Mkuu, kwa wanaoamini bible, Israel ina vipindi vyake vya ups and downs ambazo ziko recognized na Mungu na si bahati mbaya, zipo kwenye historia ya bible, kama wewe ni muumini wa dini ya kikiristo, basi ukweli ndo huo, kwamba Israel kuna nyakati ambazo Mungu huwa ana waderstroy na nyakati ambazo anawajenga, na yote hiyo inasemekana ni kama wakienda njia mbaya,basi mara zote Mungu huwa anawaacha wafanyiwe mambo kama kutawaliwa nk ili warudi kwenye msitari, na hapo ndipo kunakuwa na remnants, again, i stand to be corrected.