Iran waja kivingine kabisa, Mambo mapya

Iran waja kivingine kabisa, Mambo mapya

Yusomwasha

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
2,092
Reaction score
844
Baada Ya Kuzindua Satelite Na Kuirusha,sasa Wamekuja Na Technolojia Mpya Zaidi.

Wamezindua Chombo Kipya Kinachotumia Rubani Kwenda Anga Za Mbali.

Iran Ni Ya Nne Kwa Uwezo Wa Utengenezaji Wa Vifaa VYa Anga Za Mbali Baada Ya USA,RUSSIA NA CHINA.

Israel Kaachwa Mbali Sana Kama Imekuuma Kunywa Maji Ya Moto.
 
Hao waajemi wako mbali sana,kila siku wanaibuka na kitu
 
Baada Ya Kuzindua Satelite Na Kuirusha,sasa Wamekuja Na Technolojia Mpya Zaidi!
Wamezindua Chombo Kipya Kinachotumia Rubani Kwenda Anga Za Mbali
Iran Ni Ya Nne Kwa Uwezo Wa Utengenezaji Wa Vifaa VYa Anga Za Mbali Baada Ya USA,RUSSIA NA CHINA

Israel Kaachwa Mbali Sana Kama Imekuuma Kunywa Maji Ya Moto!
Pole sana kijana mwenye chuki
 
Mindege yao kila siku inaanguka ovyo kwasababu ya vikwazo vya nchi za magharibi, wana mandege ya zamani chapa Antonov,
 
Nalipongeza Taifa hilo la KISHIA.

Ambalo Mataifa ya KISUNNI hayanusi wala kutia pua.

MASHIA popote mlipo hongereni sana, elimu dunia ina nafasi yake, waachieni wengine mambo ya kukana elimu dunia, nyie songeni mbele
SHIA STATE IRAN.

Jamani washia njoeni mtupe ilimu ya Ushia maana kidogo inaonekana mpo tofauti.
 
Baada Ya Kuzindua Satelite Na Kuirusha,sasa Wamekuja Na Technolojia Mpya Zaidi.

Wamezindua Chombo Kipya Kinachotumia Rubani Kwenda Anga Za Mbali.

Iran Ni Ya Nne Kwa Uwezo Wa Utengenezaji Wa Vifaa VYa Anga Za Mbali Baada Ya USA,RUSSIA NA CHINA.

Israel Kaachwa Mbali Sana Kama Imekuuma Kunywa Maji Ya Moto.

Mkuu kuinogesha taarifa yako tuwekee source. Hata hivyo waajemi wale wanajitengenezea wenyewe kwa faida yao wenyewe. Wala hawana mpango wa kujitwalia eneo la mwingine, Nashangaa kuna mataifa anakosa usingizi kwa maendeleo ya Iran.
 
Back
Top Bottom