Godfrey Mushi
Member
- Feb 26, 2013
- 75
- 41
Wakuu;
viongozi wa cdm ktk kata ya ulemo wamekamatwa na polisi kwa kosa la kuhoji maswali ktk mkutano wa diwani wa ccm ktk kata ya ulemo wilaya iramba,
tayari tumefika kituoni hapa misigiri tukiwa na katibu wa bavicha wilaya ndg joseph alfayo pia katibu mwenezi wa wilaya ya iramba ndg malume,waliokamatwa ni viongozi wanne na makamanda watatu.
By Godfrey mushi-m/kiti bavicha wilaya ya iramba.
viongozi wa cdm ktk kata ya ulemo wamekamatwa na polisi kwa kosa la kuhoji maswali ktk mkutano wa diwani wa ccm ktk kata ya ulemo wilaya iramba,
tayari tumefika kituoni hapa misigiri tukiwa na katibu wa bavicha wilaya ndg joseph alfayo pia katibu mwenezi wa wilaya ya iramba ndg malume,waliokamatwa ni viongozi wanne na makamanda watatu.
By Godfrey mushi-m/kiti bavicha wilaya ya iramba.