Iran ni nchi ya maajabu sana

Iran ni nchi ya maajabu sana

Jamii ya Iran ina wayahudi takribani laki 8. Kutokea mapandikizi kwao ni kitu cha kawaida.

Ni kama USSR, baada ya Stalin kuwa rais alikuta Shirika la kijasusi limejaa wayahudi ambao walikuwa wafuasi wa rais wa Leon Trotsky na Lenin. Aliwaondoa taratibu mpaka mambo yakawa shwari.

Kwa kesi ya Iran nayo ipo namna hiyo! Kuna waajemi wayahudi na kwa namna hiyo mambo ya kuvuja siri ni kitu kinachowezekana.
Mkuu acha kupoteza muda wako kumjibu mtu asiejua alichoandika. Yeye hajui kwamba dunia ya leo kila nchi ina mapandikizi wa kila aina. Kuna wayahudi kibao Iran na pia kuna waajemi, waturuki na waarab kibao Israel.

Hivyo kila nchi huwatumia watu wao katika nchi fulani (sio asili) kwa upelelezi. Yeye hakuona kilichotokea 7 October. Liliandaliwa chezo fulan na waisrael wenye asili ya uajemi na waarab kuwazubaisha Mosad na jeshi ili wazee wa kazi waingie kufanya yao.

Na kweli mission ilifanikiwa kwa 100%, maana wazee wa kazi waliingia wakafanya operation yao kimya kimya na kisha kuondoka na kundi la watu zaidi ya elfu 1 bila kushtukiwa.

Lakini kijana alieshiba makande na uji wa mtama hilo halijui.
 
Mkuu acha kupoteza muda wako kumjibu mtu asiejua alichoandika. Yeye hajui kwamba dunia ya leo kila nchi ina mapandikizi wa kila aina. Kuna wayahudi kibao Iran na pia kuna waajemi, waturuki na waarab kibao Israel.

Hivyo kila nchi huwatumia watu wao katika nchi fulani (sio asili) kwa upelelezi. Yeye hakuona kilichotokea 7 October. Liliandaliwa chezo fulan na waisrael wenye asili ya uajemi na waarab kuwazubaisha Mosad na jeshi ili wazee wa kazi waingie kufanya yao.

Na kweli mission ilifanikiwa kwa 100%, maana wazee wa kazi waliingia wakafanya operation yao kimya kimya na kisha kuondoka na kundi la watu zaidi ya elfu 1 bila kushtukiwa.

Lakini kijana alieshiba makande na uji wa mtama hilo halijui.
Hawataki kutafuta taarifa zaidi, hawataki kujifunza.

Matokeo yake wanaleta ngano za kale na pauka pakawa za mtaani wanaona wanaandika facts kumbe hamna kitu!
 
Nimewahi kwenda Iran
Nimewahi kufanya kazi na Wairan ni watu tofauti sana na Warabu mnaowajua jamaa hawa wana akili na maarifa ya hatari sana nikajifunza mengi kule kwao yale yanayosemwa kuhusu Iran na uhalisia ni tofauti kabisa wako mbali mno hivi jiulize kwa pale Middle East jamaa wanatuna dhidi ya US sasa hao unawezaje kuwachukulia poa. Wako vizuri sana Kijeshi ila nina shaka sana na Idara yao ya Usalama.
Idara ile imeingiliwa sana na Mossad kama mnavyojua mossad wana pesa nyingi hivyo wananunua sana taarifa na zinawasaidia..
 
Nimewahi kwenda Iran
Nimewahi kufanya kazi na Wairan ni watu tofauti sana na Warabu mnaowajua jamaa hawa wana akili na maarifa ya hatari sana nikajifunza mengi kule kwao yale yanayosemwa kuhusu Iran na uhalisia ni tofauti kabisa wako mbali mno hivi jiulize kwa pale Middle East jamaa wanatuna dhidi ya US sasa hao unawezaje kuwachukulia poa. Wako vizuri sana Kijeshi ila nina shaka sana na Idara yao ya Usalama.
Idara ile imeingiliwa sana na Mossad kama mnavyojua mossad wana pesa nyingi hivyo wananunua sana taarifa na zinawasaidia..
Akili yako mbovu tu.Wanapigika halafu wewe unawasifu?Acha vituko.
 
Nimewahi kwenda Iran
Nimewahi kufanya kazi na Wairan ni watu tofauti sana na Warabu mnaowajua jamaa hawa wana akili na maarifa ya hatari sana nikajifunza mengi kule kwao yale yanayosemwa kuhusu Iran na uhalisia ni tofauti kabisa wako mbali mno hivi jiulize kwa pale Middle East jamaa wanatuna dhidi ya US sasa hao unawezaje kuwachukulia poa. Wako vizuri sana Kijeshi ila nina shaka sana na Idara yao ya Usalama.
Idara ile imeingiliwa sana na Mossad kama mnavyojua mossad wana pesa nyingi hivyo wananunua sana taarifa na zinawasaidia..
Ni kweli mkuu, lakini pia Iran ina raia takriban laki 7 au 8 ambao wana asili ya kiyahudi. Hivyo inaweza kuwa rahisi mno baadhi yao kutumiwa na Marekani au Israel, hilo nafikiri hata wao wenyewe wanalifahamu.

Lakini pamoj na yote bado wako vizuri na wanaweza kutumia kila njia kuziba matundu madogo madogo yanayovuja. Vikwazo vyote walivyowekewa, lakini bado wana uchumi na uwezo mkubwa wa kijeshi kuliko nchi nyingi ambazo hazina kikwazo hata kimoja.
 
