Kumjibu mleta posti ni kwamba inawezekana wanyama wana akili zaidi yake, kwani pale anazaliwa akifika umri wa kuweka/kubeba mimba hufanya hivyo. Kwa kuwa umepotea na kuzidiwa akili na mnyama kwa kuamini kuwa mungu atachukia ukifanya hilia au lile kuhusiana na ngono ndio maana umeangukia kubaya. Ukifika umri wa jambo fulani lihusulo mwili wako wapaswa kulifanya kulingana na haja zako. Lakini sio kusubiri eti kuna kitu kinaitwa mungu kitachukia. Kama huyo mungu hakutaka ufanye hivyo kwa nini aweke umri wa maturity kuwa miaka 18 au less? Mfano kama kuzaa kwa uchungu ni adhabu kwa wanadamu iweje kwa wanyama pia?
Ni vigumu kupata majibu kama utalazimisha uwepo wa mungu.
Ukiweka uwezekano wa mungu kutokuwepo, kwamba ni story tu katungwa na wanadamu, everything makes sense.
Ushenzi unaoendelea duniani all of a sudden hauwi mgumu kuuelezea, hakuna mungu mwenye uwezo wote na upendo wote wa kuuzuia.
Lakini ukisema kuna mungu, mwenye upendo wote na uwezo wote, huwezi kuelezea kwa nini kaumba dunia ambayo mabaya yanawezekanika wakati alikuwa na uwezo wa kuumba dunia ambayo mabaya hayawezekaniki.
Hata binadamu tu mwenye roho nzuri akiwa na uwezo wa kuwapa wanawe good time anawapa.
Inakuwaje mungu mwenye uwezo wote na upendo wote awe na uwezo wa kutupa good time halafu atubanie?
PlanckScale, kwa kauli hizi are you still an atheist. Ability ya Kuji-adapt inatoka wapi HUKU UNASEMA ALL LIFE HAS NO CREATOR? Na UKISEMA waliokuwa tofauti HAWAKUWA FAVOURED WITH THE ENVIRONMENT, WHY SHOULD THE ENVIRONMENT NOT-FAVOUR ANYBODY? WHY IS THE ENVIRONMENT NOT ADAPTING SO AS TO ACCOMODATE WENYE MATUMBO MIGUUNI? INSTEAD YOU NEED THESE FOLKS TO ADAPTMaisha yake yame-jiadapti vizuri kwenye environment.
Waliokuwa tofauti hawakuwa favored and the environment, wame die out! But this process is still continuing...
PlanckScale, kwa kauli hizi are you still an atheist. Ability ya Kuji-adapt inatoka wapi HUKU UNASEMA ALL LIFE HAS NO CREATOR? Na UKISEMA waliokuwa tofauti HAWAKUWA FAVOURED WITH THE ENVIRONMENT, WHY SHOULD THE ENVIRONMENT NOT-FAVOUR ANYBODY? WHY IS THE ENVIRONMENT NOT ADAPTING SO AS TO ACCOMODATE WENYE MATUMBO MIGUUNI? INSTEAD YOU NEED THESE FOLKS TO ADAPT
I WISH YOU LUCK IN ANSWERING
cc Eiyer,
PlanckScale, kwa kauli hizi are you still an atheist. Ability ya Kuji-adapt inatoka wapi HUKU UNASEMA ALL LIFE HAS NO CREATOR? Na UKISEMA waliokuwa tofauti HAWAKUWA FAVOURED WITH THE ENVIRONMENT, WHY SHOULD THE ENVIRONMENT NOT-FAVOUR ANYBODY? WHY IS THE ENVIRONMENT NOT ADAPTING SO AS TO ACCOMODATE WENYE MATUMBO MIGUUNI? INSTEAD YOU NEED THESE FOLKS TO ADAPT
I WISH YOU LUCK IN ANSWERING
cc Eiyer,
…
How assumption is existing of something rather than nothing?Contingency – Why does something exist rather than nothing? Something cannot come from nothing, so Something must self-exist. Self-existence is necessary. Universe began.
You are making assumption that something cannot come from nothing. Of cause you are trying to understand the world by using your commonsense. Fair enough. However, that is a statement that can be forgiven becomes you may have not studied or read a little on quantum mechanics. I suggest you look into the modern understanding about "nothingness" or vacuum. There are scientific evidence of "things" coming out of nothingness. A good start would be to read about the "Casimir effect" and "quantum vacuum zero-point energy".
When you say "the Universe is not self-existent", how do you know this for sure? It sounds more like you are saying; "the universe must be created". Better to have an open mind about physical reality and try to investigate and prove what it is or not. Our expanding knowledge has constantly change our notion of reality, so don't close your mind. People don't believe the earth was flat anymore or pale surrender bridge kuna chunisi!
