Mbona mi hunijibu, post 1080, page 108?Unakaribia kupata jibu. Angalia vizuri Iyo picha.
NoMbona jibu simpo sana, wala hakuna haja ya kushika kalamu na karatasi muungwana, jibu lako ni 19 tu
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwani wameandika vinauzwa katika Iyo picha?Kuna sehemu huwa mnanunua kiatu kimoja kimoja badala ya pair? Kwamba kwa kuwa sina 10, basi nipe tu kimoja kwa 5?
Filimbi X Filimbi =4 na 4 + 4 = 8 na ndio maana niliandika 2(Filimbi) ambayo ni sawa na 2(2).
Anyway, years ago niliona the same mjadala kwenye internet, ilikuwa PAIR OF SHOES, filimbi na NYAU. Hata wao jibu lao lilikuwa 16. Kwangu mimi hii ni logical case, sio hesabu peke yake.
HapanaMbona jibu simpo sana, wala hakuna haja ya kushika kalamu na karatasi muungwana, jibu lako ni 19 tu
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
Asante Sana. Pamoja na hayo kuna watu pale juu wamevaa filimbi wajati mmoja wa chini hajavaa filimbi shingoni.ulichokosea; kwanza hapo kwenye filimbi zilikuwa mbili huku mwisho ikabaki moja tu kwahyo iyo nne gawanya kwa mbili utapata mbili
pia hapo mwisho n kuzidisha ww umejumlisha
ONGEZA UMAKINI
Mkuu, vp! Duh hiyo shule uliyosoma noma sana.10+3x2=26