hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,314
- 80,187
Wanao leta udini ni wehuComments nyingi imekaa kidini zaidi, ni Christians vs Islam's, kwani wahindu, budha na Pagani wanasemaje kwenye hili?
Wanao leta udini ni wehuComments nyingi imekaa kidini zaidi, ni Christians vs Islam's, kwani wahindu, budha na Pagani wanasemaje kwenye hili?
Lini Israel imetishia kutumia nyuklia au na nyie mmeanza kuleta zile taarifa feki za kutoka masjid ubwabwa.Kwanza ifahamike Iran hana shida na hizo nchi ambazo zinamzunguka,ila shida ipo kwa hao ambao wanaruhusu nchi zap kuwa base za kijeshi za Marekani,ugomvi upo hapo tu
Kuhusu Israel ni kwamba,mara nyingi Iran haianzishi vita ila inamaliza vita,kwa maana anza wewe kisha yeye anaingia,kama umesikia Israel katishia kutumia Nuclear,Iran kasema we tumia Lakini jua Iran ni kubwa haitaathirika sana,ila mimi nitaangamiza vituo vyako vya kuzalisha nuclear na nchi yenu itapotea
Kama Ukraine na Russia tu. Na hapo maamuzi ni nchi za Ulaya. Kwanini ? Nitaeleza;
Russia ameshindwa kumpiga Ukraine kwasababu
Ukraine inapata misaada mikubwa ya kitaalam, kiufundi, kifedha, silaha na personnel kutoka Ulaya kuhakikisha Russia HASHINDI vita na Ukraine.
Vilevile, Marekani ameshindwa kumpiga Iran kwasababu nchi za Ulaya zimegomba kuchangia chochote kwenye vita vya Marekani na Iran. Na kwa msingi huo, Marekani hata afanyeje HAWEZI kuipiga na kuishinda Iran.
Yes, the Persians have lost several major wars throughout history, most notably the Greco-Persian Wars (5th century BCE) against the Greek city-states, the Roman-Persian Wars (1st to 7th centuries CE) against the Roman Empire, and the decisive Muslim conquest of Persia in the 7th century CE.Throughout its various dynastic iterations (Achaemenid, Parthian, Sasanian, Safavid, Qajar, etc.), Persian empires engaged in hundreds of conflicts and suffered several devastating defeats.Ungemalizia hapo chini wakutajie nchi moja tu iliyowahi kupigana na muajemi ikashinda??
Unafuatilia habari?Lini Israel imetishia kutumia nyuklia au na nyie mmeanza kuleta zile taarifa feki za kutoka masjid ubwabwa.
Hii nchi ikiondolewa vikwazo itatisha zaidi ya hapa tunavyoionaIran is turning into a superpower before our very eyes.
What a time to be alive!
Huu ni utabiri wako kaka, bado haujatimia. Nadhani labda tarehe 31 July 3005 inaweza kuwa.Iran is turning into a superpower before our very eyes.
What a time to be alive!
Ni mtazamo wako!Huu ni utabiri wako kaka, bado haujatimia. Nadhani labda tarehe 31 July 3005 inaweza kuwa.
Achana na Russia na China na US ambazo ndizo undisputed superpowers, kuna kina Saud Arabia, India, Turkey, mataifa kibao ya ulaya magharibi kama United Kingdom yanamzidi uchumi na uwezo wa kijeshi lakini hayafikiriwi kuwa superpowers.
Kiuzalendo lazima wajitutumue, hata sisi tanzaia tumewhi kujinasibu kuwa na jeshi imra na kali sana la ardhini lakini unadhani tunaweza kuzijaribu hata na Egypt bila msaada?