Uchaguzi 2020 Iringa na Mbeya: Ngome imara za CHADEMA, CCM 'yategemea' nguvu za Magufuli na dola

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Kwanza nawaomba radhi wana JF kwa kuchelewa kuleta tathmini kuhusu mikoa tajwa hapo juu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020. Nilipatwa na dharura ya kimaisha iliyonifanya nirudi nyumbani Arusha. Kabla ya kuja huku, nilitembelea mikoa ya Iringa na Mbeya. Nitarejea Moro na tena Njombe kuendelea na ziara zangu.

Pamoja na hali ya kisiasa iliyokuwepo tangu 2015, CHADEMA bado ina nguvu kubwa sana kwenye mikoa hiyo. Kwa Majimbo ya Iringa Mjini na Mbeya Mjini, ni kupoteza nguvu na rasilimali kushindana na CHADEMA. Hata Tunduma na Momba, CHADEMA haina mpinzani.

Kwa upande wetu CCM, viongozi na wanachama wetu wakiwemo watia-nia wanategemea nguvu za Rais Magufuli na dola katika kushinda majimbo na kata. CCM inajiaminisha kuwa upepo wa mwaka huu ni ushindi tu hata kama wagombea wetu hawana nguvu yoyote.

Vyama vingine kama ACT, CUF na NCCR havina nguvu za kutosha kwenye mikoa hii. Kwa kusisitiza, wananchi wa jimbo la Kalenga wanahitaji mabadiliko ya Mbunge. Wanamuita Mbunge wao 'pandikizi' na si chaguo lao. Hadi leo, Mbunge wao hawezi kuzungumza kwa ufasaha kihehe wala kiswahili.

CCM ina kazi kubwa Iringa na Mbeya dhidi ya wenye mikoa hiyo CHADEMA!

Wagombea wapitishwe na vyama, viongozi wachaguliwe na wananchi!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)
 
Nipo na wanangu wa ukwamani, kawe kitanuka na kitakuwa kitovu Cha historia mpya Tanzania pale tu figisu zikifanyika dhidi ya sanduku la kura, siyo mkurugenzi, Osidii Wala tahira yeyote atakayebaki, wamezoea uhuni wao, mwaka huu hakuna!
NEC inasubiri ipewe majina ya washindi kutoka CCM, TLP, NCCR, UDP na CUF.
 
Kwanza nawaomba radhi wana JF kwa kuchelewa kuleta tathmini kuhusu mikoa tajwa hapo juu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020. Nilipatwa na dharura ya kimaisha iliyonifanya nirudi nyumbani Arusha. Kabla ya kuja huku, nilitembelea mikoa ya Iringa na Mbeya. Nitarejea Moro na tena Njombe kuendelea na ziara zangu.

Pamoja na hali ya kisiasa iliyokuwepo tangu 2015, CHADEMA bado ina nguvu kubwa sana kwenye mikoa hiyo. Kwa Majimbo ya Iringa Mjini na Mbeya Mjini, ni kupoteza nguvu na rasilimali kushindana na CHADEMA. Hata Tunduma na Momba, CHADEMA haina mpinzani.

Kwa upande wetu CCM, viongozi na wanachama wetu wakiwemo watia-nia wanategemea nguvu za Rais Magufuli na dola katika kushinda majimbo na kata. CCM inajiaminisha kuwa upepo wa mwaka huu ni ushindi tu hata kama wagombea wetu hawana nguvu yoyote.

Vyama vingine kama ACT, CUF na NCCR havina nguvu za kutosha kwenye mikoa hii. Kwa kusisitiza, wananchi wa jimbo la Kalenga wanahitaji mabadiliko ya Mbunge. Wanamuita Mbunge wao 'pandikizi' na si chaguo lao. Hadi leo, Mbunge wao hawezi kuzungumza kwa ufasaha kihehe wala kiswahili.

CCM ina kazi kubwa Iringa na Mbeya dhidi ya wenye mikoa hiyo CHADEMA!

Wagombea wapitishwe na vyama, viongozi wachaguliwe na wananchi!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)
Tutapewa mwongozo na Rais Tundu Lissu kuhusu namna ya kudili na uporaji wa kura na matokeo.
Akisema tuzipige hewala! Akisema tunaenda kwa mapilato hewala!
 
Habari za ndani kutoka ofisi ya spika zinasema kwa mara ya kwanza mzee wa fimbo ana mbackup sugu ashinde baada ya juhudi kubwa kufeli za kumconvice tulia asubirie viti kumi vya raisi au viti maalum,nasikia jamaa kawa mbogo hatari hataki kuona anachezewa zengwe Kama la marehemu Sitta
Hahahahaahah...ni zamu ya mwanamke tena
 
Nipo na wanangu wa ukwamani, kawe kitanuka na kitakuwa kitovu Cha historia mpya Tanzania pale tu figisu zikifanyika dhidi ya sanduku la kura, siyo mkurugenzi, Osidii Wala tahira yeyote atakayebaki, wamezoea uhuni wao, mwaka huu hakuna!
NEC inasubiri ipewe majina ya washindi kutoka CCM, TLP, NCCR, UDP na CUF.
 
