Nyie mbona mnamshambulia saaly.
Onh! Anaacha kujadili mambo ya maana wakati nyie wenyewe mmecomment.
Acheni hizo, mtoa mada hajatumia lugha mbaya kwahyo kama mada hujaipenda potezea.
Jamani hawa si ndio macelebrity wenyewe wa bongo au? Kama ana mimba nampongeza kwa kweli maana the so called mastaa wa kike hapa bongo wengi sijui hawapendi kuzaa au ni nini..hawana watoto. Kila kheri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.