Ni hawa hawa Iran wenye uwezo wa kuifuta Isreal kwenye uso wa dunia kwa maneno ya mdomoni, usifanye mchezo na taifa la kiyahudi, level yao ni juu mara mia zaidi ya binadamu mwingine yoyote anayeishi duniani....Israel is blessed.
Kwan umesahau kuwa walikuwa wakiishi kwa kutangatanga...
 
Ni hawa hawa Iran wenye uwezo wa kuifuta Isreal kwenye uso wa dunia kwa maneno ya mdomoni, usifanye mchezo na taifa la kiyahudi, level yao ni juu mara mia zaidi ya binadamu mwingine yoyote anayeishi duniani....Israel is blessed.
Wewe endelea kuamini ujinga tu mkuu. Mwenzako Iran kwa siku anazitandika nchi 8.

1. Bahrain
2.Kuwait
3. Dubai
4. Saudia
5. Jordan
6. Qatar
7. Marekani (8) na Israel yenyewe.

Na pia kafunga njia ya mafuta anasubiri kenge yeyote ( iwe UK, France, Italy au Germany ) aende kupita uone kitachowakuta.
 
iran tangu enzi za kale ya uajemi ni watu wenye akili mingi sana
Na hili wamelithibitisha katika vita yao ya sasa. Kitendo cha kuchora michoro chini na kuwaingiza chaka Marekani na Israel kushambulia michoro hiyo kinaonesha ni jinsi gani walivyo vizuri kichwani zaidi ya wairael.
 
Tatizo lako mkuu unajihisi uko smart na unajua vitu kuliko wengine,hilo ni tatizo kubwa mno....ukitaka kufahamu vitu vingi,soma na ukubali kujifunza kwa wengine,tambua wapo waliokutangulia wenye ufahamu wa mambo kukuzidi...bandiko lako unataka kutuaminisha ilani ina nguvu kuliko mataifa mengine,wanaweza kua na nguvu kwa sehemu flani,lkn hanawa huo uwezo kuzidi tunayoyaita Mataifa makubwa kama Marekani,China na Russia...kutengeneza hizo drones ambazo rada za mataifa mengine zinapata shida kuzisoma haina maana kwamba wao wako top...na kifupi soon watazigundua,huyo Muiran,Muisrael tu hapo hamuwezi ukatae ukubali huo ndio ukweli.
Safari hii Iran anazitandika nchi 8 ikiwemo 👇
1. Israel
2. Marekani
3. Bahrain
4. Kuwait
5. Saudia
6. Qatar
7. Dubai
8. Jordan

Na hii dozi ya kipigo huwa anaitoa kila siku kwa muda wowote na sehem yoyote anayoitaka yeye.

Unaweza ukaona ni jinsi gani Israel iliogopa kuingia yenyewe vitani, hadi ikaibembeleza Marekani iwasaidie. Lakini Iran haikuogopa kuingia nao vitani.
 
Safari hii Iran anazitandika nchi 8 ikiwemo 👇
1. Israel
2. Marekani
3. Bahrain
4. Kuwait
5. Saudia
6. Qatar
7. Dubai
8. Jordan

Na hii dozi ya kipigo huwa anaitoa kila siku kwa muda wowote na sehem yoyote anayoitaka yeye.

Unaweza ukaona ni jinsi gani Israel iliogopa kuingia yenyewe vitani, hadi ikaibembeleza Marekani iwasaidie. Lakini Iran haikuogopa kuingia nao vitani.
Kuzitandika nchi na kupigana nazo ni vitu viwili tofauti. Hapo anapigana na USA na Israel. Hizo zingine anajipigia tu ila hazijibu. Hata Rwanda inaweza ikatuma makombora mawilli mawii kwa jirani zake wote, lakini ni tofauti ikiwa majirani wataamuakupigana kwa kumchangia.

Bottom line, Iran sio nchi ya kuidharau kijeshi.
 
Safari hii Iran anazitandika nchi 8 ikiwemo 👇
1. Israel
2. Marekani
3. Bahrain
4. Kuwait
5. Saudia
6. Qatar
7. Dubai
8. Jordan

Na hii dozi ya kipigo huwa anaitoa kila siku kwa muda wowote na sehem yoyote anayoitaka yeye.

Unaweza ukaona ni jinsi gani Israel iliogopa kuingia yenyewe vitani, hadi ikaibembeleza Marekani iwasaidie. Lakini Iran haikuogopa kuingia nao vitani.
Umesahau na Oman
 
Kuzitandika nchi na kupigana nazo ni vitu viwili tofauti. Hapo anapigana na USA na Israel. Hizo zingine anajipigia tu ila hazijibu. Hata Rwanda inaweza ikatuma makombora mawilli mawii kwa jirani zake wote, lakini ni tofauti ikiwa majirani wataamuakupigana kwa kumchangia.

Bottom line, Iran sio nchi ya kuidharau kijeshi.
Ni kweli mkuu. Umefanya uchambuzi mzuri na wa kisomi 🤝
 
Waumini bana... eti wanajua hii vita ya sasa ni ibada
Ni kweli ndomaana wayahudi wa sumbawanga wanakwambia kwamb hii vita iliandikwa sijui kwenye maandiko miaka 3000 iliyopita 🤣🤣🤣
 
Ni kweli ndomaana wayahudi wa sumbawanga wanakwambia kwamb hii vita iliandikwa sijui kwenye maandiko miaka 3000 iliyopita 🤣🤣🤣

Thinking ya wabongo ipo sawa kuanzia maprof hadi huko sumbawanga, ni miujiza tu na maombi ndio fate yetu ilipo anyway
 
Thinking ya wabongo ipo sawa kuanzia maprof hadi huko sumbawanga, ni miujiza tu na maombi ndio fate yetu ilipo anyway
Walioleta dini wamefanikiwa ku brainwashed wabongo kwa 100% 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom