TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,297
- 28,006
Nakuunga mkono Mkuu. Hili ni la kweli kabisa. Vita inaidhoofisha sana US kiuchumi sijui kwanini hawalioni hili.
Mkuu BAK,Pitia taratibu tu kipengele baada ya kipengele halafu you might see what i mean...Na hao ndiyo FED's wenyewe AKA FOMC...
Mkuu unajuwa hizo reconstructions za baada Ya vita etc zina angukia wapi?
Kwahiyo hakuna pahala kwenye analysis za hao feds zinazoonyesha kwamba vita ina negative impact.
Wao wanacholalamika mara pengi ni cost ya human life.
..naona mnawaelewa hawa US kinyume kabisa,FYI war is a very good business kwa Economy ya US na ndio maana miaka yote wako busy kutafuta hizo war,hizi war zinaongeza sana nguvu za uchumi wao lakini hakuna hata
Kuhusu hilo la mafuta,feds wanaitizama hivi pale wanapopitisha policies zao...Ni kweli kuwa bei za mafuta zikipanda, lakini wao hawaoni ni shida kwasababu hawaamini kama inaweza kuleta a lasting inflation...Sababu kubwa ni kwamba hizo ni large increase on prices for food and energy but they are "temporary"
Mkuu wangu, kwa kifupi,vita kwa wenzetu ni "investment" fwatilia.......Mkuu Mushi reconstruction ambayo kwa sasa imegomba, huwezi kufanya reconstruction kama hakuna pesa na wakati huo huo unajaribu kupunguza budget deficit...... na kama ujuavyo wale GOP kwa sasa wamekataa kabisa kupandisha kodi.
Mkuu wangu,wenye ku invest kwenye vita ndo walioshika mpini kwa sasa mkuu wangu, siyo kwamba naamini kama ulivyosema, ila ndo reality, na dhumuni halisi ni kuwa na mjadala kama huu...Ndugu, usipende sana kuamini kila kitu wanachokiandika "alphabet agents", hawa jamaa huwa wana cook data pia. Hata hao huwa wananunuliwa na big corporations ili ku-justufy matakwa yao. Usibishe ndugu vita inaharibu uchumi, hata kama kuna makampuni machache yanayo faidika (greedy) kiujumla uchumi wa nchi nzima hudidimia.
Sababu ya Marekani kuendelea kwa kasi baada ya vita ya pili ya dunia ni kwasababu british pound amabayo ilikuwa ni pesa ya dunia kwa miaka takriban 150 ili poteza umaarufu (confidence) kwasababu ya uingereza kudorora kiuchumi. Na kwasababu nchi za ulaya ziliitaji fedha ili zijijenge upya Marekani ikawa ndiyo nchi pekee ya kukopa. Ndiyo chanzo cha economoc boom ya 50s, 60s na 70s. Dola ndipo ilianza kutumika kununulia mafuta na kuwa pesa ya dunia na wala siyo eti vita ndiyo vilileta maendeleo miaka hiyo.
Siyo kweli, vita ni nzuri kwa matajiri wachache wanaomiliki viwanda vya silaha.Na kwataarifa yako viwanda vya silaha siyo waajiri wakubwa Marekani. Waajiri wakubwa ni small businesses, wale wanaoajiri watu chini ya 100, mfano carpet cleaning campanies, small software companies, nk
Kwani mkuu unafikiri kuongezeka kwa bei ya vyakula inatokana na nini? Ni kutokana na machafuko yanayoletwa na vita. Mambo kama gharama za uzalishaji, uhaba wa mafuta n.k Kama utakumbuka wakati vita ya Iraki ilipopamba moto (2004) bei ya mafuta ilifika $4/gallon wamiliki wengi (wadogo wadogo) wa malori waliyaegesha kwasababu hawakuwa wanatengeneza faida kusafirisha mzigo. Na hii ilileta mfumuko wa bei ya vyakula Marekani.
USA amewapita china na urusi kijeshi kwenye mambo mengi,china na urusi wanachofanya wao wanacopy na kuiba USA anachofanya,Wanaliona sana hili, mkuu BAK. Kwa sasa Wanajaribu silaha zao kabla ya kumkabili China na Urusi ana kwa ana, kosa wanalolifanya wanasahau kuwa China na Urusi wanawafuatilia kwa karibu kabisa "nyendo zao".
