Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,750
- 6,247
Habari.
Binafsi sijawahi kufika Iringa mjini zaidi ya kupita tu kule Ipogoro nikienda au kutoka Mbeya.
Sasa nimekuja kikazi hapa Iringa mjini. Kilicho nishangaza ni jinsi mji ulivyo msafi na pia nilijua ni mji wa hovyo kumbe sio kabisa
Kwangu mimi kipimo cha usafi kwenye mji huwa ni sokoni maana kuna shughuli nyingi ambazo husababisha kuchafuka kwa mazingira. Kwa hapa Iringa nimefika Sokoni sijaona hata chembe ya uchafu.
Hongereni sana wahusika wa utanzaji wa Mazingira IRINGA.
Binafsi sijawahi kufika Iringa mjini zaidi ya kupita tu kule Ipogoro nikienda au kutoka Mbeya.
Sasa nimekuja kikazi hapa Iringa mjini. Kilicho nishangaza ni jinsi mji ulivyo msafi na pia nilijua ni mji wa hovyo kumbe sio kabisa
Kwangu mimi kipimo cha usafi kwenye mji huwa ni sokoni maana kuna shughuli nyingi ambazo husababisha kuchafuka kwa mazingira. Kwa hapa Iringa nimefika Sokoni sijaona hata chembe ya uchafu.
Hongereni sana wahusika wa utanzaji wa Mazingira IRINGA.