Munch wa Annabelle
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 6,282
- 10,847
Hii vita ukiweka mambo ya udini na kushirikisha akili Kwa undani utagundua mambo mengi ambayo yanampa aueni Israel na wakati mgumu Iran katika kushambuliana na kubwa zaidi ni hili.
Ukiangalia jiografia ya haya mataifa mawili utapata jibu kuwa ISRAEL kupitia msaada kutoka Kwa washirika wake hasa katika kurusha ndege zake jirani au ndani ya Irani na pia anapata usaidizi mkubwa pia kutoka kwa washirika wake anaposhambuliwa makombora mengi inabidi yavuke Kambi za kijeshi mbalimbali za U.S, France na UK na nchi zaidi ya mbili zinazomsaidia kutungua hayo makombora.
Tukija Kwa upande wa Iran yeye anapata shida wakati wa kushambulia na kujilinda pia ambapo Kwa mwezake kote huko yeye ni mserereko tu.
Kwa kuhitimisha Iran anapambana kama mtoto wa kambo Kwa mama katili na Israel anapambana kama junior kwenye familia ya kitajiri anaweza mpa kibao hata mgeni na ukaambiwa usimpge ndo alivo
Kama ungekua mchezo wa ngumi Yani mtu beeee Israel hamalizi raundi Kwa iran lkn kwastyle hii Iran lazima atashiwa pumzi tu.
Lakn Iran apongezwe sana, waliolelewa na mama wa kambo hatanielewa hata kama sio kobaz ni mgalatia.
Ukiangalia jiografia ya haya mataifa mawili utapata jibu kuwa ISRAEL kupitia msaada kutoka Kwa washirika wake hasa katika kurusha ndege zake jirani au ndani ya Irani na pia anapata usaidizi mkubwa pia kutoka kwa washirika wake anaposhambuliwa makombora mengi inabidi yavuke Kambi za kijeshi mbalimbali za U.S, France na UK na nchi zaidi ya mbili zinazomsaidia kutungua hayo makombora.
Tukija Kwa upande wa Iran yeye anapata shida wakati wa kushambulia na kujilinda pia ambapo Kwa mwezake kote huko yeye ni mserereko tu.
Kwa kuhitimisha Iran anapambana kama mtoto wa kambo Kwa mama katili na Israel anapambana kama junior kwenye familia ya kitajiri anaweza mpa kibao hata mgeni na ukaambiwa usimpge ndo alivo
Kama ungekua mchezo wa ngumi Yani mtu beeee Israel hamalizi raundi Kwa iran lkn kwastyle hii Iran lazima atashiwa pumzi tu.
Lakn Iran apongezwe sana, waliolelewa na mama wa kambo hatanielewa hata kama sio kobaz ni mgalatia.