Kama utasoma hiyo habari hapo juu, utakutana na kifungu hicho hapo juu, nenda chini utaona pie chart inayoonyesha spending ya serikali ya marekani kwa asilimia...About half of fiscal 2008 discretionary spending paid for defense, and most of the rest went for domestic programs such as agricultural subsidies, highway construction, and the federal courts (see figure 3). Only 3 percent of discretionary spending funded international activities, such as foreign aid.
Mkuu wangu,wenye ku invest kwenye vita ndo walioshika mpini kwa sasa mkuu wangu, siyo kwamba naamini kama ulivyosema, ila ndo reality, na dhumuni halisi ni kuwa na mjadala kama huu...
Kuwaondoa hao walioshika mpini ni kazi kubwa, unajuwa kuwa defense ndiyo wanaspend zaidi kuliko hata domestic?
Wanatumia 54% on defense, 43% domestic na 3% intrernational, mimi naongelea reality, cheki hapo chini...
How does the federal government spend its money?
USA amewapita china na urusi kijeshi kwenye mambo mengi,china na urusi wanachofanya wao wanacopy na kuiba USA anachofanya,
tangu WW2 imekuwa kazi ya urusi kucopy zana za marekani,sasa hivi wanafanya wote yeye na china
Siyo kweli mkuu...[/QUOTE
ngoja nisikulaumu-ila ndio hivyo-ngoja nikupe huu mfano,usiporidhika nao nambie nikupe mingine
in 1944 several US bombers (B-29s)zilafanya emergency landing in USSR-far east ili kuongezewa mafuta,
kwa kipindi kile ussr walikuwa hawana long range bombers kama hizo-so ikatolewa order wa-copy kutoka B-29s
unaweza kuangalia hii kwa muda wako
Wings of Russia: Bombers. Cold War. (Episode 6 of 18) - YouTube
Mimi nilikwambia nazungumzia reality, hizo data kila mtu anaweza kuzitafsiri kivyake,ndo maana kuna different ideas and different policies on how to handle these economic issues...Mimi sikatai kuwa hawatumii pesa nyingi kwenye ulinzi ila nilichosema ni kuwa hii inatokana na wamiliki wa hayo makampuni ya silaha na taasisi zinazohusika kulazimisha bajeti ya ulinzi iongezeke ili wafaidike na siyo eti kwamba nchi inafaidika kiuchumu na vita. Nafikiri kama unafuatilia vizuri mambo yao utakumbuka kuna wakati bajeti ya ulinzi wakati wa Bush na Cheny iliongezeka mara dufu kwa mwaka mmoja kuliko jumla ya bajeti yote ya NASA toka ianzishwe.
Mkuu wangu,wenye ku invest kwenye vita ndo walioshika mpini kwa sasa mkuu wangu, siyo kwamba naamini kama ulivyosema, ila ndo reality, na dhumuni halisi ni kuwa na mjadala kama huu...
Kuwaondoa hao walioshika mpini ni kazi kubwa, unajuwa kuwa defense ndiyo wanaspend zaidi kuliko hata domestic?
Wanatumia 54% on defense, 43% domestic na 3% intrernational, mimi naongelea reality, cheki hapo chini...
How does the federal government spend its money?
Chamoto said:...Siyo kweli, vita ni nzuri kwa matajiri wachache wanaomiliki viwanda vya silaha.Na kwataarifa yako viwanda vya silaha siyo waajiri wakubwa Marekani...
