Sasa POLISI WANAFANYA HVO ILI CDM IONEKANE NI CHAMA CHA VURUGU?
Confirmed amefariki wakuu inauma naandika huku machozi yananitoka
RPC atasema polisi hawatumii risasi za moto. Polisi itaunda tume kuchunguza. Polisi itatangaza yenyewe kama waliomuuwa nu CDM! Kila kitu wao!
Hata daktari atakayechunguza polisi ndiyo watatangaza matokeo!
Kujichunguza,,,,,,,,,
hongera yao maana wana profeshno LUKUKI
By the way serikali ina jibu gani kwamba leo hii CCM wanafanya mkutano wao lakini CDM hapana.
Mwwenyekiti na chama cha waansishi wa habari mkoa wa iringa na mwandishi wa habari wa chanel 10 amepigwa risasi na polisi kwenye mkutano wa chadema mufindi
Unajua mazingira aliyokuwa wakati anapigwa risasi? polisi walikuwa wana-target waandishi wa habari, au alikuwa katikati ya umma?
Kwani kazi ya waandishi wa habari ni nini?Na yeye alikua anafanya nn huko?
RPC atasema polisi hawatumii risasi za moto. Polisi itaunda tume kuchunguza. Polisi itatangaza yenyewe kama waliomuuwa nu CDM! Kila kitu wao!
Hata daktari atakayechunguza polisi ndiyo watatangaza matokeo!
By the way serikali ina jibu gani kwamba leo hii CCM wanafanya mkutano wao lakini CDM hapana.
nyie lazimisheni maandamano lakini hayo maandamano ndio mnatafuta kutoweka kwenye ramani ya vyama vya siasa, iko wapi cuf ngunguri, wapi Nccr , kimsingi hiyo huruma mnayotaka kutoka kwa wananchi hamtaipata kwa staili ya maandamanokwahiyo una maana hao watanzania ni less of the citizens?kwasababu ni watu wa chini basi hawana haki?
Nina wasi wasi sana na ubongo wako.IQ yako very low hata ku reason huwezi.Pole sana.
hata mimi nashangaa mleta habar kapotea sijui naye pia wamemuulimboka!ilikuwaje akauwawa?hakuna aliyepo kwenye tukio?