gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Hahahaha teh teh tehembu acheni upuuzi, huyu dogo hawezi kuvaa viatu vya ndikumana labda kama wanasagana
Hahahaha teh teh tehembu acheni upuuzi, huyu dogo hawezi kuvaa viatu vya ndikumana labda kama wanasagana
Sasa huyo dogo Janja ana pesa gani?Irene kafuata pesa,dogo akiishiwa atatoswa tu
Dah,embu acheni upuuzi, huyu dogo hawezi kuvaa viatu vya ndikumana labda kama wanasagana
Dogo naskia ni zuga tu kamuolea Tajiri mtata
Sasa hivi wanaume hawaeleweki sana,dada zetu mkipata hata dogo aliyemalza mtihani std 7 and is ready to settle aisee komaa naye huyo huyo mambo mengine yatajulikana baadae
It can not beDogo janja alisema alimzimikia Irene long time. Si kujua kuwa Irene ameamua kumpa tamu
Salaa anabakua hiyo kitu mpaka kesho kutwaDogo naskia ni zuga tu kamuolea Tajiri mtata
Yes anaolewa na Yule mwarabu salsas sijui naniSi nimesikia amebadil dini anaitwa sheila??? halafu anaolewa na jamaa mwingine sio Dogo Janja au ni Kick??
hapa kazi ipoYes anaolewa na Yule mwarabu salsas sijui nani