IPTL/PAP wamvaa David Kafulila


Mjinga pekee ndo ataumia kusikia Wahisani wamekataa kutoa pesa,..Ndo mana maisha yetu tumeaachia wahisani hakuna kutukuza juhudi za ndani kuliendeleza Taifa kwa nguvu zetu wenyewe.Hao wamekataa kwa kuwa hawajajua kinachoendelea,hawajajua uhalisia upo vp kwenye hilo sakata,ndo mana wamepisha uchunguzi sio kwamba wamekatisha hiyo misaada mnayoitegemea..Ukweli unabakia pale pale,hakuna pesa ya umma inayowekwa kwenye ESCROW account, hizo ni pesa za malipo ya chochote inayohifadhiwa kupisha mgogoro unaoendelea,wala sio mali ya serikali..
 

Hahahahahaa...umenipigia nyani mkuu! Leo eti wahisani wanaonekana wakombozi wa maisha yetu. Siasa uchwara hizi zinaua uchumi wa ndani
 
Soma gazeti la 'RAIA MWEMA' la leo 22/10/2014, kisha ,urudi kujibu hapa
 
Kweli wezi ni wezi, mini kinachowataabisha, subirini hukumu ya wananchi.
 


Chanzo: GAZETI LA MAJIRA 8th October 2014


http://habarihuru.blogspot.com/2014/10/iptlpap-yamvaa-kafulila.html
IPTL wezi tu na wote mnaoitetea ni wapumbavu sana hamna hata uzalendo kwa nchi yenu basi hizo pesa mnazolipwa kuwatetea IPTL na iwe laana kwenu na watoto wenu,msifanikiwe na daima vizazi kwenu visiwe na amani
 
IPTL wezi tu na wote mnaoitetea ni wapumbavu sana hamna hata uzalendo kwa nchi yenu basi hizo pesa mnazolipwa kuwatetea IPTL na iwe laana kwenu na watoto wenu,msifanikiwe na daima vizazi kwenu visiwe na amani

bwi bwi bwi bwi! umeishiwa hoja, unatamani ungekuwa unagawa pumzi kama mwenyezi mungu! buku 10 za kafulila zitakutokea puani wewe. Hujui chochote kuhusu escrow account unakurupuka, tafuta kwanza ukweli ndio uje kuhoji. Tafakari kwanza usihemke.
 
Kweli wezi ni wezi, mini kinachowataabisha, subirini hukumu ya wananchi.

Yeah! kweli mkuu, Kafulila asubiri hukumu ya wananchi kule Kigoma Kusini, ametulekeza na kubeba hoja za SCB-HK na mafisadi wakina MKONO.
 
kafulira sio mjinga kihivyo

Kuna watu wanamuunder estimate Kafulila, mwenzao kapiga hela za kutosha kutoka kwa SCB-HK na mafisadi wakina MKONO, MENGI na ROSTAM. Anawabebesha hojachafu, yeye anakula bata tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…