Mkwaha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 1,688
- 3,170
Mkuu hivi huna habari kwamba huku kwetu ukibainika tu unatengeneza hata bunduki (gobole) Unafungwa?.Hivi sayansi na engineering wanazosoma wenzetu na sisi watanzania tunafundishwa hizo hizo? Kama Hilo taifa linaweza kufanya hayo yote sisi tunashindwa nini?