Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,684
Haya sasa baada ya kuona battle za Dar vs Nairobi tukaona mapicha kibao, ARUSHA vs MWANZA tukaona mapicha mazuri,(MWANZA palivuta) Tanga vs Mbeya tukaona vituu( Tanga palivuta), Moshi vs Bukoba napo tukaona mapicha mazuri sana Moshi pakavuta. Sasa Leo Tarehe 16/7/2017 tuone wapi panavutia na pazuri zaidi kati miji hii ya Iringa na Shinyanga, wapi ni mji MKUBWA kuliko mwingine! WENYE PICHA TUONE SASA MAMBO WAPI PANAVUTIA KWA MANDHALI NK.
Post sent using JamiiForums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app