta, anaweza asifike mwisho wa safari.
Leo, nimekutana na mwana CCM fulani, sio kiongozi bali ni insider!, ndie akanipenyezea tetesi hii, kuwa "the chosen one" ni Mhe. Dr. Emmanuel Nchimbi!.
Could this be possible?!.
NB. Wale wapenzi wa yule "jamaa yangu", mistake kunirukia na kunirarua kwa kutishia uhai wa tumaini lenu, kwa sababu, aliyenipa jina la Nchimbi, sio mimi!, mimi ni mjumbe tuu, na mjumbe huwa hauwawi!, na vile hizi ni tetesi tuu, it's up to you kuziamini au kuzipuuzia! Kikawaida tetesi ni tetesi tuu, sio kitu cha kukiaminia sana!, ila nimeileta tetesi hii ili ikija kutokea kuwa kweli, then wewe mwana jf, just be the first to know!, "information is power!", having such info, you'll have everything to gain, and nothing to loose!.. Ikitokea ikawa ni uongo, then you have nothing to gain and nothing loose!.
Kwa wale wanaodhani Jina la Dr. Emanuel Nchimbi, ndio limechipuka kwa mara ya kwanza leo,
Karibuni mtembelee hapa.
[h=3]Kwanini John Nchimbi hatajwi kati ya watu walioanza mbio ...[/h]
Wengine niliowaletea ni hawaWanabodi,
Nimetafakari kidogo bila majibu kwa nini Serikali, baadhi ya Usalama wa Taifa na baadhi ya Wakuu ndani ya CCM wanakuwa wanafiki kiasi hiki juu ya wagombea watarajiwa ambao tayari wamepanga timu zao za maandalizi.
Kwa walio karibu na "corridor of power" hakuna asiyejua state inavyomuandaa John Emmanuel Nchimbi kama mteule mpya wa Mkuu wa Kaya kumrithi pale Magogoni. Mipango yake na harakati zote zinaratibiwa na State. Lowassa anajua, Pinda anajua, Membe anajua na wengine tumepata kujua. Sasa kwa nini kila kukicha wapambe wameng'ang'ana na Lowassa tu kama vile wengine hawafanyi?
Binafsi simaini kama kuna mtu anatarajia kufanikisha jambo lolote maishani bila maandalizi, mikakati na jitihada. Hawa wanaowaandaliawengine ufalme kwa nini hawataki kuona wala kusikia wengine wenye Uwezo wa kujiandalia wakifanya hivyo? Miujiza huonekana kama vitu vitokeavyo bila kutarajiwa lakini nayo ili mtu imtokee lazima afanye maandalizi i.e kutubu, kujitakasa, na kusali kwa imani. Kwa nini hawa "wenye mteule wao mfukoni" hawataki kusikia wenye uwezo wakijiandaa?
Kuanzia sasa nami natangaza kujiunga na timu Lowassa ili nikajue kwa nini anahofiwa kuliko wengine wote.
- Elections 2015 - Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa... Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
- Mgombea urais kwa tiketi ya CCM 2015 ameshapatikana
- Face To Face With Mhe. Benard Camilius Membe!. "Sipati Usingizi!"
- Upepo umegeuka, sasa ni Makongoro Nyerere!
- DR.BILAL ana nafasi kubwa zaidi kuwa mgombea urais wa CCM 2015
Pasco.