Mkuu, wote wanajuwa kabisa what gets the economy going is spending, lakini tatzo ndilo hilo, spending on what?We mangi, acha kudanganyika uchumi wa Marekani unadorora kwa sababu ya vita kubwa mbili zilizoandaliwa kinyemela na akina Bush and the co. vita ya Irak na ile ya Afghanistan. Wanaofaidika kiuchumi kutokana na hizo vita ni hao hao watajwa hapo juu lakini Marekani kama nchi sasa hivi imeathirika sana kiuchumi hata mwenyewe wajua hilo. Huyu Mjaluo sasa hivi anajaribu kubana matumizi hata kufikia kupunguza air craft carrier zao kutoka 11 kwenda 10, pia ule mradi wa F-35 JSF pia unakatiwa fedha kama ilivyokuwa kwenye F-22 raptors, pia kambi nyingi sana za kijeshi ndani na nje ya USA zitafungwa etc, etc. Hii yote ni kutokana na strain ya hizo vita mbili kwenye uchumi wa nchi, pia kumbuka wamekuwa wakitegemea kukopa fedha kwa ajili ya mambo yote hayo...:lol:
Hii ni sahihi kabisa...the so called cowboy wars.😛oa
ngoja nisikulaumu-ila ndio hivyo-ngoja nikupe huu mfano,usiporidhika nao nambie nikupe mingine
in 1944 several US bombers (B-29s)zilafanya emergency landing in USSR-far east ili kuongezewa mafuta,
kwa kipindi kile ussr walikuwa hawana long range bombers kama hizo-so ikatolewa order wa-copy kutoka B-29s
unaweza kuangalia hii kwa muda wako
Wings of Russia: Bombers. Cold War. (Episode 6 of 18) - YouTube
Repubs watakuwa wanakumbatia vita WHERE AS sometimes Democrats but no all the times, lakini overall wote ni watu wa vita na uchumi wao umejengwa kwenye basis hizo, ama misingi hiyo, hilo ni fact!
Ni kwasababu ninayaona kila siku, maisha ya wamarekani wengi yamekuwa duni kipindi hichi cha vita za Iraki na Afganistani. Umasikini umeongezeka, zaidi ya watu milioni 40 wanaishi kwenye poverty line. Biashara nyingi zimekufa, watu hawana kazi na ndiyo maana kuna occupy 'everything' sikuhizi kila mahali."coming from"?
Ninaposhindwa kukuelewa ni what point of view are you
Mkuu fuatilia historia ya marekani vyema,hizi unazosema hapa ni current issues,unajuwa ni kitu gani kiliuinua uchumi wa marekani?Hapa tutatofautiana mkuu.
Waajiri wakubwa ni small businesses, federal Goverment, Wal Mart, Target, Home deport, McDonalds, IBM n.k. Uncle Sam anapata pesa kutoka kwa wafanyakazi wanaokatwa kodi kila paycheck. Sasa kama hao waajiri wakubwa si watengeneza silaha inakuwaje vita iwe msingi wa uchumi wao?
Ni kwasababu ninayaona kila siku, maisha ya wamarekani wengi yamekuwa duni kipindi hichi cha vita za Iraki na Afganistani. Umasikini umeongezeka, zaidi ya watu milioni 40 wanaishi kwenye poverty line. Biashara nyingi zimekufa, watu hawana kazi na ndiyo maana kuna occupy 'everything' sikuhizi kila mahali.
Nikwamba kuna watu wana maslahi kwenye biashara ya silaha. Hawa hutumia kila njia kama kuhubiri terrolism, fear, second amendement n.k ili kuhakikisha wanachota pesa nyingi kutoka kwa walipa kodi ili ziende kwenye mambo ya vita amapo wao watafaidika.
Ndiyo, uchumi wa marekani umeyumba, lakini wakiondoa vita utakufa moja kwa moja, na the only way kuondoa vita ni only if watashindwa vita hivyo!Despite the U.S. government claims of being under siege from enemies everywhere, to understand what is really happening, we need to understand the underlying elements of U.S. policy.
Since World War ll, the U.S. has been continually at war: Korea, Vietnam, Cold War, Gulf War and the current wars.
The U.S. economy needs war for the Military Industrial Complex directly or indirectly employs millions of people.
No enemies and no wars, mean no staggering sized spending on nuclear and other bombs, nor fighter jets, nor tanks, nor ships, nor guns, nor biological and other weapons on this endless list.
Nor are over 1,000 U.S. global military bases justified, including those in Germany and Japan (both since 1945) and in Korea (since 1953).
Nor are the vast resources spent on the disastrous 40 year War on Drugs justified.
If we Americans are sincere about wanting peace, we must dramatically change our conduct and begin the biggest demilitarization the world has ever seen.
Otherwise we will remain addicted to war until it drains every last ounce out of our humanity and our treasury.
Dick
The Bob Gates quote is from: http://www.nytimes.com/2011/06/19/us/politics/19gates.html?_r=1&nl=todaysheadlines&emc=tha22