Iran vs. US military capabilities

Kishamaliza,kwanza Marekani wameambiwa waondoe wanajeshi wao kutoka Iraq,then Kiranja wa Hezbollah kasema USA amekuwa chanzo cha chaos hapo middle east,na kifo cha Kassim Suleiman hakitapita bure.
hapo sasa kazi imeanza live na mwarabu usimtishie kufa hilo haliogopi
 
Huyo Suleimani kaua sana wamarekani na kashiriki kuwafanyizia huko middle east.

Wamarekani watakuwa wamemfuatilia kwa miaka mingi mpaka kuamua kumtungua kwa drones.
 
Na vikwazo vyote hivyo vya uchumi.Ila Iran lazima atalipa tu tena kupitia Hezbollah au alshabaab,atawapiga marekan popote pale,tena nahisi anataka patulie tu kwanza.
Ndiyo kuufyata huko!!!
 
Hii ni kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalieni Aljazeera muone waziri mkuu wa Iraq anaongea,kiongozi wa Hezbollah kishaongea.USA sasa inabidi wajitafakari.
Kuongea ni kitu kingine na mapigano ni kitu kingine! Chemical Ally na yule msemaji wa serikali ya Iraq wakati wa vita walikuwa wanaweza sana propaganda ya vita lakini walikuja kukamatwa kama kuku wa kizungu!
 
Ila tambua kuwa Iran ana ushirika wa karibu na China na Russia kwa kuwa wao ndo wateja wakubwa wa mafuta nchini Iran.
Wana mikataba ya nuda mrefu wa mabilioni ya dollar katika biashara ya mafuta baina yaho.. hivo kuna uwezekano mkubwa wa kumsaidia Iran.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Syria wamejivuruga wenyewe, na Afghanistan vita ilishaisha tangu auawe Osama. USA is the mother land.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka wataokufa ni wananchi wasio na hatia,mimi kusema ukweli naomba amani itawale.
Hahaha sasa ulidhani vita ni sherehe?! Wanapigana watu, hivyo watu kufa ni inevitable.
Wacha wafer, binadamu kuzaliwa na mwisho hufa, na sijui kama Iran wanafahamu kwamba raia wake watakufa.
Acha ajimwambafy wamtandike, apunguze kelele.
Saadam Hussein tuliisha msahau,huyo Ayatollah naona anatakakuwa mchungaji sasa, au naye tumsahau kabisaa.
 
Mkuu vp mbona perisia wanachelewa kukiwasha huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…