ELI COHEN
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 9,382
- 28,523
Tangu jana kuna maandamano ya kupinga mamlaka ya IR
Uchumi umekuwa mkali mnoo lakini zaidi manyanyaso ya agents wa ayatollah ni ya kiovu sana.
Its funny kwamba iran ina pesa ya kufadhili jihad na ugaidi middle east ila haina pesa ya kulisha waajemi