Sasa nakuchanganya nini tena ni hii ndo fact Ezekiel is in the old testament and lived 500 years before Jesus....Wakati ule wa nyuma mungu alikuwa anawapenda sana mayahudi hakuna kitu tunakataa, lakini hao mayahudi walilaniwa na mungu na hata Jesus aliwambia ufalme wao unaondoka unaenda kwa warabu unaenda kwa Prophet Mohammed ambaye mnaye msema eti shetani nyi engojeni tu siku zikifika msije mkasema hatukuwaeleza.
Hakuna mkristo ambaye anapenda kufa hata kama anamuabudu mungu wao vipi, lakini muislam akiwa anabudu sana mungu haogopi kabisa kufa anajua akifa anaenda peponi.
Back @ thread;
Hapo ni vipi mana naona kama America ana wasi wasi na kitu au mimi ni muongo hapa....anaye taka kuipiga Iran ni Isreal taifa la mungu kama mnavyo sema....Vipi taifa la mungu litegemee taifa sio la mungu.
Hakuna mkristo ambaye anapenda kufa hata kama anamuabudu mungu wao vipi, lakini muislam akiwa anabudu sana mungu haogopi kabisa kufa anajua akifa anaenda peponi.
Asante kwa sababu unakiamini angalau kitabu kimoja tu katika biblia mathew. Hicho hicho kiatbu cha mathew 24:29-35 ... wanafunzi wa Yesu wakamfuata na kumuuliza Bwana tuambie ni nini dalili za mwisho wa dunia na kuja kwao. Yesu akasema MTAKAPOONA Israel inarudi katika nchi yake ... na kustawi na kumrudia Mungu tambueni mwisho huu karibu. Aliyasema hayo yapata miaka 2000 iliyopita na unajua kabisa mwaka 1948 Israel ilirudi katika ardhi yake na baada ya miaka michache ikawa taifa lenye nguvu middle east yote.
Israel haitegemei Marekani ili kushinda vita kumbuka 1967. Imepiga vinu vya nuklea vya Syria na Iraq bila hata marekani kujua.
Back @ thread;
Hapo ni vipi mana naona kama America ana wasi wasi na kitu au mimi ni muongo hapa....anaye taka kuipiga Iran ni Isreal taifa la mungu kama mnavyo sema....Vipi taifa la mungu litegemee taifa sio la mungu.[/QUOTE]
Huwezi ukatenganisha agano la kale na agano jipya, hilo lote ni neno la Mungu. Nikupe mfano mdogo tu Isaya katika agano la kale alitabiri kuja kwa Yesu yapata miaka 900 kabla ya Yesu. Na jambo hilo likatokea
Asante kwa sababu unakiamini angalau kitabu kimoja tu katika biblia mathew. Hicho hicho kiatbu cha mathew 24:29-35 ... wanafunzi wa Yesu wakamfuata na kumuuliza Bwana tuambie ni nini dalili za mwisho wa dunia na kuja kwao. Yesu akasema MTAKAPOONA Israel inarudi katika nchi yake ... na kustawi na kumrudia Mungu tambueni mwisho huu karibu. Aliyasema hayo yapata miaka 2000 iliyopita na unajua kabisa mwaka 1948 Israel ilirudi katika ardhi yake na baada ya miaka michache ikawa taifa lenye nguvu middle east yote.
Israel haitegemei Marekani ili kushinda vita kumbuka 1967. Imepiga vinu vya nuklea vya Syria na Iraq bila hata marekani kujua.
SASA NDUGU YANGU UNATAKA NIAMINI NINI ZAIDI YA YALE NILIYOYASOMA KATIKA BIBLIA NA YAMETOKEA NA YANATOKEA. BIBLIA INASEMA ISRAEL ITARUDI KATIKA NCHI YAKE IMERUDI KWELI! BIBLIA INASEMA HAKUNA NCHI WA MTU ATAKAYEWATOKA KATIKA ARDHI YAKE, WAARABU WAMEPIGANA VITA MARA 6 KUTAKA KUWATOA KATIKA ARDHI YAO WAMESHINDWA! BIBLIA INASEMA MJI WA JERUSALEM UTAKUWA MMOJA NA HAUTAGAWANYIKA NA IMEKUWA HIVYO!! BIBLIA INASEMA WATAKAPORUDI WATASTAWI SANA NA IMEKUWA HIVYO ATA JUZI UNESCO WALITANGAZA KUWA ISRAEL NI NCHI YA PILI DUNIANI KUWA NA WATAALAMU WENGI WA HALI YA JUU KATIKA FANI ZOTE NA PIA UNESCO WAKASEMA NI NCHI YA KWANZA DUNIANI KUFANYA UGUNDUZI WA MAMBO MENGI YA KISAYANSI AMBAYO YAMELETA MAMBO MAPINDUZI MAKUBWA KATIKA TEKNOLOJIA.
Sasa ndugu yangu unataka niamini nini zaidi ya hapo. je namini hadithi za mtume ambazo sijaona matukio yoyote yakitokea kutokana na hizo hadithi? Niko tayari kubadilika iwapo utanidhibitishia kuwa hadithi za mtume ni kweli na hiki na hiki kimetokea na ulimwengu mzima unaona.