Nimebakia kulia hapa natafuta mabomu niingie nayo Magogoi au Niwafuate huko huko Dodoma nimalizane nao. Inauma kuona nchi yangu imegeuzwa kuwa mradi wa ccm na wageni huku ndugu zangu watanzania wakiteseka. Siku hiyo inakuja hapa nilipo nina hasira hata ya kwenda pale Lumbumba na kumalizana nao humo ndani.
Nimesoma hiyo taarifa nimesikitika sanaa sanaa inauma kuona tunavyo uzwa na watawala wa magamba. Siku inakuja watalia nakusaga meno hata maiti zao za watakao kuwa wamelala chini zitafukuliwa na kuchapwa bakora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.