Iran inawezaje kufanya haya

Iran inawezaje kufanya haya

Tangu vita ianze February Iran anadai kushambulia na kuangamiza hizo kambi kila siku mpaka unajiuliza Marekani ana maelfu ya makambi mangapi kwenye hizo nchi.
Tangu vita vianze, Trump ameshasema ameshinda vita zaidi ya mara moja.
Ameshasema ameimaliza Iran kijeshi zaidi ya mara moja.
Ameshasema Iran haina jeshi la anga wala jeshi la maji zaidi ya mara moja.
Ameshasema Strait of Hormuz ipo wazi, meli zinaweza kupita kwa kujinafasi AKA kujidai zaidi ya mara moja.
Vipi unakubaliana nae!?
 
Inafikirisha sana, huyu Iran ana nguvu kiasi gani!?


Screenshot_2026-07-18-15-49-51-18_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Jibu jepesi, hawana CCM..
watu wapo kwa ajili ya taifa, watu wanapambania taifa lisonge mbele, unadhani wangekuwa na viongozi wa kama kwetu huku, saa hizi taifa lile halipo ni aidha ishakuwa koloni la israel/america ama nchi ya waisrael kabisa.
Pongezi kubwa kwa viongozi wao..
Wameonesha uzalendo wa hali ya juu mnooo
 
Jibu jepesi, hawana CCM..
watu wapo kwa ajili ya taifa, watu wanapambania taifa lisonge mbele, unadhani wangekuwa na viongozi wa kama kwetu huku, saa hizi taifa lile halipo ni aidha ishakuwa koloni la israel/america ama nchi ya waisrael kabisa.
Pongezi kubwa kwa viongozi wao..
Wameonesha uzalendo wa hali ya juu mnooo
UZALENDO
 
Nimekuwa nikiona kila mahala huko mtandaoni, watu wanauliza kwa kebehi, eti kwanini Iran anashambulia nchi karibia zote hapo Mashariki ya kati, lakini hashambulii Israel!?

Hili ndio swali linalotrend huko mitandaoni kwasasa, lakini wote wanaouliza hili swali ni watu wanaofanana kwenye jambo fulani hivi.

Anyways, tuachane na hii.
Mpaka saa hii nimetoka huko mtandaoni, nimekutana na habari za Iran kushambulia Bahrain na Kuwait na kuua askari kadhaa wa Marekani, hii habari inazunguka sana huko mtandaoni saa hii.

Lakini pia, jana nilisoma mahali nilikutana na habari kuwa Pakistan ametishia kuwa endapo Iran itaishambulia Saudi Arabia, basi itakuwa ni sawa wameishambulia Pakistan.

Ajabu usiku wa kuamkia leo Iran imepiga kituo cha kijeshi cha Marekani kilichopo Saudi Arabia, sijui itakuaje sasa?

Kuwait nao visima vyao vya maji safi vimepigwa na kituo cha kuzalisha umeme kimepigwa pia.

Nakuja kwenye swali langu sasa.
Hawa Iran, wanawezaje kupambana na USA na wakati huo huo kupiga kambi za kijeshi za marekani zilizopo katika nchi za Kiarabu? Hawa jamaa wameishi katika vikwazo kwa takribani miaka zaidi ya 40, wanawezaje kupambana na USA!?

Hapohapo mashabiki wanataka akiwa anapambana na USA aingie ulingoni kupambana na Israel pia, jamani hii Iran mbona kama mnaikuza sana?

Yaani mnaona kupigana na Marekani haitoshi, inatakiwa apigane na Israel kwa wakati huohuo, anawezaje sasa!?

Bila kusahau, Strait of Hormuz haipitiki.

Trump anasema ipo wazi, lakini meli zikikatisha zinapigwa kiberiti na Waajemi.

Trump amepereka meli zake za kijeshi kulinda meli zinazokatisha hapo, lakini bado Iran wanaweza kuzishambulia meli zinazokatisha hapo bila ruhusa ya Jeshi la Iran.

Inashangaza sana.

Hawa Iran wanawezaje kufanya haya yote!?
Mbona kama kuna kiini macho hivi!


View attachment 3631803
Kama Ukraine na Russia tu. Na hapo maamuzi ni nchi za Ulaya. Kwanini ? Nitaeleza;

Russia ameshindwa kumpiga Ukraine kwasababu
Ukraine inapata misaada mikubwa ya kitaalam, kiufundi, kifedha, silaha na personnel kutoka Ulaya kuhakikisha Russia HASHINDI vita na Ukraine.
Vilevile, Marekani ameshindwa kumpiga Iran kwasababu nchi za Ulaya zimegomba kuchangia chochote kwenye vita vya Marekani na Iran. Na kwa msingi huo, Marekani hata afanyeje HAWEZI kuipiga na kuishinda Iran.
 
