Iran yatishia kuzishambulia kwa makombora kambi za kijeshi za Marekani zilizopo Mashariki ya Kati

Taarifa siziso rasmi:

Ndege ya abiria ya nchini Ukraine imeanguka karibu na uwanja wa ndege wa Imam Khomeini karibu na mji mkuu Tehran. Inasemekana ilibeba abiria 180.

Pia kuna taarifa kuhusu uwepo wa tetemeko la ardhi kusini mwa Irani.

Bado ninaendelea kuzithibitisha taarifa hizi mbili.
 
BREAKING: Ndege ya abiria ya Ukraine Boeing 737 iliyokuwa na abiria takribani 180 imeanguka muda mchache baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa mji mkuu Tehran, Iran.
===

DETAILS: A Ukrainian Boeing 737 with 180 passengers on board has crashed after taking off from Tehran Airport, Tasnim news agency reports. There have been no further details so far concerning possible casualties in the accident. [Sputnik]

MORE: The plane was heading for Kyiv but reportedly crashed due to technical issues, Fars news agency reported
 
Taarifa siziso rasmi:

Ndege ya abiria ya nchini Ukraine imeanguka karibu na uwanja wa ndege wa Imam Khomeini karibu na mji mkuu Tehran. Inasemekana ilibeba abiria 180.

Pia kuna taarifa kuhusu uwepo wa tetemeko la ardhi kusini mwa Irani.

Bado ninaendelea kuzithibitisha taarifa hizi mbili.
Ee tetemeko tena mungu kaamuwa kuingilia kati kuisaidia marekani eti kujibu mashambulizi.
 
BREAKING: Ndege ya abiria ya Ukraine Boeing 737 iliyokuwa na abiria takribani 180 imeanguka muda mchache baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa mji mkuu Tehran, Iran.
===

DETAILS: A Ukrainian Boeing 737 with 180 passengers on board has crashed after taking off from Tehran Airport, Tasnim news agency reports. There have been no further details so far concerning possible casualties in the accident. [Sputnik]

MORE: The plane was heading for Kyiv but reportedly crashed due to technical issues, Fars news agency reported
Mkuu inatuletea habari zikiwa za moto kabisa kama aljazeera...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CNN:

1578457129456.png
 
UPDATE: Kuhusu ndege ya Ukraine iliyoanguka nchini Iran.

“The plane is on fire but we have sent crews ... and we may be able to save some passengers." Pirhossein Koulivand, head of Iran's emergency services said. [Moscow Times]
 
No casualties: US and Iraqi sources said there were no known casualties as a result of the strikes. [CNN]

After the attacks, Iranian foreign minister Mohammad Javad Zarif tweeted in the early hours of Wednesday morning that Iran did not "seek escalation or war."
 
Taarifa zisizo rasmi: Chanzo cha habari kutoka Jordan, Al Hadath, kinaripoti kuwa huenda ndege ya abiria ya Ukraine iliyoanguka ilitunguliwa kimakosa na makombora ya ulinzi ya Iran.

Bado nafuatilia undani wa taarifa hii.

Taarifa zaidi zitawajia.
 
JUST IN: Boeing says aware of media reports about plane crash in Iran and gathering more information [Reuters]
 
UPDATE: Kuhusu ndege ya Ukraine iliyoanguka nchini Iran.

Idadi kubwa ya abiria waliokuwemo ndani ya ndege hiyo wamefariki dunia.

  • Most passengers on board have died, the head of Iran's Emegency Medical Services has said. [CNN]

  • All Passengers Feared Dead After Ukrainian Plane Crashed In Tehran, Officials Say; At Least 170 Souls Were On Board. [Iranian Red Crescent Society]

  • All 167 passengers on board Ukrainian aircraft killed - reports. [Sputnik]
 
Back
Top Bottom