The deeper we understand the microscopic world, the difficult it becomes to use basic notions of empties, causality (time relationships of cause and effects) and so forth. scientific approach is the only tool that can enable to understand such realities.
Fine Tuning is fully verifiedUniverse requires a causally antecedent agency to explain it's existence. God does not – no beginning.
What is the basis of this claim? Why if god exist it does not need a creator?
While the bigbang theory has many supporting evidence, it is however, still a theory. It is therefore, very dangerous for religious people to start using this unfinished scientific investigation to support the existence of god.
You have no refutations.Cause of Physical Universe cannot be Physical.
Why?
What is it that you call non-physical? Have you seen it?
How do you know for sure that there are non-physical things?
What is this you don't understand stand, so I can rephrase it?Design: specified complexity, specifically integrated interdependencies for third purposes, irreducible complexity. No plausible Naturalistic mechanisms or explanations actually exist.
You have lost me here. Could you rephrase and make it simple for our minds, please.
Where is your sufficient cause of a Universe which began to exist from physical nothing (per Big Bang, BGV theorem)?Precision FINELY TUNED constants and quantities present in initial conditions of the Universe to within infinitesimally narrow ranges to permit life. Universe is precision balanced on razor's edge.
Be careful here with kukumbatia some scientific facts!
Many religious people now say the bigbang shows the universe had a beginning; the fine tuned constants of nature means the universe was designed. Let me cautioned you, the investigation is still on going. Back then, Einstein thought the universe was static (non-expanding). In fact, his calculations on general relativity did show that the universe was expanding, but he purposely introduced a constant, the "cosmological constant", in order to counter this expansion on his theory so that the universe can remain static as it was thought at the time. So don't start making claims about unfinished investigation work...
God is not a thing to be detected. Then provide the evidences of NO GOD and arguments for non theism you have consistently dodged,?Ontological argument – God is a metaphysically necessary Being.
Now let us say that god existed and that he/she is indeed metaphysical? One can still infer this god by its interaction with the world. And therefore, we should be able to detect god indirectly (I am not talking about dreaming of god or talking to the angels here). Religion is constantly trying to hide god from investigation by claiming he/she is outside the universe and non-physical.
Not is not. You can't compare Oranges with Mangoes just because both are fruits.Since God's attributes are metaphysically possible, and all metaphysical possibilities are also actual, God must be actual.
This is like saying "since musicians in the band play in harmony, then all bands in the world play in harmony with every other band"
What is this you don't understand?Intelligence in Nature: Intelligence, order and reason and information all from Nothingness?
Spiritual instinct of man: Evolved to connect with something not actual?
Please rephrase...
You missed it, each gospel is addressing different audience.Massive Historical evidences of witnessed Miracles, visions, fulfilled prophecies,
Personal experiences: Ubiquitous NDE's, supernatural phenomena
Christ's resurrection witnessed by hundreds.
Each gospel has its own account on the resurrection. The list of women who saw him first differ from gospel to gospel. go check...
500 people did.When Jesus supposedly appeared after his death, many did not recognize him, which I find it strange. I mean what is the point of going into the trouble of allowing yourself to be killed then when you raise from the dead you are unrecognized until you prove yourself who you were?
The same Paul said Jesus is God. Do you believe him?Also, Jesus' virgin birth was never mentioned by apostle Paul. Please read carefully about Paul in the bible
How assumption is existing of something rather than nothing?
Fine Tuning is fully verified
Big Bang is fully verified
Free-will is verifiable
With the above comments, I think we are in a different league when it comes to understand physical reality.
Don't get me wrong, I thing the big bang theory is the best theory so far for explaining the beginning of our universe and its structures. However, it is scientifically wrong to claim that the theory is "fully verified".
The big-bang theory has accumulated some strong evidences, such as the abundance of helium and Oxygen and the ration between these two gases, the Cosmic background radiation, etc. But it is still a theory, and with some major problems, such as the following:
I suggest you read a little bit on the following problems with regards to the big-bang theory:
1) the horizon problem
2) the magnetic monopole problem
3) the flatness problem
Also, the theory makes two big assumptions:
1) that physical laws are universal; 2) and the cosmological principle.
It would really be worthless to discuss with you scientific matters when you don't even understand what a scientific theory is. So please try to understand the above issues and learn a little more about the big bang theory, before we continues with other issues, constructively...
....The chance of ALL LIFE coming from a single celled protozoa, that happened to be floating around in space after the ‘big bang', is more unbelievable, than the theory of ‘the God creator'!!
Only evidence can tell us how life came about.
Any theory to be credible must be testable and produce evidences that matches what the theory had predicted.
So it really doesn't matter which answer feels better to you (or me). Evidence is what counts.
As Kiranga explained to you, invoking god as a creator of the universe creates another problem of who created god. Both the universe and god are complex entities. If you say that god was always there and god was never created then it is the same thing as saying that the universe has always been here and was never created.
So sisi tusio amini mysticism (miungu, mizimu, mashetani, wachawi, malaika, na father Christmas) tunasema hivi; achaneni na imani hizo ambazo zinaipotosha dunia. Tumia akili na kama jibu halipatikani leo, basi vizazi vijavyo vita enedelea na uchambuzi.
...
Either way you cut it, mungu hadithi tu.
Ila kuna watu wana cognitive dissonance hili hawataki kuliona.
Where is your evidence?Only evidence can tell us how life came about.
and who tested Evolution which took billion of years per your claim? Who was there for billion of years evaluating evolution?Any theory to be credible must be testable and produce evidences that matches what the theory had predicted.
So it really doesn't matter which answer feels better to you (or me). Evidence is what counts.
As Kiranga explained to you, invoking god as a creator of the universe creates another problem of who created god. Both the universe and god are complex entities. If you say that god was always there and god was never created then it is the same thing as saying that the universe has always been here and was never created.
So sisi tusio amini mysticism (miungu, mizimu, mashetani, wachawi, malaika, na father Christmas) tunasema hivi; achaneni na imani hizo ambazo zinaipotosha dunia. Tumia akili na kama jibu halipatikani leo, basi vizazi vijavyo vita enedelea na uchambuzi.
You still hide from all of my questions.Hawa watu wanasumbuliwa na inconsistent thinking and lack of deep analysis.
Kama complexity ni lazima iumbwe, then mungu naye lazima kaumbwa, na aliyemuumba kaumbwa, ad infinitum, ad absurdum.
Mungu anakuwa hadithi tu.
Kama complexity si lazima iumbwe, then hatuhitaji mungu awepo ili kuuelezea ulimwengu.
Mungu anakuwa hadithi tu.
Either way you cut it, mungu hadithi tu.
Ila kuna watu wana cognitive dissonance hili hawataki kuliona.
… And they looked into the sky and saw it was immerse and complex. They were overwhelmed. Then, they bowed to their knees and proclaimed; "let there be a God who created the heavens and earth". And thereafter, God became, and the world made sense again.
I am in a deep thoughts,Is God really fair?
For instance...how come mtu unajitunza for so long timeas as a woman or a man)then it reaches a point unadecide kuwa na maisha...you open up your heart to sb...you give him/her everything full committed then what you get in return ni maumivu yasiyoeleweka na HIV juu
Kinachosikitisha ni kuwa....wale ambao ni waru waru,are enjoying life to the fullest...IS GOD REALLY FAIR?
NISAIDIENI cause spmetimes i do fail to explain
Umeuliza swali zuri,ngoja nijaribu kuonesha U FAIR wa Mungu japo kidogo, anapokea maombi ya kila mtu,anatunyeshea mvua wote wema na wabaya,anatupa pumzi wote sawa,wote ametupa masaa 24 katika siku and more u can think off. Ni hivi Mungu amempa binadamu akili ya kutambua mema na mabaya,amempa miiaamuzi ili unapohukumiwa inakuwa ni haki maana based on ur decisions, Mungu huwa haingilii maamuzi yako ingawa kuna sehemu chache sana tumeona Mungu akiingilia kati mf Sauli alipokua anaenda Damascus(dameshki) kama sijakosea kutesa watu wa Mungu.
Kuna muhubiri 1 aliwahi kusema shetani anaangaika na wale ambao sio wake,yaani wale ambao wanasimama katika kusudi la Mungu ndio anahangaika nao na ndio maana unaona changamoto zinakuwa nyingi sana pale unapojitunza au unapokua umesimama na Mungu,hawa sio wake anahangaika nao lakini wale walio wake haangaiki kwakuwa amekwisha kuwapata! Wanasema kuku wako manati ya nini! Biblia inasema mateso ya mwenye haki ni mengi,lakini BWANA hunponya nayo yote-Zaburi 34:19. Hii inaonesha mwenye haki anachangamoto nyingi sana ila inatakiwa usitoe nafasi kwa muovu maana wewe ni " target " hivyo akipata nafasi tu unaangamia. Biblia hii inasema BWANA atafanya mlango wa kutokea pale jaribu linapokua kubwa! Mara nyingi tunaanguka dhambini kwa tamaa zetu wenyewe na sio Mungu. Ila kama ungemshirikisha Mungu katika mambo yako atakushindia na kukupa nguvu ya kuushinda ulimwengu. 1 Yohana 5:4. God is more than fair na ndio maana hata kama unajiona unanuka dhambi au mchafu kiasi gani anakupokea,hata kama umekosa mara ngapi anakusamehe,ni aina gani ya Mungu tulie naye. Hebu tuangalie mazuri ambayo Mungu anafanya kwetu. GOD IS FAIR and the decision is in you.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Amen amen amen,i now understand well that God is very good and very fair...i adore him....Thanks once again and bless you