16 Jawabu.Wenye akili tunàsema ni 16 wapumbavu wanasema tumekosea
Acha kutukana watu matusi yasiyowahusu. Mwenye akili huwa halinganishwi na mpumbavu.Wenye akili tunàsema ni 16 wapumbavu wanasema tumekosea
20 mkuuWote mnakaribishwa.
Jibu nimeandika 16 rafikiHahaaa. Ungeandika na jibu bana ili na mie nikuige.
Lakini mkuu filimbi iko moja apo na huko kwingine kuna filimbi mbili zimeungana,vip jibu litabaki hilo hilo ama litapungua?Wenye akili tunàsema ni 16 wapumbavu wanasema tumekosea
Jibu ni 16 ila kitu nilicho gundua ili swali limesaidia sana kuonyesha mapungufu makubwa Kwa elimu yetuHapo chini firimbi ipo moja kwa hiyo siyo 4 ni 2
Viatu viwili ambavyo ni 10 + Kichwa bila firimbi ambayo ni 3 X Firimbi moja pekee ambayo ni 2 =
10+3X2=26
Mhh,,,pia trick ipo kwenye filimbi maana iko moja AF single,hizo nyinge zimeungana,,kwaio sizan kama ni 16Jibu ni 16, the trick ni hako kamtu hako na jezi yake