Iringa hongereni kwa Usafi

Hardlife

JF-Expert Member
Apr 11, 2021
2,750
6,247
Habari.

Binafsi sijawahi kufika Iringa mjini zaidi ya kupita tu kule Ipogoro nikienda au kutoka Mbeya.

Sasa nimekuja kikazi hapa Iringa mjini. Kilicho nishangaza ni jinsi mji ulivyo msafi na pia nilijua ni mji wa hovyo kumbe sio kabisa

Kwangu mimi kipimo cha usafi kwenye mji huwa ni sokoni maana kuna shughuli nyingi ambazo husababisha kuchafuka kwa mazingira. Kwa hapa Iringa nimefika Sokoni sijaona hata chembe ya uchafu.

Hongereni sana wahusika wa utanzaji wa Mazingira IRINGA.
 
Habari.

Binafsi sijawahi kufika Iringa mjini zaidi ya kupita tu kule Ipogoro nikienda au kutoka Mbeya.

Sasa nimekuja kikazi hapa Iringa mjini. Kilicho nishangaza ni jinsi mji ulivyo msafi na pia nilijua ni mji wa hovyo kumbe sio kabisa

Kwangu mimi kipimo cha usafi kwenye mji huwa ni sokoni maana kuna shughuli nyingi ambazo husababisha kuchafuka kwa mazingira. Kwa hapa Iringa nimefika Sokoni sijaona hata chembe ya uchafu.

Hongereni sana wahusika wa utanzaji wa Mazingira IRINGA.
Asante, Karibu Iftari jioni kwa Mama Solemba.
 
Tangazo ndugu zangu wanyalukolo
Screenshot_20220619-193019.jpg
 
Kwangu mimi kipimo cha usafi kwenye mji huwa ni sokoni maana kuna shughuli nyingi ambazo husababisha kuchafuka kwa mazingira. Kwa hapa Iringa nimefika Sokoni sijaona hata chembe ya uchafu.

Hongereni sana wahusika wa utanzaji wa Mazingira IRINGA.
Nenda Mlandege makaburini ndiyo utajua hao unaowasifia wakoje
  • Wamegeuza makaburi ndiyo dampo ya kutupa taka
  • Wamegeuza makaburi ndiyo kwa kuweka matangazo ya waganga wa dawa za mapenzi
  • Wamegeuza makaburi ndiyo sehemu ya kujisaidia haja kubwa na ndogo
  • Wengine hufanya ndiyo sehemu za kumaliziana matamanio yao
  • Kuna mengi hayako sawa hapo
 
Back
Top Bottom