ni mjamzito??!
hongera kama kweli.:redfaces:
Acha utumwa wewe...sasa ujauzito wa huyo Irene unakusaidia nini? watu msio na kazi na vyakufanya mnagundulika kirahisi sana....Rubbish.
uisduisdfuisdfuisdfui
sasa ukishanigundua kirahisi sina kazi,then what???unanipunguzia au kuniongezea nini mie...wacha kuongea mapumba yako hapa!!!:angry:
hivi ukishajua inakusaidia chochote eee? :nono:
kujishaua tu kuwa nyie sio wambea ilhali wambea wa kutupwa,mie kupata mimba inakuhusu nini wewe chakubimbi?
kujishaua tu kuwa nyie sio wambea ilhali wambea wa kutupwa,mie kupata mimba inakuhusu nini wewe chakubimbi?
kwani nyie huwa inawasaidia nini kumdiscuss humu mavazi/mapozi yake????
utajijei jei!:angry:
sasa ukishanigundua kirahisi sina kazi,then what???unanipunguzia au kuniongezea nini mie...wacha kuongea mapumba yako hapa!!!:angry:
cha ajabu hapa ni kitu gani? kwani yeye sio mwanamke wa kawaida na kupata mimba ni jambo la kawaida? au yeye ni ajabu sana kwake kupata mimba kwa vile hana viungo vyote vya uzazi?....mim sijaona issue ya kushangaza hapa....otherwise ni majungu tuu...kupata mimba na kutopata ni makubaliano ya wanandoa na pia majaaliwa ya muumba wetu.
kujishaua tu kuwa nyie sio wambea ilhali wambea wa kutupwa,mie kupata mimba inakuhusu nini wewe chakubimbi?
Irene uwoya ndo nani? wengine hatumjui, tufahamishe tafadhwali
he yaone vile???mnapenda tu kumnanga dada wa watu humu kila kukicha na mavazi yake,leo kawa mjamzito fans wake tunafurahia hii habari njema kwake,nyie mnajidai kununa!?!...wachawi wakubwa nyie!:tape: