Omary_12
Senior Member
- Feb 11, 2018
- 136
- 105
wale ni waajemi waliyowahi kuitawala dunia miaka mingi tu....wana akili kama mchwa wana vikwazo miaka mingi sana lkn wanasonga mbele tu...Wa Iran washenzi bwana huwa wanashtuka mapema sana. Kama ni bongo mhhh