FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,416
- 7,828
- Thread starter
- #41
Kiukweli, ushahidi ulikuwa mwingi mno usio na kificho na wala hakukuwa na haja ya kuutafuta sana kwa kufanya uchunguzi wa muda mrefu.Baada ya kuwekewa ushahidi wa video ulio wazi kabisa wameshindwa kuendelea kubisha, wamekiri ilikuwa bahati mbaya, nimesikitishwa sana na tukio hilo