Iran: Israel itafutwa kwenye ramani ya dunia

Status
Not open for further replies.
Wabongo wengi huwa tunaiamini sana israel sijajua sababu hasa ni nini kwani kwatika kipindi kirefu israel haijapigana vita vya moja kwa moja na nchi nyingine isipokua palestina. huku kuamini kwetu kunatokana na nini?

Mara utaskia marekani inaitegemea israel kwenye technologia, mara utaskia ohh israel ana access ya communication system zilizopo dunian kote eti wao ndio ma engeneer mara utaskia ohh israel ana majasusi dunia nzima. mara utaskiaa ohh CIA, FBI, UFO zote zina ongoza kwa kuwa na waisrael wengi.

Just delivering story za vijiweni
 
Na wewe Utabakia kusikia tu wala hujui 1948,1967 na 1973 bado hujajua Israel alipigana na gani basi baki hivyo hivyo ulivyoaminishwa.
Wabongo wengi huwa tunaiamini sana israel sijajua sababu hasa ni nini kwani kwatika kipindi kirefu israel haijapigana vita vya moja kwa moja na nchi nyingine isipokua palestina. huku kuamini kwetu kunatokana na nini?

Mara utaskia marekani inaitegemea israel kwenye technologia, mara utaskia ohh israel ana access ya communication system zilizopo dunian kote eti wao ndio ma engeneer mara utaskia ohh israel ana majasusi dunia nzima. mara utaskiaa ohh CIA, FBI, UFO zote zina ongoza kwa kuwa na waisrael wengi.

Just delivering story za vijiweni
 
Na wewe Utabakia kusikia tu wala hujui 1948,1967 na 1973 bado hujajua Israel alipigana na gani basi baki hivyo hivyo ulivyoaminishwa.

Nimeongelea recently, may be for the last 20yrs. Sasa wewe unaongelea vitu vya mwaka 1948. Teknolojia imekua zaidi ya miaka hiyo pia nchi nyingine zimeendelea nazo pia, so kuwa wa kwanza kuwa na maendeleo haimaanishi miaka kumi mbele utaendelea kuwa wa kwanza.

Na ndio maana mpaka sasa unaona nchi ndogo tuu kama Iran inaitetemesha nchi kubwa kama Marekani. Sijaongelea North Korea bado. Nadhani umenielewa.
 
Israel iliposhinda vita hivyo, ilibweteka na kulala usingizi wa pono, kwa kujihakikishia kuwa ilishinda vita vya 1967 na ni mjinga tu ndiye ataamini hivyo. Tanzania ilipigana vita na Uganda 1978 na ikashinda, hivyo askari wake walipotoka vitani walilala na kustarehe bila kufanya chochote, ni Mjinga tu ndiye ataamini hivyo.

Elewa wanajeshi wana msemo MWISHO WA VITA ni MWANZO WA VITA NYINGIE, na ni mjinga tu ndiye atapinga msemo huu.
Nimeongelea recently, may be for the last 20yrs. Sasa wewe unaongelea vitu vya mwaka 1948. Teknolojia imekua zaidi ya miaka hiyo pia nchi nyingine zimeendelea nazo pia, so kuwa wa kwanza kuwa na maendeleo haimaanishi miaka kumi mbele utaendelea kuwa wa kwanza.

Na ndio maana mpaka sasa unaona nchi ndogo tuu kama Iran inaitetemesha nchi kubwa kama Marekani. Sijaongelea North Korea bado. Nadhani umenielewa.
 
Iran ni empirial power, sio nchi ya kuchukulia kiurahisi kivile... Mpaka sasa wana influence kubwa Iraq, Syria, Lebanon na Yemen
na hata Oman wako nao vizuri. Sasa huwezi shangaa kukuta picha ya khamein katika bango mjini Baghdad ama Damuscus. Wao ndo haswa wanapambana na ISIS na wala sio Wamarekani wanaowadondoshea silaha
 
Iran ni empirial power, sio nchi ya kuchukulia kiurahisi kivile... Mpaka sasa wana influence kubwa Iraq, Syria, Lebanon na Yemen
na hata Oman wako nao vizuri. Sasa huwezi shangaa kukuta picha ya khamein katika bango mjini Baghdad ama Damuscus. Wao ndo haswa wanapambana na ISIS na wala sio Wamarekani wanaowadondoshea silaha

Israel na Marekani waliunda ISIS ili kuidhoofisha Iran, Syria, Hamas, Hezbolah ili Israel ibaki super power, lakini kwa sasa ISIS wameanza kuwa weak.
 
