Si rahisi unavyofikirimrudishie.......
ni rahisi sana kuliko hivyo......Si rahisi unavyofikiri
Sent from my iPhone using JamiiForums
Duuh watu wabaya humu, aiseeView attachment 145757 reference hiyo hapo wacha tuongee kwa facts
Sent from my iPhone using JamiiForums
mkuu acha uoga...tusha watesa watu wenye imani potofu,kwa njia hiyo unachukua kitambaa chekundu unakizungushia uzi mweupe unamuwekea mlangoni asubui akiamka utamsikia watu mnaniloga hamneweziya leo kali nimekuta irizi kwenye dirisha la nyumba nliyopanga,yaani mpaka nimeishiwa nguvu kabisa,nishaurini nimprovoke huyu mama au ninyamaze na kuichoma tu
sent from my iphone using jamiiforums
Ya Leo Kali nimekuta irizi kwenye dirisha la nyumba nliyopanga,yaani mpaka nimeishiwa Nguvu kabisa,nishaurini nimprovoke huyu mama au ninyamaze na kuichoma tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umejuaje kama ni irizi? mkuu ondoa hizo imani za kishirikina ukiziendekeza zitakusumbua sana, egemea kwa M/Mungu
Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
Maandishi huyaoni hata evidence Za picha nlizoweka pia huzioni sasa nakusaidiaje