vipi unaonaje na kwa wale wanaotumia malory ya mchanga kuomba watu, je tuwafanyaje mkuu....?Hebu tueleze ukweli.
Huwezi kutudanganya kua polisi wamemshikilia dereva kwa sababu abiria wamewaonyesha vidole viwili.
Halafu kama huyo dereva alikuwa kabeba abiria 100 ndani ya basi moja..na afungwe na anyang'anywe leseni.
Madereva wa aina hiyo ndo huleta ajali na kuuwa watu kila siku.
Haya mleta mada tueleze ukweli.
vipi unaonaje na kwa wale wanaotumia malory ya mchanga kuomba watu, je tuwafanyaje mkuu....?
Nadhani wewe umechanganyikiwa. Unasema Iringa kimenuka then unasema yametokea Mbeya jana. Lipi ni lipi?
Chuki yenu dhidi ya polisi haisaidii. Mleta mada hajasema huyo dereva ana kosa gani? Kama alikuwa anaendesha mwendo mkali kwa nini asiahikiliwe? Akisababisha vifo nani atalaumiwa?
Chuki yenu dhidi ya polisi haisaidii. Mleta mada hajasema huyo dereva ana kosa gani? Kama alikuwa anaendesha mwendo mkali kwa nini asiahikiliwe? Akisababisha vifo nani atalaumiwa?
Unajichanganya mkuu. Yaani hata unatia huruma. Hiyo picha uliyoweka haioneshi kushikiliwa kwa raia. Umesema aliyeshikiliwa ni dereva na sasa unasema abiria 100. By the way nikuulize swali. Unafahamu basi kubwa linabeba abiria wangapi? Hao abiria 100 walikaa vipi kwenye basi moja? Uwe unatumia akili mkuu. Uongo mwingine ni kujidhalilisha
Polisi wacha wafanye kazi yao maana huo ulikuwa utovu wa nidhamu. Mi nilikuwa bus la Abood. Vijana siasa haijaanza mwaka huu
Chuki yenu dhidi ya polisi haisaidii. Mleta mada hajasema huyo dereva ana kosa gani? Kama alikuwa anaendesha mwendo mkali kwa nini asiahikiliwe? Akisababisha vifo nani atalaumiwa?
hao ni asilimia 10 tu, kizuri ni kwamba hata ndani ya hao wanajiita wana ccm hawata mpa kura magufuli. kumbuka alichosema bukoba na shinyanga, kuwa mchana ccm usiku ukawa, hii inamaana kula ccm kura ukawa. au umesahau kwenye kampeni zunu mnapouliza swali rais wenu ni nani wana jibu Lowassa, pia kumbuka kilichotokea kwakina riz1 yule mc alivyo sema maendeleo chadema. kwakifupi watu wanaishabikia ccm mdomoni tu, ila moyoni ni ukawa. asante
Zaidi ya raia 100 wanashikiwiliwa na polisi, pia basi la nganga lipo chini ya ulizi baada ya abiria kuonyesha ishara ya vidole viwili, picha na more updates zitafuata muda huu. asante
Mkuu, mbona hiyo picha ni ya siku nyingi?
Polisi kama wanatumika wasiambiwe kwa lipi?Chuki yenu dhidi ya polisi haisaidii. Mleta mada hajasema huyo dereva ana kosa gani? Kama alikuwa anaendesha mwendo mkali kwa nini asiahikiliwe? Akisababisha vifo nani atalaumiwa?