Kama Ukraine na Russia tu. Na hapo maamuzi ni nchi za Ulaya. Kwanini ? Nitaeleza;

Russia ameshindwa kumpiga Ukraine kwasababu
Ukraine inapata misaada mikubwa ya kitaalam, kiufundi, kifedha, silaha na personnel kutoka Ulaya kuhakikisha Russia HASHINDI vita na Ukraine.
Vilevile, Marekani ameshindwa kumpiga Iran kwasababu nchi za Ulaya zimegomba kuchangia chochote kwenye vita vya Marekani na Iran. Na kwa msingi huo, Marekani hata afanyeje HAWEZI kuipiga na kuishinda Iran.
Una hoja!
 
Nimekuwa nikiona kila mahala huko mtandaoni, watu wanauliza kwa kebehi, eti kwanini Iran anashambulia nchi karibia zote hapo Mashariki ya kati, lakini hashambulii Israel!?

Hili ndio swali linalotrend huko mitandaoni kwasasa, lakini wote wanaouliza hili swali ni watu wanaofanana kwenye jambo fulani hivi.

Anyways, tuachane na hii.
Mpaka saa hii nimetoka huko mtandaoni, nimekutana na habari za Iran kushambulia Bahrain na Kuwait na kuua askari kadhaa wa Marekani, hii habari inazunguka sana huko mtandaoni saa hii.

Lakini pia, jana nilisoma mahali nilikutana na habari kuwa Pakistan ametishia kuwa endapo Iran itaishambulia Saudi Arabia, basi itakuwa ni sawa wameishambulia Pakistan.

Ajabu usiku wa kuamkia leo Iran imepiga kituo cha kijeshi cha Marekani kilichopo Saudi Arabia, sijui itakuaje sasa?

Kuwait nao visima vyao vya maji safi vimepigwa na kituo cha kuzalisha umeme kimepigwa pia.

Nakuja kwenye swali langu sasa.
Hawa Iran, wanawezaje kupambana na USA na wakati huo huo kupiga kambi za kijeshi za marekani zilizopo katika nchi za Kiarabu? Hawa jamaa wameishi katika vikwazo kwa takribani miaka zaidi ya 40, wanawezaje kupambana na USA!?

Hapohapo mashabiki wanataka akiwa anapambana na USA aingie ulingoni kupambana na Israel pia, jamani hii Iran mbona kama mnaikuza sana?

Yaani mnaona kupigana na Marekani haitoshi, inatakiwa apigane na Israel kwa wakati huohuo, anawezaje sasa!?

Bila kusahau, Strait of Hormuz haipitiki.

Trump anasema ipo wazi, lakini meli zikikatisha zinapigwa kiberiti na Waajemi.

Trump amepereka meli zake za kijeshi kulinda meli zinazokatisha hapo, lakini bado Iran wanaweza kuzishambulia meli zinazokatisha hapo bila ruhusa ya Jeshi la Iran.

Inashangaza sana.

Hawa Iran wanawezaje kufanya haya yote!?
Mbona kama kuna kiini macho hivi!


View attachment 3631803
Ungemalizia hapo chini wakutajie nchi moja tu iliyowahi kupigana na muajemi ikashinda??
 
Wewe unashangaa kambi haziishi, mimi mwenzio nashangaa na kujiuliza hawa Wairan haya mabomu wanayatoa wapi?
Missile launchers wanaziokota wapi!?

Maana Trump alishalipua kambi zao zote na jeshi lote alishalimaliza.
HAo qatar saudi china pakistan wanasaidia ila kwa siri sana nao wanamzunguka usa kimya kimya yaani nakusaidia ila staki watu wajue
 
Ugaidi wao ni upi? Kama ni kufadhili Hebzollah na Hamas hata Israel/US ilifadhili Al qaeda wa Syria (HTS) hadi kumsaidia kuwa Rais wa Syria au huo sio ugaidi?

Vikisaidiwa na Israel vinaitwa vyama vya ukombozi ila wakisaidiwa na Iran inageuka magaidi!!!
Dunia inaendeshwa na mifumo ya kinafki. Cha ajabu watanzania wanawategemea wamarekani kwamba watawaokoa kwenye mdomo wa mamba called CCM
 
Kwanza ifahamike Iran hana shida na hizo nchi ambazo zinamzunguka,ila shida ipo kwa hao ambao wanaruhusu nchi zap kuwa base za kijeshi za Marekani,ugomvi upo hapo tu

Kuhusu Israel ni kwamba,mara nyingi Iran haianzishi vita ila inamaliza vita,kwa maana anza wewe kisha yeye anaingia,kama umesikia Israel katishia kutumia Nuclear,Iran kasema we tumia Lakini jua Iran ni kubwa haitaathirika sana,ila mimi nitaangamiza vituo vyako vya kuzalisha nuclear na nchi yenu itapotea
Ipende Israel kwa moyo wako YESU atakubaliki achana na mafundisho ya majini
 
Kwenye hiyo namba wanayotaja, unaongeza sifuri.

Hawa Waajemi wanamsumbua sana USA!!!


Screenshot_2026-07-18-20-41-14-73_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Back
Top Bottom