IPTL -Tunalipa gharama za kampeni za CCM mwaka 1995

Ripoti inaitwa Public goods,rents and Bussines in Tanzania , ya June 2011 iliyoandikwa na Brian Cooksey.
 
Nimebakia kulia hapa natafuta mabomu niingie nayo Magogoi au Niwafuate huko huko Dodoma nimalizane nao. Inauma kuona nchi yangu imegeuzwa kuwa mradi wa ccm na wageni huku ndugu zangu watanzania wakiteseka. Siku hiyo inakuja hapa nilipo nina hasira hata ya kwenda pale Lumbumba na kumalizana nao humo ndani.

Inauma kuona nchi yangu inaangamizwa na ccm
 
Nimesoma hiyo taarifa nimesikitika sanaa sanaa inauma kuona tunavyo uzwa na watawala wa magamba. Siku inakuja watalia nakusaga meno hata maiti zao za watakao kuwa wamelala chini zitafukuliwa na kuchapwa bakora
 
we are finished,magamba are suphoning this coutry like vimpires.i feel like shading tears.
 
Back
Top Bottom