Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,287
- 37,700
Heshima sana wanajamvi.
Si kawaida yangu kuchangia jukwaa hili lakini leo imenibidi nishiriki japo kwa uchache.
Iran ya Ayatollah ya mwaka 1979 hadi mwaka 2025 imeharibiwa vibaya mno.
Iran iliyoweza kumudu kuishi na vikwazo kwa muda mrefu sana kiasi miaka 47 sasa imefikia tamati.
Vita ya Iran na USA & Israel si vita vya kidini kama Watanganyika wengi wanavyofiki including Mohamed Said .
Vita vya Iran na USA & Israel unaweza kuviweka katika sehemu mbili kuu.
USA anaitazama vita hivi kiuchumi zaidi,hasa maslahi yake dhidi ya China inayotaka kuondoa ukuu USA.
Israel ni suala la usalama wake wa kuendelea kuwepo.
Uimara wa Iran kiuchumi,science & technology ni kitisho eneo lote la mashariki ya kati.Makundi mengi ya kigaidi kama Hizibullah & Hamas yalikuwa yakitegemea msaada ya kijeshi na fedha kutokea Tehran.Iran ikitetereka makundi yote ya kigaidi yatajifia taratibu kwakuwa hayatakuwa yakipata tena ufadhili kutokea Tehran.
Iran imara ni kitisho kwa mataifa yote ya middle east ndio maana mataifa yote ya mashariki yakati yakumbana na makombora ya Iran.Sasa hapo ukitia udini ni kijizima data na kuendeleza ushabiki wa kijinga.
Iran ya sasa imesambaratishwa vibaya mno.
Wananchi wa Iran walikuwa na uhaba wa maji kabla ya vita.
Ayatollah aliwekeza zaidi katika masula ya ulinzi na usalama.Badala ya kujenga miundombinu ya maji na umeme wa uhakika ilijikita zaidi kujenga makombora na mitambo ya nyuklia.
Iran inakwenda Islamabad ikiwa haina kadi ya maana labda mlango wa Hormuz ambayo pia USA kashauziba.
Iran ya Ayatollah 1979 imejifia kifo cha Mende.kauli mbiu yake kifo kwa Israel kifo kwa USA imegeuka kichekesho imewarejea wenyewe.
Mashabiki wa Iran ni wakati wa kukubali bila hiyana zama za kutamba na kufadhili makundi ya ugaidi umefika mwisho wa mwisho.
Iran ijayo itakuwa kama Iraq.
Ngongo kawasasa Tehran.
Si kawaida yangu kuchangia jukwaa hili lakini leo imenibidi nishiriki japo kwa uchache.
Iran ya Ayatollah ya mwaka 1979 hadi mwaka 2025 imeharibiwa vibaya mno.
Iran iliyoweza kumudu kuishi na vikwazo kwa muda mrefu sana kiasi miaka 47 sasa imefikia tamati.
Vita ya Iran na USA & Israel si vita vya kidini kama Watanganyika wengi wanavyofiki including Mohamed Said .
Vita vya Iran na USA & Israel unaweza kuviweka katika sehemu mbili kuu.
USA anaitazama vita hivi kiuchumi zaidi,hasa maslahi yake dhidi ya China inayotaka kuondoa ukuu USA.
Israel ni suala la usalama wake wa kuendelea kuwepo.
Uimara wa Iran kiuchumi,science & technology ni kitisho eneo lote la mashariki ya kati.Makundi mengi ya kigaidi kama Hizibullah & Hamas yalikuwa yakitegemea msaada ya kijeshi na fedha kutokea Tehran.Iran ikitetereka makundi yote ya kigaidi yatajifia taratibu kwakuwa hayatakuwa yakipata tena ufadhili kutokea Tehran.
Iran imara ni kitisho kwa mataifa yote ya middle east ndio maana mataifa yote ya mashariki yakati yakumbana na makombora ya Iran.Sasa hapo ukitia udini ni kijizima data na kuendeleza ushabiki wa kijinga.
Iran ya sasa imesambaratishwa vibaya mno.
Wananchi wa Iran walikuwa na uhaba wa maji kabla ya vita.
Ayatollah aliwekeza zaidi katika masula ya ulinzi na usalama.Badala ya kujenga miundombinu ya maji na umeme wa uhakika ilijikita zaidi kujenga makombora na mitambo ya nyuklia.
Iran inakwenda Islamabad ikiwa haina kadi ya maana labda mlango wa Hormuz ambayo pia USA kashauziba.
Iran ya Ayatollah 1979 imejifia kifo cha Mende.kauli mbiu yake kifo kwa Israel kifo kwa USA imegeuka kichekesho imewarejea wenyewe.
Mashabiki wa Iran ni wakati wa kukubali bila hiyana zama za kutamba na kufadhili makundi ya ugaidi umefika mwisho wa mwisho.
Iran ijayo itakuwa kama Iraq.
Ngongo kawasasa Tehran.