Father's name is 10 ambapo 2 ni common na 5 ni difference yao so jawabu ni 2(5)=10
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
we jamaa ni mganga wa kienyeji toka sumbawanga nini???
Mbona umekwenda mbali sana??
Acha chezea muda na akili za great thinkers, we have important matters 2 discuss!:shetani:
Ha ha ha!Fathers name ni sugu(mr.2)
kama unazo hizo important things umekuja kufuata nini humu?acha chezea muda na akili za great thinkers, we have important matters 2 discuss!:shetani:
kwahiyo tuseme wewe iq yako ni kubwa sana kwamba una asses akili zetu sisi? naomba tutajie jibu ili tujue kama wewe unaweza au la.sijashindwa mbona kuna mtu kashatoa jibu au ujaliona?
kwahiyo tuseme wewe iq yako ni kubwa sana kwamba una asses akili zetu sisi? naomba tutajie jibu ili tujue kama wewe unaweza au la.