Iran ni Incoming military power who give power to all terorists like Hamas,Hizboulah na hata wale Houth wa kule Yemen na Iran ndiyo inayosababisha SAUDIA iingie vitani kule yemen ili kuzuia Mvuto wake kufika Yemen maana wanajua Iran ikifika Yemen kuna hatari hata maeneo yale yanayoitwa matakatifu kumilikiwa na vibaraka wa Iran ndiyo maana Saudia imekazana sana kupambana na wa Houth.
Iran ni empirial power, sio nchi ya kuchukulia kiurahisi kivile... Mpaka sasa wana influence kubwa Iraq, Syria, Lebanon na Yemen
na hata Oman wako nao vizuri. Sasa huwezi shangaa kukuta picha ya khamein katika bango mjini Baghdad ama Damuscus. Wao ndo haswa wanapambana na ISIS na wala sio Wamarekani wanaowadondoshea silaha
 
Iran ni Incoming military power who give power to all terorists like Hamas,Hizboulah na hata wale Houth wa kule Yemen na Iran ndiyo inayosababisha SAUDIA iingie vitani kule yemen ili kuzuia Mvuto wake kufika Yemen maana wanajua Iran ikifika Yemen kuna hatari hata maeneo yale yanayoitwa matakatifu kumilikiwa na vibaraka wa Iran ndiyo maana Saudia imekazana sana kupambana na wa Houth.

Unaona aibu kusema Iran ni super power badala yake unasema ni incoming. Do you know kwamba Iran anatengeneza zana za kivita, ana jeshi kubwa hata kuliko Israel yenyewe? Kama Iran ni incoming military power kilichomnyima Netanyahu kwenda kushambulia ni nini?

Mwaka wa 15 huu anapiga mkwara. Nikija upande wa pili, Israel huwa anategemea misaada from USA, hususani ya kijeshi na zana,
do you know kwamba kila mwaka Israel anapata msaada wa dola bilioni 3 kutoka Marekani? Mbona hilo hamlimsemi
 
Unaona aibu kusema Iran ni super power badala yake unasema ni incoming. Do you know kwamba Iran anatengeneza zana za kivita, ana jeshi kubwa hata kuliko Israel yenyewe? Kama Iran ni incoming military power kilichomnyima Netanyahu kwenda kushambulia ni nini?

Mwaka wa 15 huu anapiga mkwara. Nikija upande wa pili, Israel huwa anategemea misaada from USA, hususani ya kijeshi na zana,
do you know kwamba kila mwaka Israel anapata msaada wa dola bilioni 3 kutoka Marekani? Mbona hilo hamlimsemi

Una maana gani unaposema Jeshi kubwa??? Pili, unasema Israel inapata misaada toka USA, This is a Lame Excuse, hakuna nchi duniani isiyopata misaada kutoka sehemu nyingine iwe Kijeshi, Kiuchumi na hata kitecknolojia, sasa kupata msaada Israel iwe ndiyo nongwa???

Mbona Iran anapata toka misaada toka Russia??? Mimi siwezi kuhoji maana najua ni kawaida ya Majeshi yote Duniani. Tatizo lako mambo mengine unasema bila kuelewa.
 
Ni kitu kigumu na hakiwezi kutokea yaani,,,,Israeli ni taifa teule la Mungu (wa-Wakristo) kwa Imani na kamwe hakuna taifa linaloweza kumtisha Israeli na hata Marekani analijua hilo na ndio maana hamuachi
 
Echolima

Iran haipati misaada ya silaha toka Russia. Iran ina vikwazo vya silaha, hata hiyo S-300 Haijafika Iran na wana kesi mahakamani na Russia kuhusu kufail kwa Russia kudeliver, ingawa hiyo silaha iko kati category ya defensive weapons. Iran haijanunua ndege za vita kwa mda mrefu sababu ya vikwazo, badala yake Iran imetengeza silaha zake yenyewe .
 
Last edited by a moderator:
Echolima, usidanganywe na vikwazo hapo ni biashara kama kawaida, vipuri na mambo mengi tu ya kibiashara yanafanywa, kwa dunia ya leo hakuna nchi itakayosema inajitosheleza na haihitaji msaada wa nchi nyingine hata kama ni Marekani hawezi leo aje aweze Iran????
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom