Iringa

Iringa

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2009
Posts
18,549
Reaction score
21,676
tumezoea kuwasifu ndugu zetu wamasai kuwa wanadumisha mila hasa kwa mavazi yao, swali langu lipo kwa jirani zangu wanaotokea iringa. Je ni mambo gani ya msingi ambayo wakifanya wataonekana nao wanadumisha mila?
 
tumezoea kuwasifu ndugu zetu wamasai kuwa wanadumisha mila hasa kwa mavazi yao, swali langu lipo kwa jirani zangu wanaotokea iringa. Je ni mambo gani ya msingi ambayo wakifanya wataonekana nao wanadumisha mila?

Nachukizwa na threads zenye Elements ya Ukabila kwa sababu inaonesha dhahiri kuwa hali hii haitokaa iishe Tanganyika!!
 
tumezoea kuwasifu ndugu zetu wamasai kuwa wanadumisha mila hasa kwa mavazi yao, swali langu lipo kwa jirani zangu wanaotokea iringa. Je ni mambo gani ya msingi ambayo wakifanya wataonekana nao wanadumisha mila?

kula ka-mbwa
 
wanaume hawatahiri, utakuta jamaa kubwaaa lkn mkono wa sweta. ulanzi hawawezi acha. watani zangu hawa. lkn i love tha city.
 
Nachukizwa na threads zenye Elements ya Ukabila kwa sababu inaonesha dhahiri kuwa hali hii haitokaa iishe Tanganyika!!

kwa kweli kila kabila lina mazuri na mabaya yake...tuiachie history..
lets talk as one nation!
 
Back
Top Bottom