Habari za ndani kutoka ofisi ya spika zinasema kwa mara ya kwanza mzee wa fimbo ana mbackup sugu ashinde baada ya juhudi kubwa kufeli za kumconvice tulia asubirie viti kumi vya raisi au viti maalum,nasikia jamaa kawa mbogo hatari hataki kuona anachezewa zengwe Kama la marehemu Sitta
Ndugai hata akishinda ubunge na Tulia akishindwa nawaambia leo, Ndugai hata kuwa spika kamwe.. Hakulitendea bunge haki.
Tutegemee Mh. Masele kuwa spika wa bunge lijalo..
 
Habari za ndani kutoka ofisi ya spika zinasema kwa mara ya kwanza mzee wa fimbo ana mbackup sugu ashinde baada ya juhudi kubwa kufeli za kumconvice tulia asubirie viti kumi vya raisi au viti maalum,nasikia jamaa kawa mbogo hatari hataki kuona anachezewa zengwe Kama la marehemu Sitta
Kwanza akipata ubunge ashuku Mungu kwa namna ya kipekee.
 
: 36012446 said:
Kwanza akipata ubunge ashuku Mungu kwa namna ya kipekee.
Hakika hakulitendea haki Bunge

Jaribu ku-imagine, pamoja na kukingiwa kifua na Mheshimiwa Rais na yeye mwenyewe kujitosa na kumpigia kampeni, lakini wananchi wa Kongwa wamegoma!
 
Kwanza nawaomba radhi wana JF kwa kuchelewa kuleta tathmini kuhusu mikoa tajwa hapo juu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020. Nilipatwa na dharura ya kimaisha iliyonifanya nirudi nyumbani Arusha. Kabla ya kuja huku, nilitembelea mikoa ya Iringa na Mbeya. Nitarejea Moro na tena Njombe kuendelea na ziara zangu.

Pamoja na hali ya kisiasa iliyokuwepo tangu 2015, CHADEMA bado ina nguvu kubwa sana kwenye mikoa hiyo. Kwa Majimbo ya Iringa Mjini na Mbeya Mjini, ni kupoteza nguvu na rasilimali kushindana na CHADEMA. Hata Tunduma na Momba, CHADEMA haina mpinzani.

Kwa upande wetu CCM, viongozi na wanachama wetu wakiwemo watia-nia wanategemea nguvu za Rais Magufuli na dola katika kushinda majimbo na kata. CCM inajiaminisha kuwa upepo wa mwaka huu ni ushindi tu hata kama wagombea wetu hawana nguvu yoyote.

Vyama vingine kama ACT, CUF na NCCR havina nguvu za kutosha kwenye mikoa hii. Kwa kusisitiza, wananchi wa jimbo la Kalenga wanahitaji mabadiliko ya Mbunge. Wanamuita Mbunge wao 'pandikizi' na si chaguo lao. Hadi leo, Mbunge wao hawezi kuzungumza kwa ufasaha kihehe wala kiswahili.

CCM ina kazi kubwa Iringa na Mbeya dhidi ya wenye mikoa hiyo CHADEMA!

Wagombea wapitishwe na vyama, viongozi wachaguliwe na wananchi!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)
CHADEMA safi sana napenda demokrasia ya CDM na ushujaa mkubwa wanaoonesha hata baada ya demokrasia kuuwawa, CDM bado wanasonga mbele.
 
Kwanza nawaomba radhi wana JF kwa kuchelewa kuleta tathmini kuhusu mikoa tajwa hapo juu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020. Nilipatwa na dharura ya kimaisha iliyonifanya nirudi nyumbani Arusha. Kabla ya kuja huku, nilitembelea mikoa ya Iringa na Mbeya. Nitarejea Moro na tena Njombe kuendelea na ziara zangu.

Pamoja na hali ya kisiasa iliyokuwepo tangu 2015, CHADEMA bado ina nguvu kubwa sana kwenye mikoa hiyo. Kwa Majimbo ya Iringa Mjini na Mbeya Mjini, ni kupoteza nguvu na rasilimali kushindana na CHADEMA. Hata Tunduma na Momba, CHADEMA haina mpinzani.

Kwa upande wetu CCM, viongozi na wanachama wetu wakiwemo watia-nia wanategemea nguvu za Rais Magufuli na dola katika kushinda majimbo na kata. CCM inajiaminisha kuwa upepo wa mwaka huu ni ushindi tu hata kama wagombea wetu hawana nguvu yoyote.

Vyama vingine kama ACT, CUF na NCCR havina nguvu za kutosha kwenye mikoa hii. Kwa kusisitiza, wananchi wa jimbo la Kalenga wanahitaji mabadiliko ya Mbunge. Wanamuita Mbunge wao 'pandikizi' na si chaguo lao. Hadi leo, Mbunge wao hawezi kuzungumza kwa ufasaha kihehe wala kiswahili.

CCM ina kazi kubwa Iringa na Mbeya dhidi ya wenye mikoa hiyo CHADEMA!

Wagombea wapitishwe na vyama, viongozi wachaguliwe na wananchi!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)
Jeshi letu tiifu litatumika kukwapua majimbo yote ya upinzani
 
Back
Top Bottom